Kilimanjaro: Mama amuua mtoto wake kwa kosa la kufungilia bomba la maji

Akilihuru

JF-Expert Member
May 20, 2022
1,444
2,833
Hii sasa ni hatari, hatujui dunia inaelekea wapi. Siku hizi ni kawaida kusikia mtoto kamuua mzazi wake au mzazi kamuua mtoto wake.

Ni kawaida kusikia mume kamuua mke wake au mke kamuua mume wake. Yani ni vurugu mechi kila iitwayo leo.

 
Gharama za maisha,mama aliwaza bili ya maji itakuaje akapandwa na hasira akashindwa kujizuia.
Ndio maana wahenga walisema hasira hasara. Hili lililotokea ni moja ya hasara iliyosababishwa na hasira. Mama sasa anajuta kwa kile alichokifanya.
 
Haya mambo ya kuuana mama na mtoto, mume na mke, baba na mtoto mbona hatuyasikii kwa jamii za Pwani kama wazaramo, wakwere, wandengereko etc
 
Mbona huwa mnasena Kilimanjaro ni wasomi na matajiri, kulikoni tena mtu anauliwa kwa sababu ya kufungua bomba la maji ?
 
Back
Top Bottom