duh! hata sijui tuwasaidiaje maana ndio taifa lilipofikia" tunajaribu kupaza sana sauti umu majukwaan lakin tunaonekana kama vilaza fln , kilichobaki tunawaachia wenye nchi yao wafanye wanavyotaka maana sisi wengine tumeshakuwa wakimbiziHaijaelezwa ila mpaka wamegoma Ina maana haiko sawa mbona mwanzoni hawakugoma
yaan kazi tunayo kwa kweli na safar bado n ndefuduh! hata sijui tuwasaidiaje maana ndio taifa lilipofikia" tunajaribu kupaza sana sauti umu majukwaan lakin tunaonekana kama vilaza fln , kilichobaki tunawaachia wenye nchi yao wafanye wanavyotaka maana sisi wengine tumeshakuwa wakimbizi
Anaepanga ushuru hajawahi hata kuuza mchicha unategemea nini? Anaropoka tu laki tatu kwasababu kazoea kuipata kirahisi kwa rushwa hajui hata thamani yake!We are mentally sick for real.. Huo ushuru hakuna mtu atakuwa tayari kulipa
na wahisika wapo kimya tuuuui!Anaepanga ushuru hajawahi hata kuuza mchicha unategemea nini? Anaropoka tu laki tatu kwasababu kazoea kuipata kirahisi kwa rushwa hajui hata thamani yake!
Hapo wameshapiga mahesabu yao ktk hiyo lak 3 ofisin itaenda ngap na mfukoni ngapAnaepanga ushuru hajawahi hata kuuza mchicha unategemea nini? Anaropoka tu laki tatu kwasababu kazoea kuipata kirahisi kwa rushwa hajui hata thamani yake!