Kilimo cha kisasa cha maembe

Kilimo cha kisasa cha maembe

Wakuu

Nimepita Kibiri kwenye kile kikundi cha wakulima wa kitalu cha embe. I tell you wako vizuri saaaaaaana kuliko hata nilivyo tarajia.

Wameanzisha kampeni yao ya '' Lima miti kumi ya embe upate Shillingi millioni moja. Kampeni yao ni kwamba nunua miche kumi (30,000) chimba mashimo na kuweka samadi (5,000x10= 50,000), mwagilia kwa mwaka ni assumption dumu moja miche 5 na dumu moja la maji ni TZS 300 na kwa wiki nyeshea mara 2 (2x2x300x52 = 62,400) na garama nyinginezo 30,000. Jumla 172,400

Mapato: kila mti unayo potential ya kuzaa hadi embe 3,000 kwa msimu lakini wao wamechukua average ya 500/tree
hivyo unaweza kupata embe 5,000 kwa miche kumi na kila mmoja unaweza kuuza kwa sh 300 = 1,500,000 ukitoa garama laki 2 unapata faida ya sh 1.3million minimum.

Eneo kwenye compaign yao wanasema hata kama kuna eneo la bustani kima 5 meters kuzunguka nyumba yao unaweza kuotesha embe utapata kivuli lakini pia matunda yake ni fedha.

Naomba tuwaunge mkono. wao ni wakulima wadogo wa miche bora ya embe (Dodo, bolibo, Tommy, Keit, Kent, Alfonso, red Indian, Palmer, n.k) pia wanatoa ushauri kwa kweli nimevutiwa nao saaaaaaaaaaaaaana.
sikutarajia kama ningeweza kupta elimu niliyopata kwao, ukipata nafasi ya kuwa KIBITI

please pita kwenye hiki kikundi ujionee.
Wakubwa jamvini, nilikuwa napekua pekua nimekutana na thread hii imenishitua sana nimeona nijisalimishe kwenu wakuu kwani hapa JF kumejaa wazoefu mliotapakaa kila kona duniani mnitoe ushamba!

Hivi hii miembe yenye uzazi mkubwa hivi ni ile yeye umri wa miaka kumi hadi ishirini au ni hii mifupi ya kupandisha tunayoijua jamani? Hiyo potential ya kuzaa embe hadi 3000 kwa msimu ni kwa ile miembe mikubwa ambayo mikutano ya kijiji hufanyika chini yake?

Au ni miembe ya hivi viembe sindano vidogo vidogo? Kwa hii miembe ya kisasa mifupi ya kupandisha napata kazi kuamini! Kwa vile nilishakutana na figure za machungwa 4000 kwa mti humu JF inanibidi nijiulize sana kabla sijahamasika! Kwenye promotion ya vitu watu wanakuja na very inflated figures which are always unrealistic!

Mimi sibishi kabisa kwa vile sina uhakika na kilimo cha miembe ila kwa wenye uzoefu nawaomba mnihakikishie iwapo mdau hajapitiliza kupigia debe biashara yake ya miche!
 
Watafute association of mango growers (amagro) hiki ni chama cha wakulima wa embe za kisasa ofisi zao zilikuwa maeneo ya clocktower (leaders house) ingawa nasikia wamehamia maeneo ya urafiki kwenye nyumba za nhc.

