Kilichotokea Arusha katika picha

Kilichotokea Arusha katika picha

Cdm mkomae na bungeni hivyo hivyo mpaka kieleweke
 
habari nilizozipata tena hivi punde zinasema: Wanachadema kukaa uwanjani NMC kwa siku kadha bila kuondoka, kufuatia kitendo cha serikali na mahakama kukataa kumtoa Lema gerezani!
 
Watu wameamua kukesha NMC mpka Kamanda Lema atakapo pelekwa hapo uwanjani akiwa huru..
Wako tayari kwa lolote au chochote kwa Heri ama kwa shari!
 
taarifa za kiintelijensià zinatuambia hakim akimuachia lema leo,umaarufu wake utampita cameron prince charles
 
dah kwa habari zilizopo pilato kagoma kusaini Remove oder ya kwamba akaifanya hivyo itakuwa ni kwa shinikizo

Kwa hiyo next time akisign shinikizo litakuwa limekwisha siyo?? Inaelekea hakusaign kwa ajili ya shinikizo vilevile!!
 
Ni zamu ya Mwenyekiti Mbowe anasema kuwa CHADEMA wanaanza hatua nyingine ya mapambano. Hakuna mtu kumsukuma, wala kumbugudhi mtu. Hakuna mtu kuondoka hapa, watoto wadogo wapelekwe nyumbani, maana ngoma ya kukseha hapa Uwanja wa NMC, usiku ni ngoma ya wakubwa. Mwenye simu ampigie jirani yake aje hapa, awaambie walioko nyumbani walete chai hapa. Watu watume msgs kwa marafiki zao wote kuwa waje wajiunge na makamanda waliopo hapa kuendeleza mapambano.

Anasema pia kuwa wananchi wengine wote nchini katika maeneo mbalimbali, Mwanza, Mbeya, Moshi na maeneo mengine yote ya miji mikuu wajiandae kuanza kukutana na kukesha. Anasema hatuwezi kuendelea kujenga taifa la watu waoga. Tuko tayari kwa mapambano, pipoooooooooooz power, anasema kamanda Mbowe. Sasa anaagiza wimbo wa Peoples' Power upigwe na watu wasikilize kwa makini mashairi yaliyomo. Wimbo huo ulitungwa kuwakumbuka watu watatu waliouwawa katika maandamano ya Januari 5, Arusha. Here we go brothers.
 
Serikali legelege ya CCM dhuruma wanayoifanya inamwisho wake wao na watoto wao,saa ya ukombozi si mda mrefu inafika.
 
Ni zamu ya Mwenyekiti Mbowe anasema kuwa CHADEMA wanaanza hatua nyingine ya mapambano. Hakuna mtu kumsukuma, wala kumbugudhi mtu. Hakuna mtu kuondoka hapa, watoto wadogo wapelekwe nyumbani, maana ngoma ya kukseha hapa Uwanja wa NMC, usiku ni ngoma ya wakubwa. Mwenye simu ampigie jirani yake aje hapa, awaambie walioko nyumbani walete chai hapa. Watu watume msgs kwa marafiki zao wote kuwa waje wajiunge na makamanda waliopo hapa kuendeleza mapambano.

Anasema pia kuwa wananchi wengine wote nchini katika maeneo mbalimbali, Mwanza, Mbeya, Moshi na maeneo mengine yote ya miji mikuu wajiandae kuanza kukutana na kukesha. Anasema hatuwezi kuendelea kujenga taifa la watu waoga. Tuko tayari kwa mapambano, pipoooooooooooz power, anasema kamanda Mbowe. Sasa anaagiza wimbo wa Peoples' Power upigwe na watu wasikilize kwa makini mashairi yaliyomo. Wimbo huo ulitungwa kuwakumbuka watu watatu waliouwawa katika maandamano ya Januari 5, Arusha. Here we go brothers.
Nafikiri huu ndio muda wa kumuondoa kiwete wa akili madarakani.......
 
nimeipenda hii ya wana CDM kukesha uwanjani.
 
nimeipenda hii ya wana CDM kukesha uwanjani.
Jamani tunaomba kama kuna mchango ili kuwawezesha hao wakeshaji wapate kula na mahitaji mengine muhimu.

Nadhani pia ni wakati wa mikoa mingine kuendeleza movement mpaka kieleweke.

Tuone kama dola ndo solution.
 
Bila shaka hii ni rekodi nyingine mpya kwa hapa NMC na hakika CDM ndiyo NGUVU ya UMMA ndiyo yenyewe. Na naona Makamanda wameshatua na WAKO FLUUUU!![/QUOTE

Makamanda mlioko arusha please tujuzeni maana kuna habari zinakuja mbili mbili, wengine wanasema Lema ameachiwa wengine wanasema hajaachiwa na cdm wako nmc
 
Back
Top Bottom