carcinoma
JF-Expert Member
- Mar 5, 2017
- 5,059
- 13,802
Mkuu una akili sana kuchukua pesa ile..Alinipa wekundu kazaa
Siku akikuongeza nyingine chukua tu. Haya maisha ni mafupi aiseeh ukipata sehemu ya kuchuma pesa easy hivyo zivune tu
Mkuu una akili sana kuchukua pesa ile..Alinipa wekundu kazaa
Leo baada ya kutoka katika mizunguko yangu nikasema ngoja niende nikamsalimie rafiki yangu yeye anafanya kazi katika lodge moja.
Nilivyomcheki akaniambia bado yuko kazini nimpitie mzee nikatimba hapo kwenye lodge anayofanyia kazi, tukiwa tumekaa pale reception tunapiga story mbili tatu akaja jamaa mmoja anataka room akaambiwa bei akalipa baada ya hapo akapiga simu huku akisema njoo hapa lodge nishalipia room nipo chumba na 112.
Kukaa kidogo mtu anayekuja kuingia kwenye chumba cha huyo jamaa ni mama yake na rafiki yangu. Kwanza yule mama hakutegemea kunikuta pale maana alishtuka balaa kutoka nje alishindwa na kuingia ndani nako ilikuwa shida na mimi bila kujivunga nikamwambia mama shikamoo akaitikia.
Ikabidi aniite nje akaniambia mwanangu naomba unifichie siri mwanangu nisiadhirike huku akitoa wekundu kadhaa akinipatia halafu akazama ndani huku akiniachia maswali huku nje
Sijui yule mama amekosa nini kwa mume wake
Ukafanyeje sasa baada ya kuona wekundu!!!
Sikia tunza siri yake pia unaweza mwambia mumewe ukaonekan we ndo mbaya so mezea ww cha msingi kuwa na ukaribu nae uyo bi maza kuondoa mashka nae utapata kumpuna visenti viwil v3 maana izo alikua akampe jamaa ake
Hakika na chenji inabaki,hata hofu hatokuwa nayo tenaHiyo fulsa haiji mara mbili huyo mama kashakua demu wako pesa kula kisha rudi mwambie mama nataka mzigo huo me mwenyewe nakumaind kinyama tangu kitambo hawezi chomoka huyo ni malaya tuu hahahaaaaa
InawezekanaAlichokikosa ndo amekifata lodge mkuu
Kwa hiyo hapa ndio umetunza siri, kwa kuweka uzi JF?????
Haya ndo matatizo ya kwenda viloji vya uswahilini...waswahili kibao!!!!!...ukiingia tu room wanataman hata wapige chabo...
Kukaa kidogo mtu anayekuja kuingia kwenye chumba cha huyo jamaa ni mama yake na rafiki yangu. Kwanza yule mama hakutegemea kunikuta pale maana alishtuka balaa kutoka nje alishindwa na kuingia ndani nako ilikuwa shida na mimi bila kujivunga nikamwambia mama shikamoo akaitikia.
Sijui yule mama amekosa nini kwa mume wake
Sio huyo tu wapo wengi wenye tabia hizoLeo baada ya kutoka katika mizunguko yangu nikasema ngoja niende nikamsalimie rafiki yangu yeye anafanya kazi katika lodge moja.
Nilivyomcheki akaniambia bado yuko kazini nimpitie mzee nikatimba hapo kwenye lodge anayofanyia kazi, tukiwa tumekaa pale reception tunapiga story mbili tatu akaja jamaa mmoja anataka room akaambiwa bei akalipa baada ya hapo akapiga simu huku akisema njoo hapa lodge nishalipia room nipo chumba na 112.
Kukaa kidogo mtu anayekuja kuingia kwenye chumba cha huyo jamaa ni mama yake na rafiki yangu. Kwanza yule mama hakutegemea kunikuta pale maana alishtuka balaa kutoka nje alishindwa na kuingia ndani nako ilikuwa shida na mimi bila kujivunga nikamwambia mama shikamoo akaitikia.
Ikabidi aniite nje akaniambia mwanangu naomba unifichie siri mwanangu nisiadhirike huku akitoa wekundu kadhaa akinipatia halafu akazama ndani huku akiniachia maswali huku nje
Sijui yule mama amekosa nini kwa mume wake
Kama ni bahati endelea kuwa unaenda kushinda lodge ili siku moja umkute njemba muuza uduvi akiingia lodge na mama yako mzaziNa nilivokuwa na shida na hela n kama bahati tu