Uncle Rukus
JF-Expert Member
- Jun 16, 2010
- 2,415
- 398
Bwa ha ha ha ha! LEMA kajipeleka mwenyewe kwa nini mtake kumtoa kwa nguvu? mwacheni apumzike uko jamani alaaaaaaaaaaa!
Hizo picha zinasaidia vipi kutatua shida tulizo nazo?.
Hili jana linaitwa Isaale.
Lina maana Kubwa sana katika kabila Fulani. ngoja waje watakupa jibu
Tupo mkuu, tuko njiani tunawapelekea makamanda mikate, juice na soda. Watu wameitikia wito na wanajitolea mpaka inafurahisha!Jamani tunaomba kama kuna mchango ili kuwawezesha hao wakeshaji wapate kula na mahitaji mengine muhimu.
Nadhani pia ni wakati wa mikoa mingine kuendeleza movement mpaka kieleweke.
Tuone kama dola ndo solution.
Kichwa maji kazini..........
Kichwa kama CCM. aibuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu
dah kwa habari zilizopo pilato kagoma kusaini Remove oder ya kwamba akaifanya hivyo itakuwa ni kwa shinikizo
Sasa hivi hakuna kinachoendelea?Nime-update picha kwenye thread...nitakuwa nawajuza kitakachokuwa kikiendelea
kuna m2 almwita mwenzake punga,kilichompata mm
Hizo picha zinasaidia vipi kutatua shida tulizo nazo?.