Kim Jong Un’s Uncle Executed

Kwa hiyo unataka kuniaminisha kuwa, wewe kuwa mwalimu wa chuo kwa miaka zaidi ya thelathini ndiyo ushahidi usiokuwa na shaka kuwa unafikiria vizuri? Ama ndiyo ushahidi kuwa mawazo yako ni sahihi wakati wote?!

Lecturers wengi mna imani potofu sana! Kufundisha watu kunawafanya mjiamini kupita kiasi! Mnajawa viburi na kuwa wa kwanza kutangaza kazi zenu na miaka yenu kazini ili kulazimisha kusikilizwa! Nimewaona wengi hivyo ninajua ninaloliongelea! Just because wanafunzi wako wanakusikiliza darasani kwako, haimaanishi kuwa uko sahihi wakati mwingi! Kindly, take that as a lesson!

Kwani kuwa na maadui/wapinzani ni kitu kibaya?! So kwako wewe, wale 'wasio na maadui/wapinzani', (if they really do exist) ndio watu wanaofanikiwa katika uongozi!? Ama mtu anatakiwa apendwe na watu wote (asiwe na mpinzani)?!!

Uongozi mzuri hupatikana kwa kuunganisha watu siyo kwa kujenga maadui. Kuna njia nyingi sana za kukabiliana na maadui wako kisasa kwa kuwa-nuetralize, siyo kuwaua. Iwapo kila mwanasiasa atajenga utaratibu wa kuwaua maadui zake, basi Obama angekuwa kawamaliza wengi sana, kwani hata Hillary Clinton asingekuwa waziri wa mambo ya nje wa marekani. Angalia historia nyingi kuwa wanasiasa wazuri hufanya kazi vizuri sana na wapinzani wao kisiasa na wakafanikiwa; Kennedy na Johnson, Reagan na Bush, Clinton na Gore. Baya zaidi kwa huyu bwana mdogo ni kuwa ndani ya mauaji hayo kutakuwa na mvurugano wa kijamilia pia, labda kama huyo aliyeuwawa hakuwa na watoto wake wa kuzaa.

Tusiandikie mate kwa leo, tuiachie historia ichukue mkondo wake; time will tell. Tutakuja kurudia majadiliano ya aina hii katika muda usiozidi miaka kumi.

Kuhusu kazi ya ualimu, nadhani wewe una mawazo finyu ya kufikiria ualimu wa chaki tu ambapo mwalimu anakuwa na uhusiano na wanafunzi wake darasani tu; kwa mtazamo huo nitakuachia hapo. Ila nimekuambia kazi yangu tu kutokana na jibu lako kuhusu mimi kutokuwa mwanasiasa ukadai kuwa wanaoiba raslimali siyo wanasiasa ila nifikirie tena vizuri. Mimi kama mwalimu kwana silioni kama hilo ni jambo linahitaji kufikiria vizuri kwa vile liko wazi, halafu sina jukumu la kuwashika waiba raslimali hao, ila ninaweza kuwashauri wanasiasa wahusika namna ya kufanya baada ya kufanya uchambuzi wa kina. Uchambuzi wa mambo na kuifahamisha jamii matokeo ya uchambuzi huo ndiyo sehemu kubwa ya ualimu, siyo chaki kama unavyojua wewe. Tumekuwa tunatoa ushauri wa mara kwa mara kwa serikali, na kama ilivyo maana yake ushauri ni ushauri siyo amri. Ni jukumu la serikali kuupokea aua kuukataa ushauri huo, halafu tunasuibiri matokeo yake.
 
North Korean leader Kim Jong-Un
executed his powerful uncle by stripping
him naked then feeding him to 120
starved dogs, according to media reports.
Jang Song Thaek was not alone, however,
to face the brutal execution. Five of his
closest aides were also stripped naked,
thrown into the cage and then set upon
by the ravenous hunting hounds,
according to a report in Hong Kong-based
pro-Beijing newspaper Wen Wei Po.
Song Thaek, who had been considered
the second most powerful man in the
secretive nation after Jong-Un, and his
aides were executed last month after
being tried for “attempting to overthrow
the state,” according to North Korea’s
state news agency – although the official
account did not say how Jang was
executed.
The country’s 31-year old leader Jong-Un
had described his uncle as a “despicable
human scum, worse than a dog.”
After one hour Song Thaek and his aides
were “completely eaten up,” Wen Wei Po
reported.
The gruesome scene, known “quan jue,”
or execution by dogs, was supervised by
leader Jong-Un and his older brother Kim
Jong Chol, who supervised the killings
along with 300 other officials, according
to the newspaper.
The leak of the brutal execution by a
newspaper known as the mouthpiece of
the Chinese government has raised
speculation about China’s growing
frustration with North Korea especially
after the purge of senior leaderships with
close ties to China.
The Global Times, linked to the Chinese
Communist Party organ, followed up on
Wen Wei Po’s report with strongly worded
editorial calling upon China to no longer
coddle North Korea, according to the
Straight Times
Jang Song Thaek was executed along
with five aides in December.hii adhabu inafaa hapa kwetu?
 
