manning
JF-Expert Member
- Apr 1, 2013
- 5,092
- 11,947
akizungumza manzese mzee aliekosa soni pamoja na kupewa tahadhari na washirika wao yani CUF hiyo ni ngome yao DK HAKUJALI CUF ILISHINDA MITAA 3 na mingine mitano walishika nafasi ya pili.
pamoja na kutumiwa msg kujulishwa dk slaa hakujali .
ukawa waingalie chadema wanaitumia kugain popularity lakin hawaheshimu MOU
MFANO NI GEITA ARUSHA MJINI NA SASA MANZESE.
CHADEMA NI CHAMA CHA KILAGHAI
Pilipili usizokula zakuwashia nini? si ni nafuu kwenu kppvu la nini mkuu. Mtu akitaka kukata roho anawapa watu matumaini na hii ndo CCM kwa sasa.