Kimeeleweka Dulla Mbabe vs Twaha Kiduku 2

Kimeeleweka Dulla Mbabe vs Twaha Kiduku 2

Mwakinyo anaongea point
Kweli haswa alipozungumzia kuhusu pambano la Dulla Mbabe na Francis Cheka.

Mabondia wasiwe wanapigana pigana tu bali waangalie pambano litawafaidisha vipi/litawapeleka wapi?.
 
Wanapigana kufurahisha mashabiki, sema mabondia wetu wakienda nje mara nyingi wanapoteza ndio maana wanakomaliana wenyewe kwa wenyewe
Wengine wanauza pambano mfano huyu mtoto Seleman Bangaiza kuna pambano hakurusha ngumi hata moja alinyoosha tu mikono.

Wengine wanafelishwa na figisu za mapromota ,kinara wao wa kuwauza ni huyu Jay Msangi.
 
Wengine wanauza pambano mfano huyu mtoto Seleman Bangaiza kuna pambano hakurusha ngumi hata moja alinyoosha tu mikono.

Wengine wanafelishwa na figisu za mapromota ,kinara wao wa kuwauza ni huyu Jay Msangi.
Sure, hata lile pambano la Mfaume vs Joshua Clottey sikumuelewa kabisa Mfaume ile TKO, nahisi aliuza mechi
 
Back
Top Bottom