Kimbembe! Kupata passport mpya ya kusafiria

Kimbembe! Kupata passport mpya ya kusafiria

Wewe una akili kubwa lkn bado hujaelewa mantiki yangu! Kwa hiyo tusisafiri ughaibuni hadi zoezi la kutoa vitambulisho vya taifa litakapokamilika?

Vv
Acha uzuzu ukienda ninda unapewa namba ya kitambulisho chako cha utaifa na barua yako ya kukuthibitisha sema sis wabongo tunapenda vitu rahis rahis sana kama wew huna shida wewe ungekuwa na shida ungeshafata utaratibu huo

Hakuna anaekuzuia kusafir nje ya nchi hata siku moja ila fuata utaratibu achen siasa za kipumbavu ndio maana tunakuwa maskin kwa kupenda siasa nyiny kila kitu katika mitandao muda wote hamna muda wa kuzalisha Mali

Nenda nida ukapewa namba ya kitambulisho chako then upate passport tako ulaya kwenyewe mnaenda kwa ufadhil alafu mnasumbua watu hapa
 
Mkuu kwa kuwa yeye hasafiri kwenda nje haoni kabisa umuhimu wa wanakwenda nje hahahaa anataka watu wabaki ndani tu
 
Salaam!

Majuzi nilipata fursa flani ya kwenda nchini ujerumani kimasomo (Summer Schools), nikaenda uhamiaji pale kurasini kushughurikia passport.....

Lahaulaaa....

Naambiwa mkulu kasema kigezo cha kupata pass ya kusafiria ni kuwa na kitambulisho cha taifa. Nikashangaa sana.
Nikiangalia mchakato wa kupata kitambulisho cha uraia namna unavyoendeshwa kwa kusuasua nikajiuliza maswali kwamba inawezekanaje icho kikawa ndio kigezo pekee cha kupata passport!
Nikijiangalia nina miezi kama miwili tangu nijiandikishe kupata kitambulisho cha uraia na mpaka leo sijakipata. Tuliambia vitambulisho vikiwa tayari mwenyekiti wa mtaa atawatangazia na mtapata.
Just imagine, eti askari wa uhamiaji ananiambia kwa confidence kabisa kwamba siwezi kupata hati ya kusafiria bila hicho kitambulisho licha ya kumuonyesha documents zote za muhimu ambazo ni:-

Cheti cha kuzaliwa,

Barua ya mualiko wa hiyo Summer School Scholarship,

Form ya kuomba passport ya uhamiaji yenye kukidhi vigezo na wadhamini wasiotia shaka (hii nilijazia mkoani kabla ya kushauriwa na afisa uhamiaji wa mkoani kwamba niende dar makao makuu),

Kopi za vitambulisho vingine muhimu vinavyoleta tija kwenye kuomba hati ya kusafiria (government issued),

Kopi za vyeti vya elimu yangu tangu sekondary mpaka shahada yangu ya pili,
Picha za passport size wanazozitaka wao

Kopi ya nakala niliyojiandikisha ili kupata kitambulisho cha uraia huku mkoani kwetu. (Ambacho bado nasubiri)


Cha ajabu sasa.......
Majibu niliyopewa ni kwamba tamko kutoka juu limetoka na kigezo ni kitambulisho cha uraia kwanza otherwise nenda ofisi ya rais akuandikie barua ya kuturuhusu sisi kuprocess hiyo hati unayoitaka. Nilijiuliza maswali mengi bila majibu.......

Je watawala wetu wanatambua namna mchakato wa kupata kitambulisho cha uraia ulivyo slow huku uraiani?

Je watawala wetu na wafanyakazi wa uhamiaji hawana mbinu zingine za kung'amua eligibility ya kumpa mtu hati ya kusafiria?

Je watawala wetu wanatambua kwamba asilimia kubwa ya watanzania wengi kwasasa hawana vitambulisho vya uraia lakini isiwe kigezo cha kuwakosesha fursa zingine wanazozipigania kwa nguvu na jasho lao?

