Kimeeleweka Dulla Mbabe vs Twaha Kiduku 2

Kimeeleweka Dulla Mbabe vs Twaha Kiduku 2

Mechi inayofuata ni ya wavuta bangi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Habibu Pengo na Ramadhan Kondo
 
Pambano la Rollin na Muksin lilikuwa zuri sana, ila sina uhakika na mshindi hadi niangalie tena
 
Pambano la Rollin na Muksin lilikuwa zuri sana, ila sina uhakika na mshindi hadi niangalie tena
Loren ni mzuri saaaana ,pambano la pili hili ninamuona.

Nimecheki boxrec yake imeonyesha aliwahi kucheza na Tony Rashid nitaitafuta hiyo mechi niitazame.
 
Huyu Pengo anapiga kama anataka kuua [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Habibu Pengo [emoji23][emoji23][emoji23]
Screenshot_20200828-231157.jpg
 
Huyu Pengo hamna kitu ,ngumi anazozirusha zipo straight sana kwa bondia mzuri haziwezi mkuta.
 
Dah hawa jamaa (Pengo na Kondo)pambano lao linanifurahisha sana [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]pambano la vibaka.
 
Back
Top Bottom