EvilSpirit
JF-Expert Member
- Jun 15, 2017
- 13,278
- 20,900
Wahuni si watu
Wahuni si watu
Achana na Matikiti sijui Kuku, sijui Vitunguu sijui Mayai ya kwale hili sasa ndo suluhisho, kilimo cha Nyoka ni suluhisho.
Fikiria uwe na cobra kumi , cobra mmoja anataga mayai sitini, kwa mwezi anatotoa. sitini mara kumi ni 600,* 600*12= *7200* kwa hiyo kwa mwaka unakua na *cobra 7200* na cobra mmoja anatoa *gram 10 za sumu* kwa siku sasa inakua ni 7200*10= *72000* sasa gramu 72000*1880= *135,360,000* hii chukua zidisha mara miezi kumi tuu (ili hesabu iwe rahisi) itakua 135,360,000*10= *1,353,600,000* maanake kwa mwaka mmoja kwa cobra tuu acha *black mamba,* *kifutu *nk** unakua na *bilioni 1.4*
Sasa hapo toa garama ya *panya* wa kuliwa na cobra plus usafi hivii ambayo ni ka milioni mia ivi maana Panya nao unafuga tu apo unawalisha *pumba* na wayawaya ivi basii sasa mwaka mmoja faida yako ni *bilioni moja* na kitu kwa mtaji wa *cobra kumi* tuu
Motivational speakers watatuua, [emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
Sina uoga ila siwapendi . Na Unajua biashara uipende kwanza, ndiyo na yenyewe ikupe mafanikio. (Ñyoka simpendi)Woga wako ndio umaskini wako[emoji3]
Achana na Matikiti sijui Kuku, sijui Vitunguu sijui Mayai ya kwale hili sasa ndo suluhisho, kilimo cha Nyoka ni suluhisho.
Fikiria uwe na cobra kumi , cobra mmoja anataga mayai sitini, kwa mwezi anatotoa. sitini mara kumi ni 600,* 600*12= *7200* kwa hiyo kwa mwaka unakua na *cobra 7200* na cobra mmoja anatoa *gram 10 za sumu* kwa siku sasa inakua ni 7200*10= *72000* sasa gramu 72000*1880= *135,360,000* hii chukua zidisha mara miezi kumi tuu (ili hesabu iwe rahisi) itakua 135,360,000*10= *1,353,600,000* maanake kwa mwaka mmoja kwa cobra tuu acha *black mamba,* *kifutu *nk** unakua na *bilioni 1.4*
Sasa hapo toa garama ya *panya* wa kuliwa na cobra plus usafi hivii ambayo ni ka milioni mia ivi maana Panya nao unafuga tu apo unawalisha *pumba* na wayawaya ivi basii sasa mwaka mmoja faida yako ni *bilioni moja* na kitu kwa mtaji wa *cobra kumi* tuu
Motivational speakers watatuua, [emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
KudadekiKuna mmoja alipigwa Ghana baada ya kusema alianza mtaji wake wa hotel I kwa nyanya moja
Shughuli yake ni kwenye kuwafuga na kuvuna sumu yao, ni kazi ya ajabu nafuu kufuga tembo.Achana na Matikiti sijui Kuku, sijui Vitunguu sijui Mayai ya kwale hili sasa ndo suluhisho, kilimo cha Nyoka ni suluhisho.
Fikiria uwe na cobra kumi , cobra mmoja anataga mayai sitini, kwa mwezi anatotoa. sitini mara kumi ni 600,* 600*12= *7200* kwa hiyo kwa mwaka unakua na *cobra 7200* na cobra mmoja anatoa *gram 10 za sumu* kwa siku sasa inakua ni 7200*10= *72000* sasa gramu 72000*1880= *135,360,000* hii chukua zidisha mara miezi kumi tuu (ili hesabu iwe rahisi) itakua 135,360,000*10= *1,353,600,000* maanake kwa mwaka mmoja kwa cobra tuu acha *black mamba,* *kifutu *nk** unakua na *bilioni 1.4*
Sasa hapo toa garama ya *panya* wa kuliwa na cobra plus usafi hivii ambayo ni ka milioni mia ivi maana Panya nao unafuga tu apo unawalisha *pumba* na wayawaya ivi basii sasa mwaka mmoja faida yako ni *bilioni moja* na kitu kwa mtaji wa *cobra kumi* tuu
Motivational speakers watatuua, [emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]