Tafakari yetu
JF-Expert Member
- Apr 19, 2021
- 1,502
- 4,408
Ndo ujue JF Ina mabata wengi.Anasubiri SSH amtumbue Ndugai.Ule si muhimili mwingine....
Ukiwa na ubongo wa panzi baki nao bavichaNdo ujue JF Ina mabata wengi.Anasubiri SSH amtumbue Ndugai.
Maneno ya watu ni uchawi mkubwa sana! Si unaona yaliyompata Sabaya? Sintashangaa kwa Ndugai!Atarogwa tu kama mwendazake
Bata.Ukiwa na ubongo wa panzi baki nao bavicha
Kamanda kubali tu kuwa ubongo wako sio wa kujadili mambo mazito na makubwa. Wenye uelewa wameelewa namna ambayo spika anaweza kutolewaBata.
Tangu Rais Samia atengue uteuzi wa DC sabaya kupisha uchunguzi wa tuhuma mbalimbali ndidi yake hisia zinaniambia Siku za Spika Ndugai zinahesabika ikizingatiwa kwamba makosa ya spika yanaonekana in makubwa kuliko ya Sabaya.
Siku vyama vya upinzani wakikutana na mwenyekiti wa CCM na Rais wetu ,spika Ndugai aombe mchakato wa kupata wabunge wa viti maalumu kupitia CHADEMA haukuwa na dosari yoyote
Basi ukiwa kiazi kaa kwa kutulia.Tangu Rais Samia atengue uteuzi wa DC sabaya kupisha uchunguzi wa tuhuma mbalimbali ndidi yake hisia zinaniambia Siku za Spika Ndugai zinahesabika ikizingatiwa kwamba makosa ya spika yanaonekana in makubwa kuliko ya Sabaya.
Siku vyama vya upinzani wakikutana na mwenyekiti wa CCM na Rais wetu ,spika Ndugai aombe mchakato wa kupata wabunge wa viti maalumu kupitia CHADEMA haukuwa na dosari yoyote
Spika anaingiliwa sana tuHujui mihimili inafanya vipi kazi, Spika haingiliwi, bado huelewi, hivi nyie watu akili zenu shule mlisoma wapi? Unamlinganisha level ya Spika na DC? Kweli? Ndio maana Chadema imejaa mazezeta wengi sana, Hivi unamjua Spika vizuri na ni mhimili gani?