Kimeeleweka Dulla Mbabe vs Twaha Kiduku 2

Kimeeleweka Dulla Mbabe vs Twaha Kiduku 2

Twaha kiduku mdomo tu..ila mkono hawezi.
Kumbuka boxing ni mchezo kama michezo mingine, na kwenye michezo kutambiana ni jambo la kawaida sana wala si uadui.

Dulla mbabe yeye ametamba lazima amuue Twaha Kiduku hivyo mashabiki wakija uwanjani waje na jeneza kabisa.

Halafu kamtambia kwamba kama Twaha atavuka raundi ya saba , basi kwenye mkataba wake laki mbili zake zikatwe na apewe Twaha Kiduku.
 
Kumbuka boxing ni mchezo kama michezo mingine, na kwenye michezo kutambiana ni jambo la kawaida sana wala si uadui.

Dulla mbabe yeye ametamba lazima amuue Twaha Kiduku hivyo mashabiki wakija uwanjani waje na jeneza kabisa.

Halafu kamtambia kwamba kama Twaha atavuka raundi ya saba , basi kwenye mkataba wake laki mbili zake zikatwe na apewe Twaha Kiduku.
sawa mkuu..ngoja tusuburi pambano tuone mbabe nani..but me ni shabiki mkubwa wa Dulla mbabe.
 
Kumbuka boxing ni mchezo kama michezo mingine, na kwenye michezo kutambiana ni jambo la kawaida sana wala si uadui.

Dulla mbabe yeye ametamba lazima amuue Twaha Kiduku hivyo mashabiki wakija uwanjani waje na jeneza kabisa.

Halafu kamtambia kwamba kama Twaha atavuka raundi ya saba , basi kwenye mkataba wake laki mbili zake zikatwe na apewe Twaha Kiduku.

Kutakuwa na mapambano mangapi ya utangulizi?
 
Jamani wekeni picha zao tuwatambue mmoja baada ya mwingine. Naanza kuvutiwa mno na mipambano ya mabondia ya waTZ.

A.Dulla Mbabe
B.Twaha Kiduku
C.Wengineo
 
Back
Top Bottom