Kilio hiki bwana Lowassa utakilipia kabla ya 2015

Kilio hiki bwana Lowassa utakilipia kabla ya 2015

Boda Boda jamaniiiii....hata January alidai ndo alipendekezaa kubuniwaa kwa bima (safari njema) kwa ajili ya boda boda na wasafiri wake....
Laigwanani wajua chama kupitia Nape kinamdhibitiiii sana. Marufuku kwa miezi 12 ijayo kukutanaa na makundii ya kijamiii(kanisani, msikiti,bodaboda....)
Ila ------ kamdhibitiii sana huyuu Rafiki yake wa zamanii..duuuuh..utafikirii hawakukutanaa barabarani???
 
wapi hujaelewa maalimu wangu?
Unapomlaumu E.L kwa ajili ya Boda Boda.Nionavyo mimi ni kuwa kwenye chama chake wanashindwa kasi yake hivyo wanaamua kuwatesa bodaboda waone maisha bado ni magumu hata baada ya E.L kuwapa hizo bodaboda.Kuhusu shule za kata, hilo ni bomu baya kweli kweli!Heri chakula kibichi kuliko chakula half cooked.Shule za kata zimezalisha halfcooked tanzanians wengi sana.Ila acha Maccm yaumizane yenyewe, na ikitokea watanzania wakayachagua tena basi tuwaache na shida zao!
 
Nakazia maneno, wewe ni muuaji na lazima nawe ufe tena ufe tukusahau kabisa kama Alvov Mejavic,

Miezi sita iliyopita ulijitwalia kwanguvu umiliki wa wana BODABODA katika ardhi ya Tanganyika bila hata kupitia PPR ama mbadulaluvanza, ukawajaza ujinga, ukawateka wakatekeka na ukawaambia wewe ni alfa na omega,

Leo serikali ya chama chako imekupiga ngwara, imechora mstari kwa bodaboda kuiona pepo ya mjini daslam, ndio hawatakiwi kula baga posta wala kuona vimini samora, umewanyima haki yao yamsingi yakustarehesha macho na roho zao,

Sasa wanalia kilio cha mbwa mwizi meno yote thelathina nje mbili. Hawajui wapeleke wapi hizo bodaboda, wapo wanaofikiria kuhamia Monduli huenda huko kukawa na unafuu maana nasikia wewe huko una jamhuri yako na utakuw rais wa Malaigwanani huko,

Tabia hii yakusaka umaarufu kwa nguvu utailipia tu utake usitake, na malupo yake ni kifo kama ulivyoua machipuzi ya makinda hawa wengi wao waliosoma shule za kata, umesababisha Muhimbili ifurike antena za vilema kwasababu yakusaka sifa zako,

Umewanunilia bodaboda huku ukijua sera ya chama chako haiwataki mijini?? Kweli wewe hufai hata kuwa mwenyekiti wa kwaya ya kanisa langu langu la Marastafari,

Nasema tena utalipa kwa kifo kitakatifu kabla ya 2015, kilio cha mnyonge kinabaraka za Jah.

Nyie vijana wa bodaboda, Chadema ndiemkombozi wenu kwa sera yake nzuri ya ajira kwa vijana, unganeni kuikomboa nchi dhidi ya majitu mumiani kama Edward Ngoyai Lowassa.

kabla sijakusoma nilisoma post za watu kama watano nikaona wana lalamika hawajakuelewa lakini baada ya kusoma mimi nimeelewa labda ungewajuza kuwa waendesha boda boda ni marufuku kuingia mjini dar es salaam...
 
kabla sijakusoma nilisoma post za watu kama watano nikaona wana lalamika hawajakuelewa lakini baada ya kusoma mimi nimeelewa labda ungewajuza kuwa waendesha boda boda ni marufuku kuingia mjini dar es salaam...

hahaaa karibu chifu, nimeeleza wazi kuwa hawaruhusiwi kula baga posta wala kusafisha macho kwakuona vimini vya samora,
 
Huyu jamaa kwa nn asipigwe ban?MM siku moja nimetaja jina "Jambazi ni Lema", baada ya saa moja nikapigwa ban,sijui tatizo nin,au hii JF ni ya Chadema?MODs naombeni muongozo pliz

Ili kuwe na consistancy inabidi upigwe ban nyingine kwa kurudia kosa..................!!
 
Lazima nchi iwe na standards bwana, miji mikuu mingi duniani haina vurugu za pikipiki na bajaji. ibaki pembezoni mwa mji ndio kuwe na hizo vurugu
 
Ili kuwe na consistancy inabidi upigwe ban nyingine kwa kurudia kosa..................!!
Itakuwa bora zaidi,coz siwezi kuona haki yangu inabinywa nikanyamaza na watu wengine hata wakiandika mambo yenye uchochezi na udaku usio kuwa na maana wakiachwa as if wao hii JF ni yao
 
Sasa wewe Yericko Nyerere unacholalamikia ni bodaboda kunyimwa kuingia mjini au ni dua za kumuombea EL afariki dunia.
Hata mi siungi mkono thread dhaifu kama hii ya kwako mods kuiacha hewan haina maana wala maadili kabisa.
 