Pale utapata detail nyingi, kuhusiana na aina za maembe, wapi pakupata miche n.k



Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Wakubwa jamvini, nilikuwa napekua pekua nimekutana na thread hii imenishitua sana nimeona nijisalimishe kwenu wakuu kwani hapa JF kumejaa wazoefu mliotapakaa kila kona duniani mnitoe ushamba! Hivi hii miembe yenye uzazi mkubwa hivi ni ile yeye umri wa miaka kumi hadi ishirini au ni hii mifupi ya kupandisha tunayoijua jamani? Hiyo potential ya kuzaa embe hadi 3000 kwa msimu ni kwa ile miembe mikubwa ambayo mikutano ya kijiji hufanyika chini yake? Au ni miembe ya hivi viembe sindano vidogo vidogo? Kwa hii miembe ya kisasa mifupi ya kupandisha napata kazi kuamini! Kwa vile nilishakutana na figure za machungwa 4000 kwa mti humu JF inanibidi nijiulize sana kabla sijahamasika! Kwenye promotion ya vitu watu wanakuja na very inflated figures which are always unrealistic! Mimi sibishi kabisa kwa vile sina uhakika na kilimo cha miembe ila kwa wenye uzoefu nawaomba mnihakikishie iwapo mdau hajapitiliza kupigia debe biashara yake ya miche!


KUBOTA,

Tembea uone, hasa wakulima kuona ndio kuamini. Kuna hata parachichi kubwa kama mti wa mchungwa unazaa embe hadi elfu tano sikuamini mpaka nilipoona, mti huo wa parachichi unaanza kuzaa baada ya miezi 16, tunda lake(parachichi) linaweza kukaa hadi siku 21 bila kuoza kwenye mazingira ya kawaida (nje ya fridge). Nenda wilaya ya SIHA kwenye shamba la AFRICADO LTD utaona.

Kwa upande wa embe kati ya mwaka wa 3 hadi wa 7 ndio inafikia hiyo potential na kama pruning yake inafanyika vizuri
usiuachie ukue mkubwa kama mnayofanyia vikao vya kijiji. Reccommended height sio zaidi ya 5m.
Yapo mashamba mengi na kwa bahati mbaya hukuweza kuhudhuria week ya kuonja embe ilifanya mnazi mmoja week ya kwanza January mwaka huu ungepata maelezo zaidi.
 
KUBOTA,

Tembea uone, hasa wakulima kuona ndio kuamini. Kuna hata parachichi kubwa kama mti wa mchungwa unazaa embe hadi elfu tano sikuamini mpaka nilipoona, mti huo wa parachichi unaanza kuzaa baada ya miezi 16, tunda lake(parachichi) linaweza kukaa hadi siku 21 bila kuoza kwenye mazingira ya kawaida (nje ya fridge). Nenda wilaya ya SIHA kwenye shamba la AFRICADO LTD utaona.

Kwa upande wa embe kati ya mwaka wa 3 hadi wa 7 ndio inafikia hiyo potential na kama pruning yake inafanyika vizuri
usiuachie ukue mkubwa kama mnayofanyia vikao vya kijiji. Reccommended height sio zaidi ya 5m.
Yapo mashamba mengi na kwa bahati mbaya hukuweza kuhudhuria week ya kuonja embe ilifanya mnazi mmoja week ya kwanza January mwaka huu ungepata maelezo zaidi.

Asante Kichakoro kwa maelezo yako nitatembea nijionee, kwa wanaoyaelewa mashamba yaliyopo Pwani na Morogoro nijulisheni nikashuhudie miracle ya zao hili.
 
Asante Kichakoro kwa maelezo yako nitatembea nijionee, kwa wanaoyaelewa mashamba yaliyopo Pwani na Morogoro nijulisheni nikashuhudie miracle ya zao hili.

Mkuu naona umepata wasiwasi wa hizo figures kama kwa yule jamaa wa maembe machungwa 4000 ila afadhali huyu jamaa yeye anakukaribisha ukajionee mwenyewe inabidi ukipata muda uende mkuu ukacheki
 
KUBOTA,

Tembea uone, hasa wakulima kuona ndio kuamini. Kuna hata parachichi kubwa kama mti wa mchungwa unazaa embe hadi elfu tano sikuamini mpaka nilipoona, mti huo wa parachichi unaanza kuzaa baada ya miezi 16, tunda lake(parachichi) linaweza kukaa hadi siku 21 bila kuoza kwenye mazingira ya kawaida (nje ya fridge). Nenda wilaya ya SIHA kwenye shamba la AFRICADO LTD utaona.

