Abdul S Naumanga
Member
- Jan 28, 2024
- 41
- 43
25th April, 2015 Serikali ya Tanzania chini ya Raisi Jakaya Kikwete ilipitisha sheria no 12 ya mwaka 2015 (SHERIA YA BARAZA LA VIJANA LA TAIFA YA MWAKA, 2015) ambayo chini ya kifungu cha 4 cha sheria hiyo lilianzishwa Baraza la vijana la Taifa, lakini chaajabu mwaka wa 9 sasa bado Tanzania bara hatuna Baraza hilo.
Vijana tunahitaji majibu ya haraka kutoka serikalini kujua nini kinapelekea Baraza hili kutoanzishwa wakati Zanzibar wenzetu tayari wanalo Baraza ilo mwaka wa 6 sasa?
Nadhani ni muda sasa wa vijana kuamka na kuhoji kwapamoja juu ya swala hili kwani ni haki yetu kibinadamu na kisheria pia.
Vijana tunahitaji majibu ya haraka kutoka serikalini kujua nini kinapelekea Baraza hili kutoanzishwa wakati Zanzibar wenzetu tayari wanalo Baraza ilo mwaka wa 6 sasa?
Nadhani ni muda sasa wa vijana kuamka na kuhoji kwapamoja juu ya swala hili kwani ni haki yetu kibinadamu na kisheria pia.