Kilichomuondoa Gekul ni kukosa backup

Kilichomuondoa Gekul ni kukosa backup

Ingekuwa mawaziri na baadhi ya viongozi wanachomolewa kwa sababu ya skendo basi wengi wangekuwa wametoka. Hakuna serikali ambayo viongozi wana maskendo kama hii awamu ya sita. Kuanzia ubadhirifu,matumizi mabaya ya fedha za uma na matumizi mabaya ya madaraka ikiwemo kutoa kauli chafu kwa wananchi.

Lakini kwa sababu wengi wao wanaokumbwa na skendo wana backup ya watu fulani basi mama huishia kumung'unya maneno, akiwaka sana ataishia kusema STUPID.

Ni wazi kilichomuondoa Gekul ni kukosa backup ya mtu wa karibu na mama au kutokuwa mtoto wa fulani ndani ya chama. Ni kama wanatafutwa mno watu wa dizaini yake ili kutolewa kafara. Hata kina Ally Hapi walikosa tu backup wakaondolewa..japo walideliver sana.

Uzuri kina Seleman Jaffo wanalijua hili ndio maana wamekaa zao kimya. Siku nao wakiguswa tu na wabaya wao basi hawafiki saa kumi jioni.

Sent from my SM-A225F using JamiiForums mobile app
Acha porojo . Yani Naibu waziri wa sheria afanye kosa kubwa la udhalilishaji kiasi hiki afu abaki madarakani? Hata angekuwa na backup yenye nguvu kiasi gani asingetakiwa aachwe hata sekunde moja. Kwanza hata kuwa uraiani mpaka sasa ni kosa. Kama alifanya kama mitandao inavyoriport hana tafauti na mtu anaelawiti
 
Ingekuwa mawaziri na baadhi ya viongozi wanachomolewa kwa sababu ya skendo basi wengi wangekuwa wametoka. Hakuna serikali ambayo viongozi wana maskendo kama hii awamu ya sita. Kuanzia ubadhirifu,matumizi mabaya ya fedha za uma na matumizi mabaya ya madaraka ikiwemo kutoa kauli chafu kwa wananchi.

Lakini kwa sababu wengi wao wanaokumbwa na skendo wana backup ya watu fulani basi mama huishia kumung'unya maneno, akiwaka sana ataishia kusema STUPID.

Ni wazi kilichomuondoa Gekul ni kukosa backup ya mtu wa karibu na mama au kutokuwa mtoto wa fulani ndani ya chama. Ni kama wanatafutwa mno watu wa dizaini yake ili kutolewa kafara. Hata kina Ally Hapi walikosa tu backup wakaondolewa..japo walideliver sana.

Uzuri kina Seleman Jaffo wanalijua hili ndio maana wamekaa zao kimya. Siku nao wakiguswa tu na wabaya wao basi hawafiki saa kumi jioni.

Sent from my SM-A225F using JamiiForums mobile app
Ni "conflict of interest", yeye ndiye alikuwa anasimamia utekelezaji wa sheria na haki. Sasa sheria ingechukuaje mkondo na haki ingetendekaje!
 
Unasema hakuna viongozi wenye tuhuma kama hii awamu, kwasababu vyombo vya habari vipo huru kueleza lolote.

Kilicho muondoa huyo best yako ni matendo yake, hivi wewe au mmeo/mkeo au mtoto wako asokomezewe chupa ungekuja hapa na hizi ngojera zako, shame on you!
Hujaelewa. Ila wanaojua kusoma lugha ya alama wanaelewa. Backup ndio kila kitu kwenye utawala wa mama.

Sio tu kusukumiziwa chupa, hata angeua kama angekuwa na backup au mtu mzito angeendelea kuwepo. Unakumbuka ishu ya John Cheyo kuhusika na tuhuma ya kuua wale wadada wawili?

Sent from my SM-A225F using JamiiForums mobile app
 
Upo sahihi mkuu.

Kama yule aliyetuacha giza na umeme wa kusua sua, alitakiwa kumfuata PAULINE siyo kumpeleka kule
 
Ingekuwa mawaziri na baadhi ya viongozi wanachomolewa kwa sababu ya skendo basi wengi wangekuwa wametoka. Hakuna serikali ambayo viongozi wana maskendo kama hii awamu ya sita. Kuanzia ubadhirifu,matumizi mabaya ya fedha za uma na matumizi mabaya ya madaraka ikiwemo kutoa kauli chafu kwa wananchi.

