Kilichonikuta leo lodge

Kilichonikuta leo lodge

Sikia tunza siri yake pia unaweza mwambia mumewe ukaonekan we ndo mbaya so mezea ww cha msingi kuwa na ukaribu nae uyo bi maza kuondoa mashka nae utapata kumpuna visenti viwil v3 maana izo alikua akampe jamaa ake
 
Leo baada ya kutoka katika mizunguko yangu nikasema ngoja niende nikamsalimie rafiki yangu yeye anafanya kazi katika lodge moja.

Nilivyomcheki akaniambia bado yuko kazini nimpitie mzee nikatimba hapo kwenye lodge anayofanyia kazi, tukiwa tumekaa pale reception tunapiga story mbili tatu akaja jamaa mmoja anataka room akaambiwa bei akalipa baada ya hapo akapiga simu huku akisema njoo hapa lodge nishalipia room nipo chumba na 112.

Kukaa kidogo mtu anayekuja kuingia kwenye chumba cha huyo jamaa ni mama yake na rafiki yangu. Kwanza yule mama hakutegemea kunikuta pale maana alishtuka balaa kutoka nje alishindwa na kuingia ndani nako ilikuwa shida na mimi bila kujivunga nikamwambia mama shikamoo akaitikia.

Ikabidi aniite nje akaniambia mwanangu naomba unifichie siri mwanangu nisiadhirike huku akitoa wekundu kadhaa akinipatia halafu akazama ndani huku akiniachia maswali huku nje

Sijui yule mama amekosa nini kwa mume wake
princewilly, ungeomba tu kitu angekupa vizuri tu, Ila kama unamwogopa unitumie kwa pm namba yake nami nikapunguze uzito hata magoli mawili tu.
 
Na mwisho wa siku utaishia kumla,wabongo nawaelewa
 
Shida ni moja..mimj huwa siamin kabisa kabisa kwenye inshu ya kutunza siri.

Mara nyingi sana Mtunziwaji siri, huwa hamuamin kabisa mtunza sir wake.

Nkm siri yenyewe nikubwaaa, basi roho ya Dhambi huanza kumvaa namatokeo yake ni kutaka kumpoteza huyo mtunza siri wake.


Kwa kesi kama yako, Mtunziwaji sir atakua na uhuru pale tu UTAKAPOMLA MZIGO NAWW.
Kwaiyo unataka kusema?
 
princewilly Wewe ungemwambia kwamba hutaki hela badala yake unataka kupima oil, si ameshindwa kujiheshimu!! Ungempiga bao moja kwa kumuinamisha hapo kwenye kochi la reception fasta!
 
Leo baada ya kutoka katika mizunguko yangu nikasema ngoja niende nikamsalimie rafiki yangu yeye anafanya kazi katika lodge moja.

Nilivyomcheki akaniambia bado yuko kazini nimpitie mzee nikatimba hapo kwenye lodge anayofanyia kazi, tukiwa tumekaa pale reception tunapiga story mbili tatu akaja jamaa mmoja anataka room akaambiwa bei akalipa baada ya hapo akapiga simu huku akisema njoo hapa lodge nishalipia room nipo chumba na 112.

Kukaa kidogo mtu anayekuja kuingia kwenye chumba cha huyo jamaa ni mama yake na rafiki yangu. Kwanza yule mama hakutegemea kunikuta pale maana alishtuka balaa kutoka nje alishindwa na kuingia ndani nako ilikuwa shida na mimi bila kujivunga nikamwambia mama shikamoo akaitikia.

Ikabidi aniite nje akaniambia mwanangu naomba unifichie siri mwanangu nisiadhirike huku akitoa wekundu kadhaa akinipatia halafu akazama ndani huku akiniachia maswali huku nje

Sijui yule mama amekosa nini kwa mume wake
Mbona hii kama chai au kwasababu imepoa,
 
Back
Top Bottom