Last edited by a moderator:
Ule utabiri aliotabiriwa Lowassa kutoka kwa Nabii Joshua ni nini alikosea kwenye masharti aliyopewa?
 
Mie namsubiri huyu Yericko ikitokea akaja hospitali kupima hata malaria lazima nimpe referral letter to MILEMBE ili akafanyiwe cit-scan ya kichwa maana inawezekana ni mgonjwa wa akili!
 
=> Yericko Nyerere...!!!

=> I never thought...but I imagined or suspected u were MOST STUPID all over ur body & mind...now my imagination or suspicion WAS RIGHT...

=> Ur such a DEAD WALKING MAN....purely dead... spirit & mind....

=> Ur foolishness...hooliganism...arrogance...ignorance....
& political myopia is BEYOND ENDURANCE....

=> Shenzi kabisa ww... kisa cha kumwombea mwenzako KIFO..??? I believe u only carry vyeti tu kama umepitia chuo...kama hata huna elimu ya kutosha ur most stupid man of its kind.....MTU KAMA WW NDIO WA KWANZA KUTUMIA UPUMBAVU WAKO KUANZISHA VURUGU NA UMWAGAJI DAMU....

==> Ma------ yako ww...


Nakazia maneno, wewe ni muuaji na lazima nawe ufe tena ufe tukusahau kabisa kama Alvov Mejavic,

Miezi sita iliyopita ulijitwalia kwanguvu umiliki wa wana BODABODA katika ardhi ya Tanganyika bila hata kupitia PPR ama mbadulaluvanza, ukawajaza ujinga, ukawateka wakatekeka na ukawaambia wewe ni alfa na omega,

Leo serikali ya chama chako imekupiga ngwara, imechora mstari kwa bodaboda kuiona pepo ya mjini daslam, ndio hawatakiwi kula baga posta wala kuona vimini samora, umewanyima haki yao yamsingi yakustarehesha macho na roho zao,

Sasa wanalia kilio cha mbwa mwizi meno yote thelathina nje mbili. Hawajui wapeleke wapi hizo bodaboda, wapo wanaofikiria kuhamia Monduli huenda huko kukawa na unafuu maana nasikia wewe huko una jamhuri yako na utakuw rais wa Malaigwanani huko,

Tabia hii yakusaka umaarufu kwa nguvu utailipia tu utake usitake, na malupo yake ni kifo kama ulivyoua machipuzi ya makinda hawa wengi wao waliosoma shule za kata, umesababisha Muhimbili ifurike antena za vilema kwasababu yakusaka sifa zako,

Umewanunilia bodaboda huku ukijua sera ya chama chako haiwataki mijini?? Kweli wewe hufai hata kuwa mwenyekiti wa kwaya ya kanisa langu langu la Marastafari,

Nasema tena utalipa kwa kifo kitakatifu kabla ya 2015, kilio cha mnyonge kinabaraka za Jah.

Nyie vijana wa bodaboda, Chadema ndiemkombozi wenu kwa sera yake nzuri ya ajira kwa vijana, unganeni kuikomboa nchi dhidi ya majitu mumiani kama Edward Ngoyai Lowassa.
 
Nakazia maneno, wewe ni muuaji na lazima nawe ufe tena ufe tukusahau kabisa kama Alvov Mejavic,

Miezi sita iliyopita ulijitwalia kwanguvu umiliki wa wana BODABODA katika ardhi ya Tanganyika bila hata kupitia PPR ama mbadulaluvanza, ukawajaza ujinga, ukawateka wakatekeka na ukawaambia wewe ni alfa na omega,

Leo serikali ya chama chako imekupiga ngwara, imechora mstari kwa bodaboda kuiona pepo ya mjini daslam, ndio hawatakiwi kula baga posta wala kuona vimini samora, umewanyima haki yao yamsingi yakustarehesha macho na roho zao,

Sasa wanalia kilio cha mbwa mwizi meno yote thelathina nje mbili. Hawajui wapeleke wapi hizo bodaboda, wapo wanaofikiria kuhamia Monduli huenda huko kukawa na unafuu maana nasikia wewe huko una jamhuri yako na utakuw rais wa Malaigwanani huko,

Tabia hii yakusaka umaarufu kwa nguvu utailipia tu utake usitake, na malupo yake ni kifo kama ulivyoua machipuzi ya makinda hawa wengi wao waliosoma shule za kata, umesababisha Muhimbili ifurike antena za vilema kwasababu yakusaka sifa zako,

Umewanunilia bodaboda huku ukijua sera ya chama chako haiwataki mijini?? Kweli wewe hufai hata kuwa mwenyekiti wa kwaya ya kanisa langu langu la Marastafari,

Nasema tena utalipa kwa kifo kitakatifu kabla ya 2015, kilio cha mnyonge kinabaraka za Jah.