Lakini kwa sababu wengi wao wanaokumbwa na skendo wana backup ya watu fulani basi mama huishia kumung'unya maneno, akiwaka sana ataishia kusema STUPID.

Ni wazi kilichomuondoa Gekul ni kukosa backup ya mtu wa karibu na mama au kutokuwa mtoto wa fulani ndani ya chama. Ni kama wanatafutwa mno watu wa dizaini yake ili kutolewa kafara. Hata kina Ally Hapi walikosa tu backup wakaondolewa..japo walideliver sana.

Uzuri kina Seleman Jaffo wanalijua hili ndio maana wamekaa zao kimya. Siku nao wakiguswa tu na wabaya wao basi hawafiki saa kumi jioni.

Sent from my SM-A225F using JamiiForums mobile app
Baba yake angekuwa amewahi kuwa waziri au RC au Rais basi yasingemkuta. Ameonekana mwepesi kwa sababu hana Godifaza.
 
Una busara sana. Cheo si kitu ikiwa huna wenye nguvu wamekuzunguka. Amekosea sana Pauline ila tukihesabu makosa, kuna waliostahili kuwa kuzimu si jela tu na bado wanatamba si kidogo. Anyway, labda ndio mwanzo, kazi iendelee.
Makamba, Ummy, Bashe, Mwigulu, Nape, Masauni, Mbarawa, Aweso wote hawa hawafai hata kidogo lakini wana wagtu wa kuwalinda nyuma yao.
 
Unasema hakuna viongozi wenye tuhuma kama hii awamu, kwasababu vyombo vya habari vipo huru kueleza lolote.

Kilicho muondoa huyo best yako ni matendo yake, hivi wewe au mmeo/mkeo au mtoto wako asokomezewe chupa ungekuja hapa na hizi ngojera zako, shame on you!
Ingekuwa kila kosa linatolewa hukumu na kila Kiongozi, basi hata Bashit asingekuwa alipo. Tuna Mahakama zilizopewa Mamlaka za kuhukumu baada ya kuthibitisha pasi na shaka tuhuma hizo? Nani aliyethibitisha kisheria kuwa hata hiyo video clip ni ya kweli?
 
Ingekuwa mawaziri na baadhi ya viongozi wanachomolewa kwa sababu ya skendo basi wengi wangekuwa wametoka. Hakuna serikali ambayo viongozi wana maskendo kama hii awamu ya sita. Kuanzia ubadhirifu,matumizi mabaya ya fedha za uma na matumizi mabaya ya madaraka ikiwemo kutoa kauli chafu kwa wananchi.

Lakini kwa sababu wengi wao wanaokumbwa na skendo wana backup ya watu fulani basi mama huishia kumung'unya maneno, akiwaka sana ataishia kusema STUPID.

Ni wazi kilichomuondoa Gekul ni kukosa backup ya mtu wa karibu na mama au kutokuwa mtoto wa fulani ndani ya chama. Ni kama wanatafutwa mno watu wa dizaini yake ili kutolewa kafara. Hata kina Ally Hapi walikosa tu backup wakaondolewa..japo walideliver sana.

Uzuri kina Seleman Jaffo wanalijua hili ndio maana wamekaa zao kimya. Siku nao wakiguswa tu na wabaya wao basi hawafiki saa kumi jioni.

Sent from my SM-A225F using JamiiForums mobile app
Bila kusahau Ukanda na Udini ambao unaendelea kushamiri kwa nguvu zote.
 
Ingekuwa mawaziri na baadhi ya viongozi wanachomolewa kwa sababu ya skendo basi wengi wangekuwa wametoka. Hakuna serikali ambayo viongozi wana maskendo kama hii awamu ya sita. Kuanzia ubadhirifu,matumizi mabaya ya fedha za uma na matumizi mabaya ya madaraka ikiwemo kutoa kauli chafu kwa wananchi.

Lakini kwa sababu wengi wao wanaokumbwa na skendo wana backup ya watu fulani basi mama huishia kumung'unya maneno, akiwaka sana ataishia kusema STUPID.

