Kilimo cha matikiti maji (watermelon): Ushauri na Masoko

images
images
images
Ukakasi upo hapo kwenye kuyaning'iniza hewani kama viota vya ndege. Hayawezi kudondoka kweli? Na je, hiyo tu ndo nnia ya kuyafanya yawe na ukubwa wa zaidi ya haya?
 
Asante kwa uzi mrefu na wenye kila taarifa muhimu sana juu ya zao hili la Tikiti-Maji. Sasa tuingie shambani maana msimu ndio huu...
 
Mm shamba langu ndo yapo hatua hiyo baada ya siku 43 toka niyapande.. Nina ekari moja.. Nazani nitapata mavuno mazuri.
IMG_20170621_173558.jpg
 
Asante kwa uzi mrefu na wenye kila taarifa muhimu sana juu ya zao hili la Tikiti-Maji. Sasa tuingie shambani maana msimu ndio huu...
Ila sasa hivi madawa yamepanda na soko bado ni changamoto, kila mwaka nalimaga 15 acres ila kilichonikuta mwaka jana nimeona mwaka huu nipumzike kidogo, lakini ni kilimo kizuri
 
Habarini humu - Naomba kujua mambo mawili please

(1) Mbegu ya Balton ya tikiti inachukua muda gani to maturity?? - huwa natumia Sukari F1 ambayo matunda hukomaa kuanzia day 50. Ningependa kutumia mbegu inayofika walau 70+ days ili matunda yapate muda mrefu zaidi wa kukua. Hizi mbegu zinazokomaa mapema nyingi huwa na matunda madogo yalokomaa ambayo hayana soko.

(2) Kama natumia drip irrigation - kila shina natakiwa kulimwagia lita ngapi za maji kwa siku?? Je, 0.5litre asubuhi na 0.5litre jioni zinatosha?? Hapa naongelea maji yanayotosha mmea kuzaa matunda makubwa ya biashara.
 
Habari wana jf nilikua nawaomba kitu kimoja kwa yyt mwenye muongozo wa katika ulimaji wa tikiti maji F1 sukari kuanzia siku ya kwanza unapanda mbolea ya kwanza mpk ya mwisho dawa za kupulizia yaan kuaanzia mwanzo mpk siku unavuna.

Ikiwa katika mtindo wa pdf itakua vizuri km hakuna pdf basi hata ukiniandikia itakua vzr.
 
Nimelima Matikiti nasubiria baada ya mwezi nivune natafuta masoko?? nipo Dar nimelima Mkuranga

Mkuu mkuranga sehemu gani umelima,

Juzi nimesikia MO na Bakheresa wananunua matikiti ila sina uhakika hebu fuatilia kama ni kweli halafu uje utujuze na sisi hapa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom