Ndio maana wahenga walisema hasira hasara. Hili lililotokea ni moja ya hasara iliyosababishwa na hasira. Mama sasa anajuta kwa kile alichokifanya.Gharama za maisha,mama aliwaza bili ya maji itakuaje akapandwa na hasira akashindwa kujizuia.
Kwa kweli aiseeYani ni huzuni ya hali ya juu, kwa haya yanayoendelea nchini na duniani kwa ujumla.