Kilindi, Tanga: Watu watano wauawa kwenye mapigano ya Wakulima na Wafugaji

Mi yangu ya Kabudi cha mtoto linatoka linarudi. We tumacho twako tudogo kama twawachina? Mpaka unaona ya IGP makubwa kuliko yako?
Kwa hiyo mwanangu ukipiga chafya ukabumba mdomo macho yanaweza kuchomoka sio 😃😃😃😃😳😳😳😳😳
 
Lakini huwa nasikia usalama wa taifa wamejaa kila kona ya nchi mpaka vijijini. Ilikuwaje huko mpaka mapigano yanaanza, vyombo vya ulinzi na usalama hawajapata taarifa? Au haihusiani na usalama wa nchi?

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Kama Alishindwa KUJIUZULU kwa MO DEWJI KUTEKWA na ATATOA UONGO MWINGI hawezi KUJIUZULU kwa hili la mtwara

Sent from my SM-J600F using JamiiForums mobile app
 
Kustafu kwenyewe hataki itakuwa hiyo ya kujiudhuru.⁵

1379545E-C0D2-4E3F-B0B6-922A5B48ABBC.jpeg
 
Ajiuzuru! Kwan ziro ni mtu wa pwan? Wanaoweza kujiwajibisha na kujiuzur ni watu wa pwan tu, km mwinyi enzi akiwa wazir mambo ya ndan alijiuzur usifananishe na hii kitu ya bara﴾mara﴿ utasubir sana
 
Ajiuzuru! Kwan ziro ni mtu wa pwan? Wanaoweza kujiwajibisha na kujiuzur ni watu wa pwan tu, km mwinyi enzi akiwa wazir mambo ya ndan alijiuzur usifananishe na hii kitu ya bara﴾mara﴿ utasubir sana
Mkuu kwani yule Mnazareth- Mgalilaya anayemjua mke wa Masihi naye ni wa Pwani?
 
Hili suala la Mauaji ya Wakulima na wafugaji,
Tukiacha kutumia sheria tukaanza kutumia utashi na kujaribu kufurahisha watu kisiasa , shauri yenu !!1
 
Mkuu wa wilaya ya Kilindi, Abel ameongoza kamati ya ulinzi na usalama wilayani kusaka miili ya marehemu waliouawa katika mapigano ya Wakulima na Wafugaji wilayani Kilindi.

Tayari miili mitano imeshapatikana na polisi wameweka ulinzi mkali.

View attachment 2101608

Chanzo: ITV habari

=====

Watu watano akiwemo mtoto wameuawa baada ya kufuatia mapigano baina ya wakulima na wafugaji katika kijiji cha Elerai kilichopo wilayani Kilindi mkoani Tanga ambapo Mkuu wa Wilaya hiyo amefika katika eneo la tukio na kuzitaka pande zote mbili kusitisha mapigano hayo wakati serikali ikitafuta suluhu ya jambo hilo.

----
Watu watano wamefariki dunia kwa kupigwa risasi na kukatwa mapanga huku wengine watatu wakijeruhiwa kufuatia mapigano ya wakulima na wafugaji yaliotokea Wilayani Kilindi mkoani Tanga katika kijiji cha Kibirashi na Elerai.

Wakielezea chanzo cha mapigano hayo mashuhuda wa tukio hilo wamesema ni mgogoro wa ardhi uliopo kati ya wakulima na wafugaji wa vijiji hivyo ambao vuguvugu zake zilianza muda mrefu bila kupata ufumbuzi wa kudumu, ambapo leo Januari 30 ndio ikatoa tukio la mapigano katiya pande hizo mbili.

Mkulima Richard Masaki amesema waliona vijana jamii ya kimasai wakiingia katika eneo lao na kuanza kuwashambulia, kwa kuwapiga na baadae yakaanza mapigano ya mapanga na risasi hadi kutokea vifo hivyo.

Aidha mfugaji David Kimaki amesema ampoteza mjukuu wake Betina ambae ameuwawa kwa kukatwa na Panga katika shambulio hilo.

