Nilijua tu, wewe na wenzako leo mmezalilishwa na uwoya mpaka mkavunja kamera zenuSi ndyo mwandishi wa habar anaechipukia
Nilijua tu, wewe na wenzako leo mmezalilishwa na uwoya mpaka mkavunja kamera zenu



Leo baada ya kutoka katika mizunguko yangu nikasema ngoja niende nkamsalimie rafiki yangu yeye anafanya kazi katika lodge moja nilivyomcheki akaniambia bado yuko kazini nimpitie mzee nkatimba hapo kwenye lodge anayofanyia kazi tukiwa tumekaa pale reception tunapiga story mbili tatu akaja jamaa mmoja anataka room akaambiwa bei akalipa baada ya hapo akipiga simu huku akisema njoo hapa lodge nishalipia room nipo chumba na 112 kukaa kidogo mtu anayekuja kuingia kwenye chumba cha uyo jamaa ni mama ake na rafiki yangu kwanza yule mama hakutegemea kunikuta pale maana alishtuka balaa kutoka nje alishindwa na kuingia ndan nako ilikuwa shida na mm bila kujivunga nkamwambia mama shkamoo akaitikia ikabid aniite nje akaniambia mwanangu naomba unifichie siri mwanangu nisiadhirike uku akitoa wekundu kazaa akinipatia alafu akazama ndani uku akiniachia maswali uku njee sijui yule mama amekosa nn kwa mume wake
Wewe ni mjinga usiye na akili wala maarifa. TOMB@ huyo M@laya Ili uwe na uhakika wa fweza.Hapana isee yule n kama mamaangu aisee
Nirushie wekundu mmoja naapa hiii siri sitaitoa popoteLeo baada ya kutoka katika mizunguko yangu nikasema ngoja niende nkamsalimie rafiki yangu yeye anafanya kazi katika lodge moja nilivyomcheki akaniambia bado yuko kazini nimpitie mzee nkatimba hapo kwenye lodge anayofanyia kazi tukiwa tumekaa pale reception tunapiga story mbili tatu akaja jamaa mmoja anataka room akaambiwa bei akalipa baada ya hapo akipiga simu huku akisema njoo hapa lodge nishalipia room nipo chumba na 112 kukaa kidogo mtu anayekuja kuingia kwenye chumba cha uyo jamaa ni mama ake na rafiki yangu kwanza yule mama hakutegemea kunikuta pale maana alishtuka balaa kutoka nje alishindwa na kuingia ndan nako ilikuwa shida na mm bila kujivunga nkamwambia mama shkamoo akaitikia ikabid aniite nje akaniambia mwanangu naomba unifichie siri mwanangu nisiadhirike uku akitoa wekundu kazaa akinipatia alafu akazama ndani uku akiniachia maswali uku njee sijui yule mama amekosa nn kwa mume wake
Nirushie wekundu mmoja naapa hiii siri sitaitoa popoteLeo baada ya kutoka katika mizunguko yangu nikasema ngoja niende nkamsalimie rafiki yangu yeye anafanya kazi katika lodge moja nilivyomcheki akaniambia bado yuko kazini nimpitie mzee nkatimba hapo kwenye lodge anayofanyia kazi tukiwa tumekaa pale reception tunapiga story mbili tatu akaja jamaa mmoja anataka room akaambiwa bei akalipa baada ya hapo akipiga simu huku akisema njoo hapa lodge nishalipia room nipo chumba na 112 kukaa kidogo mtu anayekuja kuingia kwenye chumba cha uyo jamaa ni mama ake na rafiki yangu kwanza yule mama hakutegemea kunikuta pale maana alishtuka balaa kutoka nje alishindwa na kuingia ndan nako ilikuwa shida na mm bila kujivunga nkamwambia mama shkamoo akaitikia ikabid aniite nje akaniambia mwanangu naomba unifichie siri mwanangu nisiadhirike uku akitoa wekundu kazaa akinipatia alafu akazama ndani uku akiniachia maswali uku njee sijui yule mama amekosa nn kwa mume wake
Wewe ni mjinga usiye na akili wala maarifa. TOMB@ huyo M@laya Ili uwe na uhakika wa fweza.
Bazazi
Namba si ileile mkuu nirushe mpesa au tigo pesaNirushie wekundu mmoja naapa hiii siri sitaitoa popote
hapana ile inayoishia na 5 jina litakuja tigompesaNamba si ileile mkuu nirushe mpesa au tigo pesa
️Na kwel maana ni aibu kwanza yeye mwenyew hakutegemea nikuta pale alishtuka balaa
Rusha picha na namba hapaYuko vizur ni wale wa mama wa mjini
Leo baada ya kutoka katika mizunguko yangu nikasema ngoja niende nikamsalimie rafiki yangu yeye anafanya kazi katika lodge moja.
Nilivyomcheki akaniambia bado yuko kazini nimpitie mzee nikatimba hapo kwenye lodge anayofanyia kazi, tukiwa tumekaa pale reception tunapiga story mbili tatu akaja jamaa mmoja anataka room akaambiwa bei akalipa baada ya hapo akapiga simu huku akisema njoo hapa lodge nishalipia room nipo chumba na 112.
Kukaa kidogo mtu anayekuja kuingia kwenye chumba cha huyo jamaa ni mama yake na rafiki yangu. Kwanza yule mama hakutegemea kunikuta pale maana alishtuka balaa kutoka nje alishindwa na kuingia ndani nako ilikuwa shida na mimi bila kujivunga nikamwambia mama shikamoo akaitikia.
Ikabidi aniite nje akaniambia mwanangu naomba unifichie siri mwanangu nisiadhirike huku akitoa wekundu kadhaa akinipatia halafu akazama ndani huku akiniachia maswali huku nje
Sijui yule mama amekosa nini kwa mume wake