Nyie vijana wa bodaboda, Chadema ndiemkombozi wenu kwa sera yake nzuri ya ajira kwa vijana, unganeni kuikomboa nchi dhidi ya majitu mumiani kama Edward Ngoyai Lowassa.
waungane na huyu:mvutaji:?

attachment.php
 
Pamoja na hayo yoote, Sasa inakuwaje Ndesamburo wa Chadema anamsapoti Lowasa?
 
Nakazia maneno, wewe ni muuaji na lazima nawe ufe tena ufe tukusahau kabisa kama Alvov Mejavic,

Miezi sita iliyopita ulijitwalia kwanguvu umiliki wa wana BODABODA katika ardhi ya Tanganyika bila hata kupitia PPR ama mbadulaluvanza, ukawajaza ujinga, ukawateka wakatekeka na ukawaambia wewe ni alfa na omega,

Leo serikali ya chama chako imekupiga ngwara, imechora mstari kwa bodaboda kuiona pepo ya mjini daslam, ndio hawatakiwi kula baga posta wala kuona vimini samora, umewanyima haki yao yamsingi yakustarehesha macho na roho zao,

Sasa wanalia kilio cha mbwa mwizi meno yote thelathina nje mbili. Hawajui wapeleke wapi hizo bodaboda, wapo wanaofikiria kuhamia Monduli huenda huko kukawa na unafuu maana nasikia wewe huko una jamhuri yako na utakuw rais wa Malaigwanani huko,

Tabia hii yakusaka umaarufu kwa nguvu utailipia tu utake usitake, na malupo yake ni kifo kama ulivyoua machipuzi ya makinda hawa wengi wao waliosoma shule za kata, umesababisha Muhimbili ifurike antena za vilema kwasababu yakusaka sifa zako,

Umewanunilia bodaboda huku ukijua sera ya chama chako haiwataki mijini?? Kweli wewe hufai hata kuwa mwenyekiti wa kwaya ya kanisa langu langu la Marastafari,

Nasema tena utalipa kwa kifo kitakatifu kabla ya 2015, kilio cha mnyonge kinabaraka za Jah.

Nyie vijana wa bodaboda, Chadema ndiemkombozi wenu kwa sera yake nzuri ya ajira kwa vijana, unganeni kuikomboa nchi dhidi ya majitu mumiani kama Edward Ngoyai Lowassa.


Hiyo mibangi unayovuta ni stimu za kulanduka, kama hii si fani yako kwakweli utaumbuka.:majani7:
Asante Juma Nature
 
Nakazia maneno, wewe ni muuaji na lazima nawe ufe tena ufe tukusahau kabisa kama Alvov Mejavic,

Miezi sita iliyopita ulijitwalia kwanguvu umiliki wa wana BODABODA katika ardhi ya Tanganyika bila hata kupitia PPR ama mbadulaluvanza, ukawajaza ujinga, ukawateka wakatekeka na ukawaambia wewe ni alfa na omega,

Leo serikali ya chama chako imekupiga ngwara, imechora mstari kwa bodaboda kuiona pepo ya mjini daslam, ndio hawatakiwi kula baga posta wala kuona vimini samora, umewanyima haki yao yamsingi yakustarehesha macho na roho zao,

Sasa wanalia kilio cha mbwa mwizi meno yote thelathina nje mbili. Hawajui wapeleke wapi hizo bodaboda, wapo wanaofikiria kuhamia Monduli huenda huko kukawa na unafuu maana nasikia wewe huko una jamhuri yako na utakuw rais wa Malaigwanani huko,

Tabia hii yakusaka umaarufu kwa nguvu utailipia tu utake usitake, na malupo yake ni kifo kama ulivyoua machipuzi ya makinda hawa wengi wao waliosoma shule za kata, umesababisha Muhimbili ifurike antena za vilema kwasababu yakusaka sifa zako,

Umewanunilia bodaboda huku ukijua sera ya chama chako haiwataki mijini?? Kweli wewe hufai hata kuwa mwenyekiti wa kwaya ya kanisa langu langu la Marastafari,

Nasema tena utalipa kwa kifo kitakatifu kabla ya 2015, kilio cha mnyonge kinabaraka za Jah.

Nyie vijana wa bodaboda, Chadema ndiemkombozi wenu kwa sera yake nzuri ya ajira kwa vijana, unganeni kuikomboa nchi dhidi ya majitu mumiani kama Edward Ngoyai Lowassa.
Wewe kweli kichwa nazi,EL hatoingia ikulu kwa mgongo wa bodaboda kama unaona bodaboda na dili tumieni kumuingiza ajuza wenu Dr Slaa
 
Back
Top Bottom