Dotto C. Rangimoto
JF-Expert Member
- Nov 22, 2012
- 1,985
- 1,286
DR.SLAA NI MUONGO,alicho zungumza ktk mkutano wa hadhara manzese sicho tulicho rumbana ktk sms.mimi nimemwambia.mhe.imetangazwa kuwa unakuja manzese ila ujue huku hakuna ukawa,chadema na cuf wote wamesimamisha sasa wewe kuja kubaliki matendo ya uvunjaji wa ukawa. DK.SLAA akaniambia nimpe muhtasari wa ukawa kata ya manzese.mimi nikamwambia kwani hao viongozi wa chadema wamekupa muhtasari? DK,SLAA akaniambia wewe makwilo ndio tatizo sasa utake usitake chadema watagombea tuu.mimi nikamwambia utadhalilika DK.SLAA akasema wewe una maslahi ktk cuf na mimi nina maslahi katka chadema.DK.SLAA amesema ktk mkutano kwamba cuf imevunja ukawa manzese na kusema chadema ilikuwa ya pili mitaa yote ya manzese na hata udiwani.maneno haya ya DK.SLAA niya uongo.manzese mitaa yote inaongozwa na ccm.na chama kilicho shika nafasi ya pili ktk sm/mitaa 2009 ni cuf.