Kimeanza kunuka UKAWA, maneno ya Makwilo

Kimeanza kunuka UKAWA, maneno ya Makwilo

Sasa huyu nae kaandika nini au kaanza kuchizi?
 
mkuu wewe hunatofauti na ccm (wezi, wauaji); naona unafurahia migogoro??. Watu wanataka mabadiliko watu wanataka usawa, na uwajibikaji, watu wanataka maendeleo , watu wanataka utu wa mtu uonekane, watu wanataka haki, wewe kila kukicha ni kuchochea migogoro... Unafaidika nini na haya ndugu, wakati ndugu zako wanakufa kwa kukosa madawa hospitalini, wakati pesa zipo na zinamilikiwa na wachache tu??;

dr.slaa ni muongo,alicho zungumza ktk mkutano wa hadhara manzese sicho tulicho rumbana ktk sms.mimi nimemwambia.mhe.imetangazwa kuwa unakuja manzese ila ujue huku hakuna ukawa,chadema na cuf wote wamesimamisha sasa wewe kuja kubaliki matendo ya uvunjaji wa ukawa. Dk.slaa akaniambia nimpe muhtasari wa ukawa kata ya manzese.mimi nikamwambia kwani hao viongozi wa chadema wamekupa muhtasari? Dk,slaa akaniambia wewe makwilo ndio tatizo sasa utake usitake chadema watagombea tuu.mimi nikamwambia utadhalilika dk.slaa akasema wewe una maslahi ktk cuf na mimi nina maslahi katka chadema.dk.slaa amesema ktk mkutano kwamba cuf imevunja ukawa manzese na kusema chadema ilikuwa ya pili mitaa yote ya manzese na hata udiwani.maneno haya ya dk.slaa niya uongo.manzese mitaa yote inaongozwa na ccm.na chama kilicho shika nafasi ya pili ktk sm/mitaa 2009 ni cuf.
 
Huyu babu aache kugombana na watoto anajivunjia heshima.
 
sijui wewe jamaa umeandika nini? unatuletea maneno yako ya kimtaanimtaani? weka point tujadili!
 
DR.SLAA NI MUONGO,alicho zungumza ktk mkutano wa hadhara manzese sicho tulicho rumbana ktk sms.mimi nimemwambia.mhe.imetangazwa kuwa unakuja manzese ila ujue huku hakuna ukawa,chadema na cuf wote wamesimamisha sasa wewe kuja kubaliki matendo ya uvunjaji wa ukawa. DK.SLAA akaniambia nimpe muhtasari wa ukawa kata ya manzese.mimi nikamwambia kwani hao viongozi wa chadema wamekupa muhtasari? DK,SLAA akaniambia wewe makwilo ndio tatizo sasa utake usitake chadema watagombea tuu.mimi nikamwambia utadhalilika DK.SLAA akasema wewe una maslahi ktk cuf na mimi nina maslahi katka chadema.DK.SLAA amesema ktk mkutano kwamba cuf imevunja ukawa manzese na kusema chadema ilikuwa ya pili mitaa yote ya manzese na hata udiwani.maneno haya ya DK.SLAA niya uongo.manzese mitaa yote inaongozwa na ccm.na chama kilicho shika nafasi ya pili ktk sm/mitaa 2009 ni cuf.

Vipi ndugu ulikuwa mstari wa mbele kuitangaza ACT hapa JF lakini muda mrefu umepita bila kuonekana hapa kulikoni? vipi ile issue ya kuwatimua akina Mwigamba na Kitila imeishia wapi? na vipi Zitto kama Mwenyekiti wenu anaingia lini huko? na imekuwaje mmejitoa kwenye uchaguzi wa Serikali za mitaa?
 
Utakuwa umerogwa si bure kwani aliyeleta mada ni mwanaccm? Kwa tarifa yako mleta mada ni mwanachadema mwenzako aliyeasi akahamia ACT.

Kwani kuna tofauti kati ya CCM na ACT? ACT=CCM
 
huyu babu aache kugombana na watoto anajivunjia heshima.

hivi kwa akili yako dr slaa anaweza kumjibu au kulumbana na huyu mpuuzi? Huyu ambaye level zake ni kina mchange?
 
umbea classic.....sasa tutathibitisha vipi maneno yako hayo
 
Utakuwa umerogwa si bure kwani aliyeleta mada ni mwanaccm? Kwa tarifa yako mleta mada ni mwanachadema mwenzako aliyeasi akahamia ACT.

Asa mwanaCHADEMA mwenzako ALIYEASI akahamia ACT,umeshasema mtu KAASI afu unamwita MWANACHADEMA wakati unasema kahamia ACT una wazimu eeh???........humu muanze kuwapima watu akili kabla hawajajiunga puumbav.......mtaa wangu kasimamishwa jamaa wa CUF na sifanyi makosa UKAWA DAIMA.
 
Back
Top Bottom