Hapana, mambo ya bongo hayajanishinda kwa sababu mimi siyo mwanasiasa. Kuhusu kushauri Tanzania, binafsi nimeshatoa ushauri mwingi sana kwa kutumia njia mbalimbali; kutoa ushauri ni jambo moja, na kuutekeleza ni kitu kingine. Nikiwa kwenye siasa sitafanya ujinga kama unaofanywa na wanasiasa wa Tanzania leo au kama ujinga uliofanywa na huyu bwana mdogo. Kumbuka kuwa kinachotofautisha vichaa na watu wengine ni zile bongo zao; ubongo wangu uko kwenye spectrum tofauti sana na wanasiasa wa Tanzania pamoja na ule wa huyu bwana mdogo.
Unadhani kuwa huna la kuifanyia nchi yako hadi uwe mwanasiasa?! kama unadhani wale wote wanaoharibu na kuuza rasilimali zetu ni wanasiasa, fikiria vizuri!
Kikulacho ki nguoni mwako, asingemuua huyo mjombake, basi mjombake angemuua yeye kwa kushirrikiana na Marekani.
Dawa ya wasaliti ni kifo tu, haswa yanapokuja maslah ya taifa.
Ukikamata muuza unga nyonga, haramia kama yule mbeba matofali ua tu, walioibiaa BOT, ua tu, wahujumu ucvhumi wa kila namna, ua tu....
China isingekuwa inanyonga leo isingefika hapo ilipo.
Ili nchi iendelee inahitaji watu wenye discipline ya hali ya juu na wachapakazi.
Unadhani kuwa huna la kuifanyia nchi yako hadi uwe mwanasiasa?! kama unadhani wale wote wanaoharibu na kuuza rasilimali zetu ni wanasiasa, fikiria vizuri!
Sijajua unachonieleza hapo sasa una maana gani. Topiki iliyopo hapa mbele yetu inahusu wanasiasa, na nilikuwa natoa ushauri wa kisasa; ukanisema kuwa nimeshindwa ya Tanzania nitawapaje wengine ushauri, ndipo nikakuambia kuwa mimi siyo mwanasiasa ila ushauri nilishautoa mwingi kwa wanasiasa wetu. Sasa hii post yako ya mwisho inaonyesha kuwa wewe ni mkurupukaji asiye kuwa makini na anachoandika. Sijui ndugu yangu unataka nifikirie kitu gani vizuri kwani inaelekea unadhani kuwa sijui kufikiri vizuri. Mimi ni mwalimu wa karibu miaka 30 nikiwa nafundisha vyuo mbalimbali, ninajua kufikiri na ninafanya kazi yangu ya ualimu vizuri sana; ushauri wa Kim ndio huo niliotoa tena kwa kufikiri vizuri sana. Ukiua mtu mmoja influential huwa una-create kundi kubwa la maadui ambao walikuwa followers wake. Huwezi kuongoza nchi vizuri ukiwa na maadui wengi, simple and clear! Usimamizi wa serikali ni kazi ya wanasiasa; wanaposhindwa kufanya kazi yao ya kuisimamia serikali ndipo wanaporuhusu watu binafsi kuiba raslimali za umma.
