Kilimo cha kisasa cha maembe

Mkuu salama<

Mkuranga ipo miche bora mingi sana. Nenda Mkuranga agriculture Research Sub station ipo about 4 kilometer kutoka Mkuranga main stand.

Ukikosa hapo mkuranga kata ya Tambani kijiji cha Kibamba kuna Bustani kubwa ya miche ya embe na Machungwa utapata

ukikosa hapo Nenda Kibiti kuna kikundi cha wakulima bora (QDS certified) wanaitwa Rufiji Environmental group (REG) wana miche zaidi ya 30,000 na wanavarieties zaidi ya 10.
Thanks mkuu, ngoja niyanote kabisa haya majina ya vijiji na vikundi kwa ajili ya urahisi wa kuvitafuta. Asante sana.
 
Mkuu binafsi nimenunua miche hiyo pale Bagamoyo kwenye mardi wa kilimo na utafiti CHAMBEZI nakushauri nenda hapo bei zao ni 2500 kwa mche wa miembe michugwa pia ipo lakini sikuulizia
 
Nadhani pia inategemea ni maembe ya aina gani,maana kuna aina za maembe zinapendwa sana kwenye soko la vyakula Middle East na Europe,lakini inatakiwa bidhaa yako ifikie vigezo vya ubora,ambao uanzia utunzaji wa embe lenyewe mpaka kulivuna.

Hii ni kuepuka utumiaji holela wa madawa ya kuulia wadudu,uchumaji ambao hauathiri tunda na upakiaji bora.

Ni challenging lakini inawezekana na kuna watu wanafanya hivyo naamini nawe unaweza.
 
Niko mbioni kuwekeza kwenye kilimo cha maembe ya kisasa maeneo ya mkoa wa pwani wilaya ya mkuranga, naomba kama mtu ana utaalamu wowote kuhusu hili zao anipe mwongozo. Lengo ni kulima takribani hekari 20
  1. Wapi nitapata miche bora ya kisasa kwa embe dodo
  2. Je nitahitaji miche mingapi kwa kila hekari
  3. Je inachukua muda gani kukua mpaka kuanza kuzalisha matunda
  4. Je mti mmoja wakati wa mavuno unazaa maembe mangapi kwa makadirio
Natanguliza shukrani zangu kwenu na kuwatakia heri ya mwaka mpya
 
Ndugu nakupongeza kwa wazo lako zuri la kuwekeza kwa kilimo.Nami nina wazo hilo pia na kwa kilimo hicho pia cha maembe.
Ila nakushauri achana na embe dodo hizo soko lake ni la hapahapa nchini na hazina bei poa.
Kuna aina nzuri na za kisasa za embe na mimi nazifatila ambazo zinaanza kuazaa kuanzia mwaka mmoja na nusu.Na zina soko mapka nchi za uarabuni ukilima vizuri.Nitarudi na maelekezo mazuri soon.

LIWALONALIWE
 
Ndugu nakupongeza kwa wazo lako zuri la kuwekeza kwa kilimo.Nami nina wazo hilo pia na kwa kilimo hicho pia cha maembe.
Ila nakushauri achana na embe dodo hizo soko lake ni la hapahapa nchini na hazina bei poa.
Kuna aina nzuri na za kisasa za embe na mimi nazifatila ambazo zinaanza kuazaa kuanzia mwaka mmoja na nusu.Na zina soko mapka nchi za uarabuni ukilima vizuri.Nitarudi na maelekezo mazuri soon.

LIWALONALIWE

Ukipata jawabu tujuzane hata kwa PM, nina ekari kadhaa hazijatumika
 
Ndugu hizi ni aina nne za embe za kisasa ambazo zina soko sana nnje ya nchi na hata hapa nchini.

Apple,Keit,Muyuni NA alfonso.Kwa kila ekari moja unaweza kupata mapaka


  1. Wapi nitapata miche bora ya kisasa kwa embe dodo-NITAKUPA JIBU SOOON
  2. Je nitahitaji miche mingapi kwa kila hekari-KUANZIA MICHE 60
  3. Je inachukua muda gani kukua mpaka kuanza kuzalisha matunda-MWAKA 1-1/2
  4. Je mti mmoja wakati wa mavuno unazaa maembe mangapi kwa makadirio-KUANZIA MATUNDA 50 MIAKA 3- MPAKA MATUNDA 200 UUKIFIKISHA MIAKA 5
 
Ndugu hizi ni aina nne za embe za kisasa ambazo zina soko sana nnje ya nchi na hata hapa nchini.