Kwa upande wa embe kati ya mwaka wa 3 hadi wa 7 ndio inafikia hiyo potential na kama pruning yake inafanyika vizuri
usiuachie ukue mkubwa kama mnayofanyia vikao vya kijiji. Reccommended height sio zaidi ya 5m.
Yapo mashamba mengi na kwa bahati mbaya hukuweza kuhudhuria week ya kuonja embe ilifanya mnazi mmoja week ya kwanza January mwaka huu ungepata maelezo zaidi.

Mkuu ekari moja inakula miche mingapi?
 
Mkuu Sabayi, imebidi niwe mpole ndugu yangu, acha nikajionee nisijeitwa mbishi bure! Kuona ni kuamini, kwa kweli hizi figure nilizokutana nazo za michungwa na miembe kuhusu potential ya uzazi wa mazao ya haya ya matunda zinanifanya sasa niwe mdadisi sana! Mmmh!!
 
Mkuu Sabayi, imebidi niwe mpole ndugu yangu, acha nikajionee nisijeitwa mbishi bure! Kuona ni kuamini, kwa kweli hizi figure nilizokutana nazo za michungwa na miembe kuhusu potential ya uzazi wa mazao ya haya ya matunda zinanifanya sasa niwe mdadisi sana! Mmmh!!

Kwenye Machungwa mkuu bado sijashawishika ili muembe siwezi kubisha sana cause muembe ni mkubwa zaidi kuliko mchungwa kwa hivyo inaweza kubeba hiyo idadi so ni vizuri kwenda kujionea mwenyewe
 
Mkuu naona umepata wasiwasi wa hizo figures kama kwa yule jamaa wa maembe machungwa 4000 ila afadhali huyu jamaa yeye anakukaribisha ukajionee mwenyewe inabidi ukipata muda uende mkuu ukacheki

Mimi sio agronomist lakini nafahamu kidogo

kuna mipando ya aina 4 kutegemea aina ya embe, ukubwa wa miti na aina ya utunzaji wa hizo embe

standard ni miche 45 kwa ekari moja (70m X70m)

kama utaweze kurestict mti usikue mkubwa not more than 3m height unaweza kupanda hadi miti 73.

Na mwisho kama unaweza kufanya irrigation, pruning na ukaotesha mbegu aina la alfonso, kent, Keitt, Palmer ama apple unaweza kuotesha hadi miti 107. Embe hizi miti yake haiwi mikubwa sana kama ilivyo kwa bolibo na embe zingine.

Zaidi watembelee watu wanaitwa Association of Mango Growers (AMAGRO) nadhani wapo mkuruma streem kule karibu na station wanaweza kukupa ushauri zaidi pamoja na vipeperushi ama vijarida vya kujisomea.
 
Mimi sio agronomist lakini nafahamu kidogo kuna mipando ya aina 4 kutegemea aina ya embe, ukubwa wa miti na aina ya utunzaji wa hizo embe standard ni miche 45 kwa ekari moja (70m X70m) kama utaweze kurestict mti usikue mkubwa not more than 3m height unaweza kupanda hadi miti 73. Na mwisho kama unaweza kufanya irrigation, pruning na ukaotesha mbegu aina la alfonso, kent, Keitt, Palmer ama apple unaweza kuotesha hadi miti 107. Embe hizi miti yake haiwi mikubwa sana kama ilivyo kwa bolibo na embe zingine. Zaidi watembelee watu wanaitwa Association of Mango Growers (AMAGRO) nadhani wapo mkuruma streem kule karibu na station wanaweza kukupa ushauri zaidi pamoja na vipeperushi ama vijarida vya kujisomea.
Mkuu unaweza kuifanya miembe ikazaa off season? Namaanisha wakati sio msimu wa maembe? wakati wengine wanavuna wewe unawachora tu wakimaliza kuvuna na maembe yakaadimika wewe ndo unaanza kuvuna sasa,hii inawezekana?
 
