CHIBURABANU
JF-Expert Member
- Sep 19, 2013
- 2,921
- 3,461
Hivi kuna sehemu kuna wauwaji ama issue za kuuana kama mkoa Wa Geita hapa tz.Wachaga ni wezi na wauwaji wakubwa, apate anacho stahili
Hivi kuna sehemu kuna wauwaji ama issue za kuuana kama mkoa Wa Geita hapa tz.Wachaga ni wezi na wauwaji wakubwa, apate anacho stahili
Nikionaga mtu anakemea mambo ya ukabila napenda sana. Nachukia sana watu wanaoutukuza pia. Mimi katika kukua kwangu nilikua nasaidiwa na watu wa makabila mbalimbali na sometimes wanakupenda tu kuliko hata ndugu zangu.Acheni hizi hukumu za kimakundi na kikabila.
Unataka kusema hakuna watu wema uchagani au watu wabaya kwenye kabila lako?
NB: Mimi siyo mchagga.
Ndio maana umeambiwa, uchunguzi unafanyika.Tutajuaje, labda huyo mtoa taarifa ndio kafanya hayo? Na chanzo ni nini? Insanity au?
Mnavyobaguana mkiwa huko Moshi Mara huyu ni mrombo mkibosho Mana dhambi ya ukabila itakula mpaka ukiwa mrombo utaanza kuangalia Koo kiubaguzi.mtabaguana mpaka family level.
Kwanza ivi Kuna wachaga kwani Kuna kabila la kichaga kweli Mana wilaya moja makabila Kama kumi tofautitofauti.
Mie hata mchaga bure sioi
Kula na kashata ntalipa.Macho hayabaki na picha mtu akishafariki ... punguza story za Gahawa
Kibosho wamezidi kufanya matambiko. Usikute ndio dawa ya mafanikio aliandika na mtaalamu wakeMchaga mpumbavu sana huyo
Akikutwa na hatia kafungwe tuu milele huko.
Ili tukio natamani sana kuendelea kulijua ili nijue mwisho wake lakini sizani kama uyo mtoto atakuwa ndo muhusika mkuu wa tukio hilo kunakitu kimejificha apa..
Mwanafunzi wa kidato cha nne Shule ya Sekondari Kindi Wilaya ya Moshi mkoani Kilimanjaro anadaiwa kumuua mama yake mzazi, Marietha Mushi (62) kwa kumnyonga na shuka, kisha kumpiga na kitu kizito kichwani na kumng’oa macho.
Habari zinaeleza kuwa mama huyo alikuwa na ulemavu wa mkono jambo linalodaiwa kuchangia ashindwe kujitetea wakati akishambuliwa na binti yake huyo.
Akizungumza na Mwananchi Digital Jumanne Julai 6, 2021 mkuu wa Wilaya ya Moshi, Said Mtanda amesema tukio hilo limetokea Julai 5, 2021 eneo la Kibosho Sambarai.
"Mtoto amemuua mama yake na mtoa taarifa ambaye ni kaka wa marehemu ameeleza kuwa alibaini kuuawa kwa dada yake kwa kunyongwa na shuka kisha kupigwa na kitu kizito kwenye paji la uso. Alisema aling’olewa macho na huyu mwanaye wa kike ambaye anasoma kidato cha nne,” amesema Mtanda.
Amesema mwanafunzi huyo amekamatwa na uchunguzi wa Polisi unaendelea
Source: Mwananchi Newspaper
Wachaga wanajuana. It's obvious!Uchunguzi ufanyike aisee... Mama ni mlemavu mtoto ni binti tena form four amng'oe mama ake macho it doesn't make sense kuna mtoa kafara hapo maiki za media na camera zao hazijammulika
Alitoboa ili kupoteza ushahidi maana mtu akifa kwenye macho image ya vitu vya mwisho kuviona huwa inabaki machoni.Binti mdogo halafu kamuua mama yake,kamnyonga,halafu baada ya kufa kampiga na kitu kizito,halafu kamtoa na macho,hapa uchunguzi wa kina unahitajika kwanini ampige na kitu kizito baada ya kumnyonga,na hayo macho kwanini kayatoa kama lengo lilikuwa ni kumuua tu...?
Unashanga Mchagga kuua mzazi wake, wale jamaa wanauwa hata kwa shilingi elfu 5 tu ili akanywe mbege.Haiwezekani kuna kitu kimejificha hapa.
Kina Manka bwana wana roho ngumu sana katika maamuzi ya pesa na uhai wa mtu....sasa basi, angalia wanavyopenda dini utafikiri ndiyo wao walioanzisha hapa duniani. Mchana na jioni kutwa kuswali, usiku wanaruka kushindana na popo na bundi kwenda kufinya watu waliolala majumbani mwao.Jamaa kwa hela tu hawajambo.yaani manka kukuua afu zile hela ziende kwao ni kawaida Sana na anasifiwa huko kwao na kufanyiwa party kuwa wewe ni jasiri mwanetu
Wachaga nawaogopaga kama UKOMA.