Apple,Keit,Muyuni NA alfonso.Kwa kila ekari moja unaweza kupata mapaka


  1. Wapi nitapata miche bora ya kisasa kwa embe dodo-NITAKUPA JIBU SOOON -
  2. Je nitahitaji miche mingapi kwa kila hekari-KUANZIA MICHE 60
  3. Je inachukua muda gani kukua mpaka kuanza kuzalisha matunda-MWAKA 1-1/2
  4. Je mti mmoja wakati wa mavuno unazaa maembe mangapi kwa makadirio-KUANZIA MATUNDA 50 MIAKA 3- MPAKA MATUNDA 200 UUKIFIKISHA MIAKA 5
Mkuu nashukuru sana kwa mwongozo huu nitakua nasubiri iterm ya kwanza kwa hamu sana
 
Jamani wakulima hp tupo wengi, hio miche na mm nataka panda. Mnijuze mkipata
 
Ninayo miche ya miembe aina zote. Kila mche ni shs 2500 na ninaizalishia Morogoro. Kwa upande wa Dar es salaam ninaye mzambazaji ambaye ni JB farms . yupo Kibaha kwa Matias. Kunashamba moja ambalo lina mapicha ya mbwa kwa mbele na limeandikwa JB farm. Hapo utapata miche yangu kwa bei hiyo hiyo. Kama up morogoro, unaweza chukulia direct toka shambani kwangu.

Upandaji wa miembe ni meter 10 mche hadi mche na meta 10 mstari hadi mstari. Hii itakupa miche 100 kwa ha moja au miche 40 kwa ekari moja. Usishawishike kupanda zaidi ya hapo kwa aka kwani baada ya miaka mitatu iakuwa kwa kuingiliana na mavuno hayatakuwa mazuri.

Kwa kawaida miche hutoa maua msimu wa maua unaofuata tangu upande. Mfano, ukipanda Mach mwaka huu, july itatoa maua hata kama bado mche haujawa na umbo la kutosha kubeba maembe. haya maua yatoe mara moja na usiruhusu kuwa maembe. Hali kadhalika msimu utakaofuata.

Mwaka wapili hup mwembe utakupa kati ya maembe 70-100. Baada ya hapo, maembe yataendela kuongezeka kila mwaka na kama umeutunza vizuri unaweza fika hata mia tano. Hapo utatakiwa kuwa makini maana matawi yatakwanyka kwa kuzidiwa. Utatakiwa wakati mwingine kuyapunguza ili kila tawi libebe uzito litakao uwezo, ila hutakosa maembe 200 hadi 250.

Kwa ajili ya muda naishia hapo, ila tunaweza kuelimishana memgi kuhusu maembe. Mfano magonjwa, pruning, nk. jaribu kuni pm na nitawezakuelimishana zaidi.
 
Tuna kushukuru mdau sambu kwa mchango wako na maarifa pia.Tafadhali kama kweli uko kibiashara weka mawasiliano yako hapo watu wakutafute.

Nadhani utakuwa msaada mkubwa kwa wadau wengine hasa manzishaji mada Kifuniko na osia.
Kifuniko nadhani umeridhika vya kutosha.
 
Ninayo miche ya miembe aina zote. Kila mche ni shs 2500 na ninaizalishia Morogoro. Kwa upande wa Dar es salaam ninaye mzambazaji ambaye ni JB farms . yupo Kibaha kwa Matias. Kunashamba moja ambalo lina mapicha ya mbwa kwa mbele na limeandikwa JB farm. Hapo utapata miche yangu kwa bei hiyo hiyo. Kama up morogoro, unaweza chukulia direct toka shambani kwangu.
Upandaji wa miembe ni meter 10 mche hadi mche na meta 10 mstari hadi mstari. Hii itakupa miche 100 kwa ha moja au miche 40 kwa ekari moja. Usishawishike kupanda zaidi ya hapo kwa aka kwani baada ya miaka mitatu iakuwa kwa kuingiliana na mavuno hayatakuwa mazuri.
Kwa kawaida miche hutoa maua msimu wa maua unaofuata tangu upande. Mfano, ukipanda Mach mwaka huu, july itatoa maua hata kama bado mche haujawa na umbo la kutosha kubeba maembe. haya maua yatoe mara moja na usiruhusu kuwa maembe. Hali kadhalika msimu utakaofuata. Mwaka wapili hup mwembe utakupa kati ya maembe 70-100. Baada ya hapo, maembe yataendela kuongezeka kila mwaka na kama umeutunza vizuri unaweza fika hata mia tano. Hapo utatakiwa kuwa makini maana matawi yatakwanyka kwa kuzidiwa. Utatakiwa wakati mwingine kuyapunguza ili kila tawi libebe uzito litakao uwezo, ila hutakosa maembe 200 hadi 250.
Kwa ajili ya muda naishia hapo, ila tunaweza kuelimishana memgi kuhusu maembe. Mfano magonjwa, pruning, nk. jaribu kuni pm na nitawezakuelimishana zaidi.

