Kilichonikuta leo lodge

Kilichonikuta leo lodge

Nilifikiri rushwa ipo serikalini kumbe hata kwenye jamii zetu hipo kwanza wewe jasiri sana mpaka kuandika humu mimi nisingeweza hata kidogo
 
Kwa hiyo hapa ndio umetunza siri, kwa kuweka uzi JF?????
 
Leo baada ya kutoka katika mizunguko yangu nikasema ngoja niende nikamsalimie rafiki yangu yeye anafanya kazi katika lodge moja.

Nilivyomcheki akaniambia bado yuko kazini nimpitie mzee nikatimba hapo kwenye lodge anayofanyia kazi, tukiwa tumekaa pale reception tunapiga story mbili tatu akaja jamaa mmoja anataka room akaambiwa bei akalipa baada ya hapo akapiga simu huku akisema njoo hapa lodge nishalipia room nipo chumba na 112.

Kukaa kidogo mtu anayekuja kuingia kwenye chumba cha huyo jamaa ni mama yake na rafiki yangu. Kwanza yule mama hakutegemea kunikuta pale maana alishtuka balaa kutoka nje alishindwa na kuingia ndani nako ilikuwa shida na mimi bila kujivunga nikamwambia mama shikamoo akaitikia.

Ikabidi aniite nje akaniambia mwanangu naomba unifichie siri mwanangu nisiadhirike huku akitoa wekundu kadhaa akinipatia halafu akazama ndani huku akiniachia maswali huku nje

Sijui yule mama amekosa nini kwa mume wake

Alichokikosa ndo amekifata lodge mkuu
 
Kwa hiyo jamaa siku ile alizikosa na tena kamlaumu sana
Sikia tunza siri yake pia unaweza mwambia mumewe ukaonekan we ndo mbaya so mezea ww cha msingi kuwa na ukaribu nae uyo bi maza kuondoa mashka nae utapata kumpuna visenti viwil v3 maana izo alikua akampe jamaa ake
 
Hiyo fulsa haiji mara mbili huyo mama kashakua demu wako pesa kula kisha rudi mwambie mama nataka mzigo huo me mwenyewe nakumaind kinyama tangu kitambo hawezi chomoka huyo ni malaya tuu hahahaaaaa
 
Hiyo fulsa haiji mara mbili huyo mama kashakua demu wako pesa kula kisha rudi mwambie mama nataka mzigo huo me mwenyewe nakumaind kinyama tangu kitambo hawezi chomoka huyo ni malaya tuu hahahaaaaa
Hakika na chenji inabaki,hata hofu hatokuwa nayo tena
 
Kweli mazingira ya waandishi wetu ni magumu ila una bahati juzi umekota zile za Uwoya leo tena umekutana na za Mama wknd itaenda vyema
 
.
Kukaa kidogo mtu anayekuja kuingia kwenye chumba cha huyo jamaa ni mama yake na rafiki yangu. Kwanza yule mama hakutegemea kunikuta pale maana alishtuka balaa kutoka nje alishindwa na kuingia ndani nako ilikuwa shida na mimi bila kujivunga nikamwambia mama shikamoo akaitikia.
Sijui yule mama amekosa nini kwa mume wake
Haya ndo matatizo ya kwenda viloji vya uswahilini...waswahili kibao!!!!!...ukiingia tu room wanataman hata wapige chabo..
 
Nenda katubu mbele ya kamati kuu ya maadili ya chama cha mapinduzi
 
Leo baada ya kutoka katika mizunguko yangu nikasema ngoja niende nikamsalimie rafiki yangu yeye anafanya kazi katika lodge moja.

Nilivyomcheki akaniambia bado yuko kazini nimpitie mzee nikatimba hapo kwenye lodge anayofanyia kazi, tukiwa tumekaa pale reception tunapiga story mbili tatu akaja jamaa mmoja anataka room akaambiwa bei akalipa baada ya hapo akapiga simu huku akisema njoo hapa lodge nishalipia room nipo chumba na 112.

Kukaa kidogo mtu anayekuja kuingia kwenye chumba cha huyo jamaa ni mama yake na rafiki yangu. Kwanza yule mama hakutegemea kunikuta pale maana alishtuka balaa kutoka nje alishindwa na kuingia ndani nako ilikuwa shida na mimi bila kujivunga nikamwambia mama shikamoo akaitikia.

Ikabidi aniite nje akaniambia mwanangu naomba unifichie siri mwanangu nisiadhirike huku akitoa wekundu kadhaa akinipatia halafu akazama ndani huku akiniachia maswali huku nje

Sijui yule mama amekosa nini kwa mume wake
Sio huyo tu wapo wengi wenye tabia hizo
Nawe ukome kwenda kukaa lodge fikiria ungekuta huyo jamaa anaingia lodge na mama yako mzazi ungekuja kuanzisha mada Jf?
 
Huyo mfanyakazi wa hiyo lodge hafai. Sehemu ya kazi si ya kupiga story na mgeni. Mngeenda bar.
 
Back
Top Bottom