Bams
JF-Expert Member
- Oct 19, 2010
- 16,505
- 41,013
Ndugai anaweza kutumbuliwa kupitia njia tofauti na zile za kuwatumbua wateuliwa. Ndugai akionekana ana kosa, anaweza kutumbuliwa kupitia vikao vya chama chake, kwa kuwatumia wabunge, japo kwa sasa, hilo inaonekana ni vigumu kutokea.Ndo ujue JF Ina mabata wengi.Anasubiri SSH amtumbue Ndugai.