Kimeanza kunuka UKAWA, maneno ya Makwilo

Kimeanza kunuka UKAWA, maneno ya Makwilo

DR.SLAA NI MUONGO,alicho zungumza ktk mkutano wa hadhara manzese sicho tulicho rumbana ktk sms.mimi nimemwambia.mhe.imetangazwa kuwa unakuja manzese ila ujue huku hakuna ukawa,chadema na cuf wote wamesimamisha sasa wewe kuja kubaliki matendo ya uvunjaji wa ukawa. DK.SLAA akaniambia nimpe muhtasari wa ukawa kata ya manzese.mimi nikamwambia kwani hao viongozi wa chadema wamekupa muhtasari? DK,SLAA akaniambia wewe makwilo ndio tatizo sasa utake usitake chadema watagombea tuu.mimi nikamwambia utadhalilika DK.SLAA akasema wewe una maslahi ktk cuf na mimi nina maslahi katka chadema.DK.SLAA amesema ktk mkutano kwamba cuf imevunja ukawa manzese na kusema chadema ilikuwa ya pili mitaa yote ya manzese na hata udiwani.maneno haya ya DK.SLAA niya uongo.manzese mitaa yote inaongozwa na ccm.na chama kilicho shika nafasi ya pili ktk sm/mitaa 2009 ni cuf.

Ondoa unafiki na uongo..

Huna tofauti na mchawi
 
Naona Act wameanza majungu ya Mume wake yule yupo Lumumba... Baada yakuona serekali za mita hawapati kitu
 
Unajisikiaje kupost pumba..?

Huyo ni mchawi mkubwa tena shetani kabisa..

Nilibahatika kuhudhuria mimutano kadhaa ya Dr Slaa na yote aliitumia kunadi wagombea wa Ukawa.Alisimama jukwaani na wagombea wa cuf,nccr na chadema.
 
Najua huyu hatarudia tenda kukojoa sebuleni mchana jua linawaka
 
akizungumza manzese mzee aliekosa soni pamoja na kupewa tahadhari na washirika wao yani CUF hiyo ni ngome yao DK HAKUJALI CUF ILISHINDA MITAA 3 na mingine mitano walishika nafasi ya pili.
pamoja na kutumiwa msg kujulishwa dk slaa hakujali .
ukawa waingalie chadema wanaitumia kugain popularity lakin hawaheshimu MOU
MFANO NI GEITA ARUSHA MJINI NA SASA MANZESE.
CHADEMA NI CHAMA CHA KILAGHAI
 
akizungumza manzese mzee aliekosa soni pamoja na kupewa tahadhari na washirika wao yani CUF hiyo ni ngome yao DK HAKUJALI CUF ILISHINDA MITAA 3 na mingine mitano walishika nafasi ya pili.
pamoja na kutumiwa msg kujulishwa dk slaa hakujali .
ukawa waingalie chadema wanaitumia kugain popularity lakin hawaheshimu MOU
MFANO NI GEITA ARUSHA MJINI NA SASA MANZESE.
CHADEMA NI CHAMA CHA KILAGHAI

Sa umeongea nn hapo? We kweli honge la nyau aka "big pu.ssy"
 
haaa haa naona Chadema imewakalia kooni Maccm
Nani kamtumia hiyo SMS je ulioneshwa?
 
Kwa hiyo wewe liccm ndio umekuwa mtetezi wa UKAWA?
Ukawa itatetewa na wanaUKAWA na sio ccm.
Hata CUF unaotaka kuwagombanisha na CHADEMA wanakushanga unavyohangaika!
 
Back
Top Bottom