REJESHO HURU
JF-Expert Member
- Mar 6, 2014
- 4,462
- 9,402
😂😂😂 huu ndio uzuri wa JF tunamalizana humu humu ukisoma ulichoandika hapa na shutuma ulizopewa humu kuwa umemuuza kapendela kwa vyombo vya dola basi hakuna ubishi kuwa kweli bro ulimuuza kabendela hivi madudu na ujinga wa makonda kweli wakumtetea au kwakua ni home boy mwenzako kanda ya ziwa mojaNaunga mkono hoja, hapa kanuni ya uzalendo applies.
Makonda ni mteule wa rais wa JMT, Wamarekani are outsiders, hivyo media ya Tanzania imeshikamana na mteule na kuwapuuza mabeberu.