Mdau hapa jukwaani huwa tuna discourage sana PM labda kwa personal issues tu tafadhari mwaga data hadharani kwa faida ya wengi.Tunashukuru sana kwa mchango wako.

Ningependa kujua aina ya maembe yanayofaa kuexport nasikia kuna soko zuri tu la maembe nje ya nchi je ni maembe gani hayo? Pili maembe yanastawi vizuri maeneo gani? Kwa mfano Dodoma yanakubali vizuri? Vp kuhusu Matunzo yake? Yanahitaji nini hasa?
 
Ninayo miche ya miembe aina zote. Kila mche ni shs 2500 na ninaizalishia Morogoro. Kwa upande wa Dar es salaam ninaye mzambazaji ambaye ni JB farms . yupo Kibaha kwa Matias. Kunashamba moja ambalo lina mapicha ya mbwa kwa mbele na limeandikwa JB farm. Hapo utapata miche yangu kwa bei hiyo hiyo. Kama up morogoro, unaweza chukulia direct toka shambani kwangu.
Upandaji wa miembe ni meter 10 mche hadi mche na meta 10 mstari hadi mstari. Hii itakupa miche 100 kwa ha moja au miche 40 kwa ekari moja. Usishawishike kupanda zaidi ya hapo kwa aka kwani baada ya miaka mitatu iakuwa kwa kuingiliana na mavuno hayatakuwa mazuri.
Kwa kawaida miche hutoa maua msimu wa maua unaofuata tangu upande. Mfano, ukipanda Mach mwaka huu, july itatoa maua hata kama bado mche haujawa na umbo la kutosha kubeba maembe. haya maua yatoe mara moja na usiruhusu kuwa maembe. Hali kadhalika msimu utakaofuata. Mwaka wapili hup mwembe utakupa kati ya maembe 70-100. Baada ya hapo, maembe yataendela kuongezeka kila mwaka na kama umeutunza vizuri unaweza fika hata mia tano. Hapo utatakiwa kuwa makini maana matawi yatakwanyka kwa kuzidiwa. Utatakiwa wakati mwingine kuyapunguza ili kila tawi libebe uzito litakao uwezo, ila hutakosa maembe 200 hadi 250.
Kwa ajili ya muda naishia hapo, ila tunaweza kuelimishana memgi kuhusu maembe. Mfano magonjwa, pruning, nk. jaribu kuni pm na nitawezakuelimishana zaidi.

Kuna uwezekano wa kuufanya muembe kuzaa off season? Yaani kipindi ambacho sio cha msimu wa maembe?
 
Ninayo miche ya miembe aina zote. Kila mche ni shs 2500 na ninaizalishia Morogoro. Kwa upande wa Dar es salaam ninaye mzambazaji ambaye ni JB farms . yupo Kibaha kwa Matias. Kunashamba moja ambalo lina mapicha ya mbwa kwa mbele na limeandikwa JB farm. Hapo utapata miche yangu kwa bei hiyo hiyo. Kama up morogoro, unaweza chukulia direct toka shambani kwangu.
Upandaji wa miembe ni meter 10 mche hadi mche na meta 10 mstari hadi mstari. Hii itakupa miche 100 kwa ha moja au miche 40 kwa ekari moja. Usishawishike kupanda zaidi ya hapo kwa aka kwani baada ya miaka mitatu iakuwa kwa kuingiliana na mavuno hayatakuwa mazuri.
Kwa kawaida miche hutoa maua msimu wa maua unaofuata tangu upande. Mfano, ukipanda Mach mwaka huu, july itatoa maua hata kama bado mche haujawa na umbo la kutosha kubeba maembe. haya maua yatoe mara moja na usiruhusu kuwa maembe. Hali kadhalika msimu utakaofuata. Mwaka wapili hup mwembe utakupa kati ya maembe 70-100. Baada ya hapo, maembe yataendela kuongezeka kila mwaka na kama umeutunza vizuri unaweza fika hata mia tano. Hapo utatakiwa kuwa makini maana matawi yatakwanyka kwa kuzidiwa. Utatakiwa wakati mwingine kuyapunguza ili kila tawi libebe uzito litakao uwezo, ila hutakosa maembe 200 hadi 250.
Kwa ajili ya muda naishia hapo, ila tunaweza kuelimishana memgi kuhusu maembe. Mfano magonjwa, pruning, nk. jaribu kuni pm na nitawezakuelimishana zaidi.