Huu ujumbe unatakiwa uwafikie wasaliti wengine kama akina zitto na akina mkumbo kwamba kosa lao lina adhabu ya kifo na hivyo wamshukuru Mungu kwa kuzaliwa bongo
Sijajua unachonieleza hapo sasa una maana gani. Topiki iliyopo hapa mbele yetu inahusu wanasiasa, na nilikuwa natoa ushauri wa kisasa; ukanisema kuwa nimeshindwa ya Tanzania nitawapaje wengine ushauri, ndipo nikakuambia kuwa mimi siyo mwanasiasa ila ushauri nilishautoa mwingi kwa wanasiasa wetu. Sasa hii post yako ya mwisho inaonyesha kuwa wewe ni mkurupukaji asiye kuwa makini na anachoandika. Sijui ndugu yangu unataka nifikirie kitu gani vizuri kwani inaelekea unadhani kuwa sijui kufikiri vizuri. Mimi ni mwalimu wa karibu miaka 30 nikiwa nafundisha vyuo mbalimbali, ninajua kufikiri na ninafanya kazi yangu ya ualimu vizuri sana; ushauri wa Kim ndio huo niliotoa tena kwa kufikiri vizuri sana. Ukiua mtu mmoja influential huwa una-create kundi kubwa la maadui ambao walikuwa followers wake. Huwezi kuongoza nchi vizuri ukiwa na maadui wengi, simple and clear! Usimamizi wa serikali ni kazi ya wanasiasa; wanaposhindwa kufanya kazi yao ya kuisimamia serikali ndipo wanaporuhusu watu binafsi kuiba raslimali za umma.
Kwa hiyo unataka kuniaminisha kuwa, wewe kuwa mwalimu wa chuo kwa miaka zaidi ya thelathini ndiyo ushahidi usiokuwa na shaka kuwa unafikiria vizuri? Ama ndiyo ushahidi kuwa mawazo yako ni sahihi wakati wote?!
Lecturers wengi mna imani potofu sana! Kufundisha watu kunawafanya mjiamini kupita kiasi! Mnajawa viburi na kuwa wa kwanza kutangaza kazi zenu na miaka yenu kazini ili kulazimisha kusikilizwa! Nimewaona wengi hivyo ninajua ninaloliongelea! Just because wanafunzi wako wanakusikiliza darasani kwako, haimaanishi kuwa uko sahihi wakati mwingi! Kindly, take that as a lesson!
Kwani kuwa na maadui/wapinzani ni kitu kibaya?! So kwako wewe, wale 'wasio na maadui/wapinzani', (if they really do exist) ndio watu wanaofanikiwa katika uongozi!? Ama mtu anatakiwa apendwe na watu wote (asiwe na mpinzani)?!!
Inasemekana pia mkasa mzima ni issue za mapenzi, kuwa huyu uncle wake(Jang Song Thaek) alikuwa ni mpenda vimwana sana(womaniser) na alikuwa ameanza kumtongoza mke wa mwenye kaya(simply his son) mrembo Ri Soul Ju na dogo akapata taarifa. Huyu mke wake inasemekana hajaonekana hadharani karibia miezi miwili sasa.
Ingawa ni kweli huyu uncle wake Kim amekuwa kwa muda mrefu akitofautiana kimawazo na chama na serikali yake lakini wachambuzi wengi wanapinga kuwa msimamo wake huo ungeweza kumpelekea kupanga mapinduzi maana kwa mfumo wa North Korea hiyo ni almost impossible.
Huyu dogo(Kim Jing Un) anaonekana ni mtata sana kuliko hata baba na babu yake. Toka aingie madarakani tayari amemfukuza aliyekuwa mkuu wa majeshi Gen. Ri Young Ho ambaye mpaka sasa naye hajulikani alipo. Pia miezi kadhaa tu nyuma inasemekana alimnyonga mpenzi wake wa zamani bibie Hyon Song Wol kwa tuhuma za kurekodi mkanda wa ngono. Kwa maoni yangu sidhani kama dogo Kim anaweza kudumu madarakani muda mrefu kama watangulizi wake.
Inasemekana pia mkasa mzima ni issue za mapenzi, kuwa huyu uncle wake(Jang Song Thaek) alikuwa ni mpenda vimwana sana(womaniser) na alikuwa ameanza kumtongoza mke wa mwenye kaya(simply his son) mrembo Ri Soul Ju na dogo akapata taarifa. Huyu mke wake inasemekana hajaonekana hadharani karibia miezi miwili sasa.
Ingawa ni kweli huyu uncle wake Kim amekuwa kwa muda mrefu akitofautiana kimawazo na chama na serikali yake lakini wachambuzi wengi wanapinga kuwa msimamo wake huo ungeweza kumpelekea kupanga mapinduzi maana kwa mfumo wa North Korea hiyo ni almost impossible.
