Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 269,652
- 698,265
Achana na Matikiti sijui Kuku, sijui Vitunguu sijui Mayai ya kwale hili sasa ndo suluhisho, kilimo cha Nyoka ni suluhisho.
Fikiria uwe na cobra kumi , cobra mmoja anataga mayai sitini, kwa mwezi anatotoa. sitini mara kumi ni 600,* 600*12= *7200* kwa hiyo kwa mwaka unakua na *cobra 7200* na cobra mmoja anatoa *gram 10 za sumu* kwa siku sasa inakua ni 7200*10= *72000* sasa gramu 72000*1880= *135,360,000* hii chukua zidisha mara miezi kumi tuu (ili hesabu iwe rahisi) itakua 135,360,000*10= *1,353,600,000* maanake kwa mwaka mmoja kwa cobra tuu acha *black mamba,* *kifutu *nk** unakua na *bilioni 1.4*
Sasa hapo toa garama ya *panya* wa kuliwa na cobra plus usafi hivii ambayo ni ka milioni mia ivi maana Panya nao unafuga tu apo unawalisha *pumba* na wayawaya ivi basii sasa mwaka mmoja faida yako ni *bilioni moja* na kitu kwa mtaji wa *cobra kumi* tuu
Motivational speakers watatuua,
Fikiria uwe na cobra kumi , cobra mmoja anataga mayai sitini, kwa mwezi anatotoa. sitini mara kumi ni 600,* 600*12= *7200* kwa hiyo kwa mwaka unakua na *cobra 7200* na cobra mmoja anatoa *gram 10 za sumu* kwa siku sasa inakua ni 7200*10= *72000* sasa gramu 72000*1880= *135,360,000* hii chukua zidisha mara miezi kumi tuu (ili hesabu iwe rahisi) itakua 135,360,000*10= *1,353,600,000* maanake kwa mwaka mmoja kwa cobra tuu acha *black mamba,* *kifutu *nk** unakua na *bilioni 1.4*
Sasa hapo toa garama ya *panya* wa kuliwa na cobra plus usafi hivii ambayo ni ka milioni mia ivi maana Panya nao unafuga tu apo unawalisha *pumba* na wayawaya ivi basii sasa mwaka mmoja faida yako ni *bilioni moja* na kitu kwa mtaji wa *cobra kumi* tuu
Motivational speakers watatuua,