Je watawala wanatambua kwamba wao pia wanaweza kwa namna moja ama nyingine wakawa wanazuia maendeleo ya raia wao kwa kuweka vigezo visivyo na mashiko wala mamtiki kwenye masuala nyeti na yenye kuhitaji uharaka?

Mwisho ningependa kutoa rai kwa watawala hawa... Wasichanganye siasa na mambo ya kitaalamu au ya kisayansi. Nimekosa fursa hii adimu kwa kuchelewa kuscan pasi yangu ya kusafiria kwa wakati. Fursa imepeperuka kwakuwa kwasasa sina kitambulisho cha uraia ambacho nimeshajiandikisha kitambo tu ila hawataki kuvitoa mapema. Ama kwa hakika kuna baadhi ya mambo ya nchi hii yananisikitisha sana.

Nini maoni yako kama mwananchi wa kawaida. Washauri kitu chochote idara ya uhamiaji ya nchi hii. Asante
Pole sana ndugu. Ila kwa umri huu, ulitakiwa uwe na hiyo hati siku nyingi.
 
Wewe ni nani kwenye hii nchi mpaka useme huo mchakato ni wa kisiasa? Wewe ni mbunge wa upinzani? Kiongozi wa chama cha upinzani? Au activist dhidi ya Serikali?

Ulienda ukiwa umevaa mavazi ya chama pinzani?
Hivyo videgree vyako viwili ndio vimeleta siasa? Kama "msomi" argument building inakua ya kipumbavu hivi bora hata usingeenda shule.
Hivi umemuelewa kweli huyu mtu alichojibu au umeona neno siasa ukaona mzee wako anashambuliwa?
 
Thanx Nyamsusa JB.Hata Mimi nimekutana na changamoto km hiyo ars.Lakin sasa I know hw to deal with it.Appreciated.
 
Salaam!

Majuzi nilipata fursa flani ya kwenda nchini ujerumani kimasomo (Summer Schools), nikaenda uhamiaji pale kurasini kushughurikia passport.....

Lahaulaaa....

Naambiwa mkulu kasema kigezo cha kupata pass ya kusafiria ni kuwa na kitambulisho cha taifa. Nikashangaa sana.
Nikiangalia mchakato wa kupata kitambulisho cha uraia namna unavyoendeshwa kwa kusuasua nikajiuliza maswali kwamba inawezekanaje icho kikawa ndio kigezo pekee cha kupata passport!
Nikijiangalia nina miezi kama miwili tangu nijiandikishe kupata kitambulisho cha uraia na mpaka leo sijakipata. Tuliambia vitambulisho vikiwa tayari mwenyekiti wa mtaa atawatangazia na mtapata.
Just imagine, eti askari wa uhamiaji ananiambia kwa confidence kabisa kwamba siwezi kupata hati ya kusafiria bila hicho kitambulisho licha ya kumuonyesha documents zote za muhimu ambazo ni:-

Cheti cha kuzaliwa,

Barua ya mualiko wa hiyo Summer School Scholarship,

Form ya kuomba passport ya uhamiaji yenye kukidhi vigezo na wadhamini wasiotia shaka (hii nilijazia mkoani kabla ya kushauriwa na afisa uhamiaji wa mkoani kwamba niende dar makao makuu),

Kopi za vitambulisho vingine muhimu vinavyoleta tija kwenye kuomba hati ya kusafiria (government issued),

Kopi za vyeti vya elimu yangu tangu sekondary mpaka shahada yangu ya pili,
Picha za passport size wanazozitaka wao

Kopi ya nakala niliyojiandikisha ili kupata kitambulisho cha uraia huku mkoani kwetu. (Ambacho bado nasubiri)


Cha ajabu sasa.......
Majibu niliyopewa ni kwamba tamko kutoka juu limetoka na kigezo ni kitambulisho cha uraia kwanza otherwise nenda ofisi ya rais akuandikie barua ya kuturuhusu sisi kuprocess hiyo hati unayoitaka. Nilijiuliza maswali mengi bila majibu.......

Je watawala wetu wanatambua namna mchakato wa kupata kitambulisho cha uraia ulivyo slow huku uraiani?