Huyu "Dear leader" ni psycho

Ninashangaa uhusiano wake na Denis Rodman kama anaweza kumfanyia hivi uncle wake

China is pissed,tusubiri regime change tu hapa

The dynasty is about to fall. Reunification is on the horizon
 
Wachina walikuwa na deal ndefu na huyo mjomba wake Kim, sasa kwa kuwa ameshafariki hawana tena raha na North Korea ndio maana wanakuja na story za ajabu ajabu sana!
 
[h=1]Jinsi Mbwa 120 walivyomtafuna mjomba wa kiongozi wa Korea ya Kaskazini[/h]



.walimvua nguo na kumtupa kwenye ngome ya Mbwa wenye njaa 120.Rais Kim Jong Un alikataa mjomba wake kunyongwa bali kuliwa na mbwa akiwa uchi wa mnyama.kiongozi huyo na viongozi wengine 300 walishuhudia ukatili huo wa kutisha.Adhabu hiyo iitwayo ‘Quan jue’ ilidumu kwa saa moja.Mjomba wake alishtakiwa kwa hila na rushwa na matumizi mabaya ya madarakaNa Damas Makangale, kwa Msaada wa MtandaoTaarifa zilizovuja kutoka mashirika mbalimbali ya habari duniani ni kwamba Kiongozi wa Korea Kaskazini, Kim Jong-Un alishuhudia jinsi mjomba wake Jang Thaek akiliwa na mbwa karibu 120 akiwa uchi wa mnyama kama adhabu mbadala badala ya kunyongwa.Taarifa zinasema kuwa kiongozi huyo wa Korea Kaskazini aliamuru mjomba wake avuliwe nguo zote na kubaki uchi wa mnyama na kisha mbwa kumtafuna akiwa hai mpaka kifo chake, watetezi wa haki za binadamu wanasema ni adhabu ya kikatili ambayo dunia haijawahi kushuhudia kwa miongo kadhaa.Watu wa karibu na wanafamilia wanasema Mjomba wake huyo alipelekwa kwenye ngome hiyo na wasaidizi wake watano na kuachiwa kwa mbwa wenye njaa ya siku tatu ili waweze kumshughulikia.


Mmoja wa Mbwa Mwitu aliyekaa na njaa kwa siku tatu ambaye alitekeleza hukumu ya Jang Song-Thaek mjomba wa Rais wa Korea ya Kaskazini.Maelezo ya kutisha yaliojitokeza katika ripoti katika gazeti la Straits Times la Singapore , ambayo lilisema kitendo hicho ni cha kutisha na kinajulikana kama ‘ Quan jue ‘, au ‘ utekelezaji wa adhabu kwa kutumia mbwa wenye njaa.Thaek , alivaa suti ya bluu na pingu akisindikizwa katika mahakama ya Desemba 12, aliuawa na mbwa mwitu , kulingana na ripoti kutoka China. Thaek , alivaa suti ya bluu na pingu akisindikizwa katika mahakama ya Desemba 12, aliuawa na mbwa mwitu , kulingana na ripoti kutoka China.Taarifa zinaongeza kiongozi huyo wa Korea ya Kaskazini Kim Jong- Un alikuwa anatoa ujumbe katika sikukuu ya mwaka mpya kwa wakorea wote nchini humo.Wachambuzi wanasema kiongozi huyo jeuri alikuwa na ujumbe maalum kwa viongozi walioalikwa kwenye sherehe ya kifo cha mjomba wake kama onyo kwamba wanapaswa kufuata taratibu na endapo kiongozi yeyote atakiuka taratibu adhabu kali itachukuliwa dhidi yake. Kim Jong-Un akiwa na mjomba wake enzi za uhai wake. Kim Jong-Un, akitoa hotuba kwa taifa hilo siku ya sikukuu ya mwaka mpya. Baadhi ya viongozi wa ngazi za juu wa Korea ya Kaskazini ambao walishuhudia adhabu hiyo ya kikatili.
 
...tumpeleke zito akajifunze maana ya kunywa maji ya bendera...
 
Back
Top Bottom