Huyu dogo(Kim Jing Un) anaonekana ni mtata sana kuliko hata baba na babu yake. Toka aingie madarakani tayari amemfukuza aliyekuwa mkuu wa majeshi Gen. Ri Young Ho ambaye mpaka sasa naye hajulikani alipo. Pia miezi kadhaa tu nyuma inasemekana alimnyonga mpenzi wake wa zamani bibie Hyon Song Wol kwa tuhuma za kurekodi mkanda wa ngono. Kwa maoni yangu sidhani kama dogo Kim anaweza kudumu madarakani muda mrefu kama watangulizi wake.
[h=2]Friday, December 13, 2013[/h][h=3]Mjomba wa kiongozi wa Korea ya Kaskazini, Jang Song-Taek anyongwa[/h]
[TABLE="class: tr-caption-container"]
[TR]
[TD="align: center"][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: tr-caption, align: justify"]Jang Song-Taek, mjomba wa kiongozi wa Korea ya Kaskazini. REUTERS/China Daily[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
Na Flora Martin Mwano
Serikali ya Korea Kaskazini imesema imemnyonga Jang Song-Thaek ambae ni mjomba wa kiongozi mkuu wa nchi hiyo Kim Jong-Un. Thaek ambaye alikuwa na ushawishi mkubwa nchini humo amekabiliwa na adhabu hiyo baada ya kupatikana na hatia ya usaliti.
Serikali za Marekani na Korea Kusini zimelaani adhabu iliyotolewa kwa kiongozi huyo.
Jang Song-Thaek, mwenye umri wa miaka 67 alikuwa na majukumu makubwa katika serikali, na alikuwa na nafasi ya pili nchini baada ya mpwa wake, ambae ni kiongozi wa nchi hio Kim Jong-Un aliyechukua nafasi ya kuingoza Korea Kaskazini baada ya kifo cha baba yake Kim Jong-Il miaka miwili iliyopita.
Jang Song-Thaek, alikamatwa juma liliopita, akiwa mkutanoni, na kuhukumiwa na mahakama ya kijeshi jana alhamisi adhabu ya kifo.
Mtuhumiwa alichukuliwa na serikali ya Korea ya Kaskazini kama mhaini baada ya kutaka kuipindua uongozi wa chama na serikali, ili aiweke Korea Kaskazini katika mfumo mwengine, ambao ni tofauti na ule wa kisoshalisti.
Kwa mujibu wa kituo cha habari cha Korea ya Kaskazini KCNA, Jang alikiri mahakamani yeye mwenyewe kuhusika na makosa ya kupanga njama za kuipindua serikali, akiwasihi wenzake ambao alikua akishirikana nao kulishawishi jeshi la taifa.
Jang Song-Taek, alikua naibu mwenyekiti wa halmashauri ya ulinzi wa kitaifa, ambayo ni taasisi inayochukua maamuzi mkubwa nchini humo.
Kunyongwa kwa Thaek kunatafsiriwa kama mkakati wa kiongozi wa nchi hiyo Kim Jong-un kutaka kuimarisha utawala wake.
Tanzania tunawachekea mafisadi
tungewanyonga nchi ingenyooka hakuna mtu ambae angechezea rasilimali za nchi
Chadema mkishika nchi hawa mafisadi na wezi wote wa mali za umma tunawanyongea uwanja wa taifa with live TV coeverage,,nchi ingesalimika watu wangefanya kazifedha za halmashauri zingesalimika
tumezidi mno upole.
Kinachonishtua ni uharaka wa baadhi ya nchi katika kutekeleza adhabu ya kifo. Huyu kahukumiwa na muda mfupi tu kanyongwa. Iraq pia kwa Saddam, na hivyo imekuwa kwa hukumu za watu wengine. Bangladesh juzi kwa yule jamaa wa uhalifu wa kivita. Iran etc.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.