Ndugu ungeweka contacts kabisa tukufuate huko Morogoro
 
Ninayo miche ya miembe aina zote. Kila mche ni shs 2500 na ninaizalishia Morogoro. Kwa upande wa Dar es salaam ninaye mzambazaji ambaye ni JB farms . yupo Kibaha kwa Matias. Kunashamba moja ambalo lina mapicha ya mbwa kwa mbele na limeandikwa JB farm. Hapo utapata miche yangu kwa bei hiyo hiyo. Kama up morogoro, unaweza chukulia direct toka shambani kwangu.
Upandaji wa miembe ni meter 10 mche hadi mche na meta 10 mstari hadi mstari. Hii itakupa miche 100 kwa ha moja au miche 40 kwa ekari moja. Usishawishike kupanda zaidi ya hapo kwa aka kwani baada ya miaka mitatu iakuwa kwa kuingiliana na mavuno hayatakuwa mazuri.
Kwa kawaida miche hutoa maua msimu wa maua unaofuata tangu upande. Mfano, ukipanda Mach mwaka huu, july itatoa maua hata kama bado mche haujawa na umbo la kutosha kubeba maembe. haya maua yatoe mara moja na usiruhusu kuwa maembe. Hali kadhalika msimu utakaofuata. Mwaka wapili hup mwembe utakupa kati ya maembe 70-100. Baada ya hapo, maembe yataendela kuongezeka kila mwaka na kama umeutunza vizuri unaweza fika hata mia tano. Hapo utatakiwa kuwa makini maana matawi yatakwanyka kwa kuzidiwa. Utatakiwa wakati mwingine kuyapunguza ili kila tawi libebe uzito litakao uwezo, ila hutakosa maembe 200 hadi 250.
Kwa ajili ya muda naishia hapo, ila tunaweza kuelimishana memgi kuhusu maembe. Mfano magonjwa, pruning, nk. jaribu kuni pm na nitawezakuelimishana zaidi.

Asante mheshimiwa! Maelezo yako yanatoa mwanga na ninaiona picha ya kilimo hiki vizuri. Ninavutiwa sana na kilimo cha miembe! Nitakutafuta unielimishe zaidi sina uzoefu na hasa uzaaji wa miembe hasa hii aina ya miembe ya kupandisha (grafted). Hivi unayajua mashamba ya miembe ya kupigiwa mfano ambayo ninaweza kwenda kujionea nikavutiwa, yako maeneo gani?
 
Mdau hapa jukwaani huwa tuna discourage sana PM labda kwa personal issues tu tafadhari mwaga data hadharani kwa faida ya wengi.Tunashukuru sana kwa mchango wako.Ningependa kujua aina ya maembe yanayofaa kuexport nasikia kuna soko zuri tu la maembe nje ya nchi je ni maembe gani hayo? Pili maembe yanastawi vizuri maeneo gani? Kwa mfano Dodoma yanakubali vizuri? Vp kuhusu Matunzo yake? Yanahitaji nini hasa?
Hapo ninakuunga mkono kwamba mdau kwa vile pia unauza mbegu hii ni fursa yako kupromoti zao hili kwa kutoa utaalamu kikamilifu ili kupanua soko lako. Iwapo kuna utaalamu mwingine unautolea chumbani hapo utakuwa hujaitumia fursa hii vizuri, wewe funguka tu ndugu hivyo hivyo kidogo kidogo na kwa kujibu maswali ya wadau hatimae dozi itakamilika, hili eneo la kilimo cha miembe halina ushindani kama wauza vocha, acha tuwe wengi soko la embe la ndani na nje kamwe hatuwezi kulijaza kwa miaka ya hivi karibuni.
 
Back
Top Bottom