Kilimo cha Tufaa (Apple)

bigjeff82

Member
Aug 24, 2021
23
8
Nilikuwa na watch Youtube kuhusu mkulima wa Apple Nchini Kenya anaitwa Wambugu (Wambugu Apple) nimekuwa inspired aisee, ingia Youtube andika Lynn Ngugi Wambugu apple utaiona, na anatoa darasa free of charge, kuna mtu yoyote ni mkulima wa Apple atupe dondoo la soko hapa Tanzania?
 
Nilikuwa na watch Youtube kuhusu mkulima wa Apple Nchini Kenya anaitwa Wambugu (Wambugu Apple) nimekuwa inspired aisee, ingia Youtube andika Lynn Ngugi Wambugu apple utaiona, na anatoa darasa free of charge, kuna mtu yoyote ni mkulima wa Apple atupe dondoo la soko hapa Tanzania?
Njoo njombe zipo za kumwaga
 
Nilikuwa na watch Youtube kuhusu mkulima wa Apple Nchini Kenya anaitwa Wambugu (Wambugu Apple) nimekuwa inspired aisee, ingia Youtube andika Lynn Ngugi Wambugu apple utaiona, na anatoa darasa free of charge, kuna mtu yoyote ni mkulima wa Apple atupe dondoo la soko hapa Tanzania?
Unauliza soko usha zalisha? Hivi nani anawaambia kwamba u apaswa kwanza kupewa soko then ndio ukazalishe? Sikiliza unatafuta soko ukiwa na products, Kuna Wamisir huwa wanakuja hadi Tanzania na matunda yao ya sample kutafuta soko.

Hakuna mtu anaweza kukupatia soko kama huna mzigo, mtu anataka aone sample kwanza ndio muongeee biashara.

Zalisha then tafuta soko. by the way Apple si zinaliwa? ni chakula kile so zinaliwa
 
Ooh okay sijafuatilia mkuu hiki kilimo na soko lake but uwoni kwamba kuexport ni faidi zzidi..vipi upo kwenye kilimo hiki tupeane madini?
USha wahi lima hata mchicha? Unajuaje kuna faida kwenye ku export? unaweza ebda shindana na nchi kama Poland na wengineo ambao wana hecta na hecta za Apple?

Siku zote soko la ndani ndio soko la uhakika, internatiina Market isikie tu story zake, sio rahisi kama unavyo dhania
 
Kustawi itastawi je kuzaa? Hata Dar unaweza panda apple na ikastwai ila kutoa matunda ndio mziki
Imani yangu itastawi na kuota matunda, hapo kuna miche aina mbili inayohitaji au kukua kwenye mazingira ya baridi sana na Ile ya wastani.

Ndiyo maana kama umenisoma vyema nimechukua Miche 4 ambayo ndani ya mwaka utanipa majibu ya ukuaji wake na nitafanya tathimini lya uzalishaji kisha nitaamua kupanda mingi au laa. Ngoja tuone mwaka siyo mkubwa nitajua mbovu na mbichi.
Kustawi itastawi je kuzaa? Hata Dar unaweza panda apple na ikastwai ila kutoa matunda ndio mziki
 
Unauliza soko usha zalisha? Hivi nani anawaambia kwamba u apaswa kwanza kupewa soko then ndio ukazalishe? Sikiliza unatafuta soko ukiwa na products, Kuna Wamisir huwa wanakuja hadi Tanzania na matunda yao ya sample kutafuta soko.

Hakuna mtu anaweza kukupatia soko kama huna mzigo, mtu anataka aone sample kwanza ndio muongeee biashara.

Zalisha then tafuta soko. by the way Apple si zinaliwa? ni chakula kile so zinaliwa
📌🔨🙏🙏🙏
 
Back
Top Bottom