Ukwaju
JF-Expert Member
- Oct 19, 2010
- 13,370
- 11,089
Mbona mnaichukia Bambaga kwa ajili ya Malaya wanaonunua na wanaojiuza, mwenye Bar anahusikaje mpaka muiombee Ife?
Waswanu ndipo tukimaliza tunahamia Bambaga sehemu waheshimiwa hawafiki Bali wapambe na madereva
Uwezo wa bei za bia Rainbow, Club 84 Dodoma hotel hatuna acheni tunywe Bei ya serikali Bambaga na waswanu zisife
Waswanu ndipo tukimaliza tunahamia Bambaga sehemu waheshimiwa hawafiki Bali wapambe na madereva
Uwezo wa bei za bia Rainbow, Club 84 Dodoma hotel hatuna acheni tunywe Bei ya serikali Bambaga na waswanu zisife