Songea mashamba meng Kaka hata ukihtaj leo unapata
Mambo ya ukulima wa mboga nayajua japo siyo kwa kiwango cha biashara. Nyumbani nimelima sana bustani.
Nakushauri ufanye hivi. Baada ya kupata ushauri wa jumla hapa jaribu kufanya haya. 1. Je sehemu unayotaka kufanya kilimo kuna watu wanalima vitunguu? Kama wapo basi wao wanaweza kukupa uzoefu mzuri sana kwa kuongea nao. Usihofu kuulizia kwani wakulima ni kundi la watu wenye roho nzuri sana kwenye kuelimishana na kuonyeshana connection, siyo kama wafanyabiashara wanaozibiana riziki. Kama hamna walima vitunguu jaribu kuchunguza ni kwa nini. 2. Usianze kwa kulima sehemu kubwa. Anza na pilot study. Nununua eg mbegu za aina tatu tofauti, na uzipande kwenye bustani ndogo ndogo eg kila aina ya mbegu iwe na bustani tano, kwa hiyo utakuwa na bustani 15. Otesha na tunza bustani zako kwa uangalifu mpaka utakapovuna. Mavuno yako yatakupa uzoefu na mwelekeo wa kilimo. Unaweza kupiga hata mahesabu kwa kutumia hizo bustani kujua kama utalima heka moja au mbili utategemea kuvuna kiasi gani na ni mbegu gani inazaa zaidi, ina magonjwa zaidi, na ina bei nzuri. Ni kiasi cha kugawanya tu heka moja inachukuwa bustani kama ulizolima kiasi gani.
 
Mambo ya ukulima wa mboga nayajua japo siyo kwa kiwango cha biashara. Nyumbani nimelima sana bustani.
Nakushauri ufanye hivi. Baada ya kupata ushauri wa jumla hapa jaribu kufanya haya. 1. Je sehemu unayotaka kufanya kilimo kuna watu wanalima vitunguu? Kama wapo basi wao wanaweza kukupa uzoefu mzuri sana kwa kuongea nao. Usihofu kuulizia kwani wakulima ni kundi la watu wenye roho nzuri sana kwenye kuelimishana na kuonyeshana connection, siyo kama wafanyabiashara wanaozibiana riziki. Kama hamna walima vitunguu jaribu kuchunguza ni kwa nini. 2. Usianze kwa kulima sehemu kubwa. Anza na pilot study. Nununua eg mbegu za aina tatu tofauti, na uzipande kwenye bustani ndogo ndogo eg kila aina ya mbegu iwe na bustani tano, kwa hiyo utakuwa na bustani 15. Otesha na tunza bustani zako kwa uangalifu mpaka utakapovuna. Mavuno yako yatakupa uzoefu na mwelekeo wa kilimo. Unaweza kupiga hata mahesabu kwa kutumia hizo bustani kujua kama utalima heka moja au mbili utategemea kuvuna kiasi gani na ni mbegu gani inazaa zaidi, ina magonjwa zaidi, na ina bei nzuri. Ni kiasi cha kugawanya tu heka moja inachukuwa bustani kama ulizolima kiasi gani.
Ahsante Sana kaka
 
Hii mada nzuri sana. Hakika nitaweka kambi hapa. Ila nilichogundua baada ya kusoma threads nyingi za wakulima tofauti tofauti ni kuwa mtu hasemi kilichomfelisha shambani, anakimbilia kukukatisha tamaa tu kuwa zao fulani ni gumu sana . Ninachoomba wadau tuseme ni chanagamoto gani ulikutana nazo mpaka ukafeli shambani? Kwasababu kwa mfano watu wengi wanasema kitunguu ni kigumu sana kulima. Ugumu wake uko wapi? Changamoto zake zipoje? Tusaidiane wadau tuondokane na hili dimbwi la umasikini kupitia kilimo na inawezakana kabisa.
 
Hii mada nzuri sana. Hakika nitaweka kambi hapa. Ila nilichogundua baada ya kusoma threads nyingi za wakulima tofauti tofauti ni kuwa mtu hasemi kilichomfelisha shambani, anakimbilia kukukatisha tamaa tu kuwa zao fulani ni gumu sana . Ninachoomba wadau tuseme ni chanagamoto gani ulikutana nazo mpaka ukafeli shambani? Kwasababu kwa mfano watu wengi wanasema kitunguu ni kigumu sana kulima. Ugumu wake uko wapi? Changamoto zake zipoje? Tusaidiane wadau tuondokane na hili dimbwi la umasikini kupitia kilimo na inawezakana kabisa.
 
Hii mada nzuri sana. Hakika nitaweka kambi hapa. Ila nilichogundua baada ya kusoma threads nyingi za wakulima tofauti tofauti ni kuwa mtu hasemi kilichomfelisha shambani, anakimbilia kukukatisha tamaa tu kuwa zao fulani ni gumu sana . Ninachoomba wadau tuseme ni chanagamoto gani ulikutana nazo mpaka ukafeli shambani? Kwasababu kwa mfano watu wengi wanasema kitunguu ni kigumu sana kulima. Ugumu wake uko wapi? Changamoto zake zipoje? Tusaidiane wadau tuondokane na hili dimbwi la umasikini kupitia kilimo na inawezakana kabisa.
Uko sawa ndg, na kingne epuka kulima zao linalolimwa na kila mtu sababu kinakuwa halina thamn mfn mahind hata kijana mdogo analima njoo kwenye mauzo ad unakata tamaa.
 
Uko sawa ndg, na kingne epuka kulima zao linalolimwa na kila mtu sababu kinakuwa halina thamn mfn mahind hata kijana mdogo analima njoo kwenye mauzo ad unakata tamaa.
Ni kweli kabisa mkuu, tumekuwa tunalima kwa mazoea sana. Yaani kila mmoja mahindi au mbaazi. Mimi kuanzia msimu ujao nitaanza kufocus na kilimo cha high valuable crops kama maharage, vitunguu na nyanya. Najua yana changamoto nyingi sana lakini nitapambanazo.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom