Tulimumu
JF-Expert Member
- Mar 11, 2013
- 14,305
- 12,968
Kwahiyo Mungu amchukue?
Kwakuwa Rais hana mamlaka ya kumtengua huyo rectified psycho na kwakuwa bunge limejaa matakataka ya ccm basi huyu tunamuombea Mungu tu atajua chakufanya.