Kim Jong Un’s Uncle Executed

Kim Jong Un’s Uncle Executed

001372acd6e11410b8af11.jpg


Jang Sung-taek

North Korean Politician





Jang Sung-taek was a leading figure in the government of North Korea. He was married to Kim Kyong-hui, aunt of Kim Jong-un, the supreme leader of North Korea. Wikipedia





Born: February 2, 1946, Kangwon Province, North Korea



Died: December 12, 2013



Spouse: Kim Kyong-hui (m. 1972)



Party: Workers' Party of Korea



Education: Moscow State University, Kim Il-sung University



Children: Jang Kum-song


 
Huyu mtoto kakosea sana; huyo mjomba wake alikuwa anajua mengi sana kuliko yeye mwenyewe kwa vile amekuwapo tangu walikotokea hadi walipofika hapo walipo. Alitakiwa amtumie vizuri tu lakini nadhani kakurupuka ili kuonyesha nguvu zake. Mzee alikuwa akimshauri apunguze makali ya ubabe ili wafuate mkondo wa China kukuza uchumi wao, lakini dogo ambaye bado anaishi ndotoni akaona huyo ni traitor.

Ila hata hivyo kumbe ni kweli kuwa wanawake hawaaminiki kwa vile chanzo cha yote ni kutoka kwa mkewe wa miaka mingi. Sasa mama anabaki mjane kwa umbeya wake mwenyewe.

Wabongo kwa porojo tunaongoza! Wewe ya kwetu hapa yamekishinda kushauri unataka kugeuka mtaalamu wa ushauri wa wakorea?!
 
Wabongo kwa porojo tunaongoza! Wewe ya kwetu hapa yamekishinda kushauri unataka kugeuka mtaalamu wa ushauri wa wakorea?!

Hapana, mambo ya bongo hayajanishinda kwa sababu mimi siyo mwanasiasa. Kuhusu kushauri Tanzania, binafsi nimeshatoa ushauri mwingi sana kwa kutumia njia mbalimbali; kutoa ushauri ni jambo moja, na kuutekeleza ni kitu kingine. Nikiwa kwenye siasa sitafanya ujinga kama unaofanywa na wanasiasa wa Tanzania leo au kama ujinga uliofanywa na huyu bwana mdogo. Kumbuka kuwa kinachotofautisha vichaa na watu wengine ni zile bongo zao; ubongo wangu uko kwenye spectrum tofauti sana na wanasiasa wa Tanzania pamoja na ule wa huyu bwana mdogo.
 
Yaani kesi, hukumu, na kunyongwa siku hiyo hiyo?

Justice system North Korean style!

If proved beyond doubt auwawe hata hapohapo, zile mambo za kusubiri mwaka kumuua mtu na wakati imethibitika kafanya ushenzi ni kwetu Miafrika tu
 
If proved beyond doubt auwawe hata hapohapo, zile mambo za kusubiri mwaka kumuua mtu na wakati imethibitika kafanya ushenzi ni kwetu Miafrika tu
Noma, Iko siku fat boy watamwondoa tu
 
cc Zitto zuberi kabwe na wakili wake msando
hivi ndivyo wasaliti hutendwa, kuanzia usikizwaji wa kesi, hukumu na ukaziaji wa hukumu.
 
Hii nimeipenda labda Ridhiwani akiachiwa kiti watakoma ,kesi siku hiyo na hukumu siku hiyo ,Roma wa watu piga kelele no awards
 
Hii kitu ingeruhusiwa tz sijui huko chadema ingekuwaje
 
He deserved it. Kama alikuwa ameila kiapo ya kutunza siri za nchi yake, kukiuka kiapo ni kifo tu. Sasa hao marekani walukuwa wapi at the time of execution? That should serve as a tough lesson to others wenye tabia ka hizo.
 
Siungi mkono adhabu ya kifo kwa huyu mzee. Huyu mtoto angetumia busara angalau akamweka kizuizini kuliko kumuua. Anyway, he sent out a strong message to everyone that no one will be spared if he could not spare his uncle's life.

Tiba
 
North korea imetangaza imemnyonga mjomba wa kiongozi wa nchi Kim kwa kosa la usaliti.
hii imekuja siku chache tu baada ya kumfukuza kazi
 
Safi,hapa tanzania wana ccm wote tungekua tumeshawanyonga jinsi wanavyotudanganya kila kukicha!mwaka 2005 gesi ya kupikia ilikua sh 18000 kwa mtungi kg15,leo sh54000,sukari sh450 leo sh2000 pamoja na rais,pm kusema iuzwe sh1700
 
Hiyo sheria ikija Tanzania ccm wote watanyongwa.!!
 
nchi za Asia zimepiga maendeleo kwa haraka sana japo tulikuwa nao sawa miaka ya 70.
kwa sababu ya kuwa na sheria kama hizi.
Ebu fikiria Tanzania kiongozi anapewa pesa ya kwenda dubai. thailand na malaysia harafu aendi au akienda anakaa siku moja wakat kapewa pesa ya kukaa siku 6.

na ata aulizwi anatumbua pesa tu
 
Back
Top Bottom