Emanuel Makofia
JF-Expert Member
- Jan 5, 2010
- 3,832
- 630
sijawahi kusikia au kuona `ukombozi` bila ya kumwaga damu!
Mapinduzi halisi yanakuja. We ngoja waTZ wajaribiwe kwa kutopewa Katiba Mpya tena ya kwao wenyewe halafu uone kivumbi.sijawahi kusikia au kuona `ukombozi` bila ya kumwaga damu!
Watanzania wote ni mafisadi kama serikali yao hivyo hawawezi kufanya mapinduzi yeyote hata ya kumuondoa mwenyekiti wa Mtaa. Kwa hili la Arusha CDM wamefeli ama wamekufa kifo cha mende kwa kusalitiwa na Nguvu ya umma ambayo ni tegemeo lao.Mapinduzi halisi yanakuja. We ngoja waTZ wajaribiwe kwa kutopewa Katiba Mpya tena ya kwao wenyewe halafu uone kivumbi.