Ni wazi kilichomuondoa Gekul ni kukosa backup ya mtu wa karibu na mama au kutokuwa mtoto wa fulani ndani ya chama. Ni kama wanatafutwa mno watu wa dizaini yake ili kutolewa kafara. Hata kina Ally Hapi walikosa tu backup wakaondolewa..japo walideliver sana.

Uzuri kina Seleman Jaffo wanalijua hili ndio maana wamekaa zao kimya. Siku nao wakiguswa tu na wabaya wao basi hawafiki saa kumi jioni.

Sent from my SM-A225F using JamiiForums mobile app
Sawa, Gekul umesikika lakini siamini kuwa huna back up. Ulitokatokaje chadema ukaenda huko na kupata vyeo vyote hivyo huna back up? Nadhani kama kweli umefanya hicho kitendo, back up wameona wasijihusishe na hii aibu. Pambana, ukizama, ndio imeenda.
 
Mkuu kila mtu ana uhuru wa kutoa maoni yake humu jukwaani.

Sio lazima kila mtu humu jukwaani akubaliane na maoni, mtizamo, matakwa, matamanio au mapenzi kama ya kwako.

Sijaiona sababu ya mtu muungwana na mwenye heshima kama wewe akimtukana matuzi makubwa kiasi hiki mwanajukwaa mwenzake. Sijaona!

Hii sio sawa! Umekosea sana wanajamii forum!
Nimekusoma mkuu....
 
Unasema hakuna viongozi wenye tuhuma kama hii awamu, kwasababu vyombo vya habari vipo huru kueleza lolote.

Kilicho muondoa huyo best yako ni matendo yake, hivi wewe au mmeo/mkeo au mtoto wako asokomezewe chupa ungekuja hapa na hizi ngojera zako, shame on you!
Vyombo vya habari viko huru kuelezea lolote ila sio KUGUSA serikali.
 
Ingekuwa mawaziri na baadhi ya viongozi wanachomolewa kwa sababu ya skendo basi wengi wangekuwa wametoka. Hakuna serikali ambayo viongozi wana maskendo kama hii awamu ya sita. Kuanzia ubadhirifu,matumizi mabaya ya fedha za uma na matumizi mabaya ya madaraka ikiwemo kutoa kauli chafu kwa wananchi.

Lakini kwa sababu wengi wao wanaokumbwa na skendo wana backup ya watu fulani basi mama huishia kumung'unya maneno, akiwaka sana ataishia kusema STUPID.

Ni wazi kilichomuondoa Gekul ni kukosa backup ya mtu wa karibu na mama au kutokuwa mtoto wa fulani ndani ya chama. Ni kama wanatafutwa mno watu wa dizaini yake ili kutolewa kafara. Hata kina Ally Hapi walikosa tu backup wakaondolewa..japo walideliver sana.

Uzuri kina Seleman Jaffo wanalijua hili ndio maana wamekaa zao kimya. Siku nao wakiguswa tu na wabaya wao basi hawafiki saa kumi jioni.

Sent from my SM-A225F using JamiiForums mobile app
Kwa hili swala anatakiwa kupisha uchunguzi. Kwa kuwa viongozi wetu hii kitu ya kupisha uchunguzi haipo, ndiyo maana Gekul anaonekana kaonewa. Tuhuma hizi ni nzito sana.
 
Ndo maana seleman yeye aliomba hekima , ukiisha kuwa kiongozi we ni figure we ni kioo lazima uwe mwenye hekima na akili ya ziada ili kuishi na watu na jamiii maana humo Kuna kila aina ya watu ubaya ni kwamba watu wakiwa na ela na vyeo wanajisahau sana pia kuishi kwa mazoea ya kiswahili Wakati ni mtu msomi, kwenye utatuzi wa migogoro mingi mara nyingi huwa inahitajika sana democracy, utulivu hekima na Uvumilivu, huyo mbunge alichofanya ni mambo ya kishamba sana ukitaka kuwa mafia lazima uwe smart siyo unafanya umafia wa kishamba vile
 
Unasema hakuna viongozi wenye tuhuma kama hii awamu, kwasababu vyombo vya habari vipo huru kueleza lolote.

Kilicho muondoa huyo best yako ni matendo yake, hivi wewe au mmeo/mkeo au mtoto wako asokomezewe chupa ungekuja hapa na hizi ngojera zako, shame on you!
Huyu ni mshabiki wa yule dhalim wa chato ndiyo maana anashabikia mambo ya kikatili.
 
Back
Top Bottom