Mkuu unaweza kuifanya miembe ikazaa off season? Namaanisha wakati sio msimu wa maembe? wakati wengine wanavuna wewe unawachora tu wakimaliza kuvuna na maembe yakaadimika wewe ndo unaanza kuvuna sasa,hii inawezekana?

Bro am horticulturist huwezi zalisha miembe wakati wa off season bt you can treat it after harvesting so as to increase its shelflife.
 
Mimi sio agronomist lakini nafahamu kidogo

kuna mipando ya aina 4 kutegemea aina ya embe, ukubwa wa miti na aina ya utunzaji wa hizo embe

standard ni miche 45 kwa ekari moja (70m X70m)

kama utaweze kurestict mti usikue mkubwa not more than 3m height unaweza kupanda hadi miti 73.

Na mwisho kama unaweza kufanya irrigation, pruning na ukaotesha mbegu aina la alfonso, kent, Keitt, Palmer ama apple unaweza kuotesha hadi miti 107. Embe hizi miti yake haiwi mikubwa sana kama ilivyo kwa bolibo na embe zingine.

Zaidi watembelee watu wanaitwa Association of Mango Growers (AMAGRO) nadhani wapo mkuruma streem kule karibu na station wanaweza kukupa ushauri zaidi pamoja na vipeperushi ama vijarida vya kujisomea.

Ni kweli bro kichokororo. You can grow up to 107 plants per acre with the spacing of 3*3 up to 12* 12metres depending on the variety, area of cultivation and other factors
 
Bro am horticulturist huwezi zalisha miembe wakati wa off season bt you can treat it after harvesting so as to increase its shelflife.

Vp maeneo kama Dodoma maembe yanakubali?
 
Vp maeneo kama Dodoma maembe yanakubali?

Yanakubali bro since mangoes ni tropical crop na yanakubali kwenye hali tofauti ya hewa bt kwa dodoma jitahidi kuyapanda kabla ya msimu wa mvua ili mvua ikianza iyakute shambani au otherwise uyamwagilie hususani kipindi unayapanda mpaka yaweze kujisapoti.
 
Yanakubali bro since mangoes ni tropical crop na yanakubali kwenye hali tofauti ya hewa bt kwa dodoma jitahidi kuyapanda kabla ya msimu wa mvua ili mvua ikianza iyakute shambani au otherwise uyamwagilie hususani kipindi unayapanda mpaka yaweze kujisapoti.

Ubarikiwe kwa Taarifa mkuu
 
Kama jamaa atachelewa kutoa contacts zake, mtwangie huyu jamaa wa SUA, kwake kuna miche ya matunda hadi karanga miti 0712099434 au hapa Dar mtwangie huyu 0784284800, wote wana vitalu vya uhakika. Yule wa pale Mapinga sina simu yake, lakini naye yuko vizuri.

Malila huyu jamaa na maparachichi anayo?

Maana haya matunda bana ukiyakuta sokoni moja sio chini ya sh 500!!!
 
soko ni ubunifu tu, kama unataka soko la uhakika ingia contract na hotel kubwa kama mimi ili uwe unasupply matunda (may be kwa mwaka mzima) vinginevyo itakuwa ni hasara kwako coz msimu wa embe ukifika bei huwa inashuka sana
pia tumia artificial ways ambazo zitakufanya uwe unavuna matunda kipindi ambacho si cha msimu wa embe [bei uwa ipo juu sana kipindi hiki]

Mbinu zipi?
 
Ukiwa Morogoro tembelea Magadu Officers mess. Ni club nzuri sana na wana garden ya maembe kama ekar 2. pale utakosha macho yako.
 
Back
Top Bottom