Je watawala wetu na wafanyakazi wa uhamiaji hawana mbinu zingine za kung'amua eligibility ya kumpa mtu hati ya kusafiria?

Je watawala wetu wanatambua kwamba asilimia kubwa ya watanzania wengi kwasasa hawana vitambulisho vya uraia lakini isiwe kigezo cha kuwakosesha fursa zingine wanazozipigania kwa nguvu na jasho lao?

Je watawala wanatambua kwamba wao pia wanaweza kwa namna moja ama nyingine wakawa wanazuia maendeleo ya raia wao kwa kuweka vigezo visivyo na mashiko wala mamtiki kwenye masuala nyeti na yenye kuhitaji uharaka?

Mwisho ningependa kutoa rai kwa watawala hawa... Wasichanganye siasa na mambo ya kitaalamu au ya kisayansi. Nimekosa fursa hii adimu kwa kuchelewa kuscan pasi yangu ya kusafiria kwa wakati. Fursa imepeperuka kwakuwa kwasasa sina kitambulisho cha uraia ambacho nimeshajiandikisha kitambo tu ila hawataki kuvitoa mapema. Ama kwa hakika kuna baadhi ya mambo ya nchi hii yananisikitisha sana.

Nini maoni yako kama mwananchi wa kawaida. Washauri kitu chochote idara ya uhamiaji ya nchi hii. Asante
Pole sana Mwalupale..angalau wewe unaepata fursa ya kwenda kupumua dhidi ya mazingaombwe ya hapa.
 
Hivi urenew passport ni sh.ngapi ? Au unatakiwa kwenda na nini?
 
Salaam!
Cha ajabu sasa.......
Majibu niliyopewa ni kwamba tamko kutoka juu limetoka na kigezo ni kitambulisho cha uraia kwanza otherwise nenda ofisi ya rais akuandikie barua ya kuturuhusu sisi kuprocess hiyo hati unayoitaka.

Mwisho ningependa kutoa rai kwa watawala hawa... Wasichanganye siasa na mambo ya kitaalamu au ya kisayansi. Nimekosa fursa hii adimu kwa kuchelewa kuscan pasi yangu ya kusafiria kwa wakati. Fursa imepeperuka kwakuwa kwasasa sina kitambulisho cha uraia ambacho nimeshajiandikisha kitambo tu ila hawataki kuvitoa mapema. Ama kwa hakika kuna baadhi ya mambo ya nchi hii yananisikitisha sana.

Nini maoni yako kama mwananchi wa kawaida. Washauri kitu chochote idara ya uhamiaji ya nchi hii. Asante
Upuuzi wa serikali yetu inabidi uingie kwenye Guinness World Record book. Pole sana. Na huwezi kufungua kampuni bila ya kuwa na kitambulisho cha uraia wakati idadi ya wenye vitambulisho hivyo ni ndogo kuliko wasionavyo. Zoezi la kutoa vitambulisho ni la kusuasua at best. Unazungumza tuwashauri? Hawashauriki. Ni kama robot flani hivyi inafanya vitu repetitively bila kufikiria.
 
Binafsi sioni tofauti ya kitambulisho cha kura na uraia zaidi ya majina tu.nia yao tu n hovyo.hawataki watu watoke na kupambana na vyuma vilivyokaza.kuna watu wakiwa hawataki jambo lifanyike ni kutoa vigezo ambavyo wanajua huwezi kizi.sawa na mtu anakuambia ili ufanikishe jambo fulani upeleke ushuzi wa mbwa.utapata wap?
 
Hamutakiwi kukimbia nchi.... Munatakiwa kufia humohumo. Bora waliokimbia mapema kama Mange... Japo wengine ukifika wakati waku renew itatucost vilevile
 
Mkuu nafikiri tunatakiwa tusisafiri nje ya nchi kama wengine.
Mimi nilienda ku renew nimekutana na kikwazo kama hicho.
Paspoti yangu inakoma 27/3/2018, hii inaninyima kupewa visa.
Nani wa kumshauri huyu mkuu wetu?
Pole sana mkuu, hivi uki-renew unapewa hiyo wanayoita e-passport?
 
Back
Top Bottom