"Tulivyopita mbele kidogo tukashambuliwa kwa risasi, nikajua ni wale wale watu nikachukua hatua nikampigia OCD kumpa taarifa kwamba huku kuna mauaji mengine, tukaongozana na kuona miili mingine zaidi", amesema Kimaki.
Mkuu wa wilaya ya Kilindi Abel Busalama akiwa eneo la tukio licha ya kuongoza zoezi la kukusanya miili ya marehemu amesema watu watano wamefariki dunia na watutu kujeruhiwa, kutokana na tukio hilo.

Aidha amezitaka pande zote mbili kusitisha mapigano na kusalimisha silaha zao ili utatuzi wa mgogoro huo ufanyike kwa njia ya amani kwani njia wanayotumiwa hawawezi kupata utatuzi.

"Wito ninaotoa kwa pande zote mbili zinazozingamana hapa ni kuacha mapigano haya haraka, kwani mapigano haya hayawezi kusaidia katika kutafuta ufumbuzi na waweke silaha zao chini", amesema DC Busalama.
Wenyeviti wa Vijijini,na kata na mkuu wa Wilaya kwa nini muruhusu wafiugaji kuja na mifugo maeneo ya wakulima kwa kisingizio cha ukame?

Kwa nini mnaruhusu ufugaji wa kishenzi kama huu?
 
Mkuu wa wilaya ya Kilindi, Abel ameongoza kamati ya ulinzi na usalama wilayani kusaka miili ya marehemu waliouawa katika mapigano ya Wakulima na Wafugaji wilayani Kilindi.

Tayari miili mitano imeshapatikana na polisi wameweka ulinzi mkali.

View attachment 2101608

Chanzo: ITV habari

=====

Watu watano akiwemo mtoto wameuawa baada ya kufuatia mapigano baina ya wakulima na wafugaji katika kijiji cha Elerai kilichopo wilayani Kilindi mkoani Tanga ambapo Mkuu wa Wilaya hiyo amefika katika eneo la tukio na kuzitaka pande zote mbili kusitisha mapigano hayo wakati serikali ikitafuta suluhu ya jambo hilo.

----
Watu watano wamefariki dunia kwa kupigwa risasi na kukatwa mapanga huku wengine watatu wakijeruhiwa kufuatia mapigano ya wakulima na wafugaji yaliotokea Wilayani Kilindi mkoani Tanga katika kijiji cha Kibirashi na Elerai.

Wakielezea chanzo cha mapigano hayo mashuhuda wa tukio hilo wamesema ni mgogoro wa ardhi uliopo kati ya wakulima na wafugaji wa vijiji hivyo ambao vuguvugu zake zilianza muda mrefu bila kupata ufumbuzi wa kudumu, ambapo leo Januari 30 ndio ikatoa tukio la mapigano katiya pande hizo mbili.

Mkulima Richard Masaki amesema waliona vijana jamii ya kimasai wakiingia katika eneo lao na kuanza kuwashambulia, kwa kuwapiga na baadae yakaanza mapigano ya mapanga na risasi hadi kutokea vifo hivyo.

Aidha mfugaji David Kimaki amesema ampoteza mjukuu wake Betina ambae ameuwawa kwa kukatwa na Panga katika shambulio hilo.

"Tulivyopita mbele kidogo tukashambuliwa kwa risasi, nikajua ni wale wale watu nikachukua hatua nikampigia OCD kumpa taarifa kwamba huku kuna mauaji mengine, tukaongozana na kuona miili mingine zaidi", amesema Kimaki.
Mkuu wa wilaya ya Kilindi Abel Busalama akiwa eneo la tukio licha ya kuongoza zoezi la kukusanya miili ya marehemu amesema watu watano wamefariki dunia na watutu kujeruhiwa, kutokana na tukio hilo.

Aidha amezitaka pande zote mbili kusitisha mapigano na kusalimisha silaha zao ili utatuzi wa mgogoro huo ufanyike kwa njia ya amani kwani njia wanayotumiwa hawawezi kupata utatuzi.

"Wito ninaotoa kwa pande zote mbili zinazozingamana hapa ni kuacha mapigano haya haraka, kwani mapigano haya hayawezi kusaidia katika kutafuta ufumbuzi na waweke silaha zao chini", amesema DC Busalama.
Bunduki wamezitoa wapi?
 
Back
Top Bottom