Well said mr MayallaUsikute the issue sio Tido bali ni Azam!, haiwezekani Tido alipokuwa TBC, TBC ilingara, sasa yuko Azam, Azam inangara!, hivyo ikatafutwa namna yya kumcontain ili aondolewe Azam!, hata akiondolewa, jee ...itangara?.
Pole Tido, tuko nyuma yako!.
Paskali
..labda kwasababu Azam TV wamefanya mahojiano na TL.
Usikute the issue sio Tido bali ni Azam!, haiwezekani Tido alipokuwa TBC, TBC ilingara, sasa yuko Azam, Azam inangara!, hivyo ikatafutwa namna yya kumcontain ili aondolewe Azam!, hata akiondolewa, jee ...itangara?.
Pole Tido, tuko nyuma yako!.
Paskali
Paskali huwezi kumshauri mkuu aangalie sana maana unaweza ukawa una focus kumharibia mwingine image mbele ya jamii na kimataifa lakini ktk hili la Tido serikali itashuka sana hadhi na hasa Rais pia. Unaweza kusema aah hii ni ishu ya TAKUKURU na sio Rais...ila kwa sasa tunaelewa ndiye Engineer wa kila kitu. Ndiyo maana kina Mnyeti pamoja na tuhuma walipandishwa vyeo kutoka uDC hadi uRC..Usikute the issue sio Tido bali ni Azam!, haiwezekani Tido alipokuwa TBC, TBC ilingara, sasa yuko Azam, Azam inangara!, hivyo ikatafutwa namna yya kumcontain ili aondolewe Azam!, hata akiondolewa, jee ...itangara?.
Pole Tido, tuko nyuma yako!.
Paskali
Eti. huku walio kiri wanakula bata mtaani wapi ngeleje wapi tibaijuka wapi change unachekesha kweli stuka wewekilichomponza ni ufisadi wake ameiba kodi za watanzania wanyonge CHADEMA acheni kutetea wahalifu
Word!Usikute the issue sio Tido bali ni Azam!, haiwezekani Tido alipokuwa TBC, TBC ilingara, sasa yuko Azam, Azam inangara!, hivyo ikatafutwa namna yya kumcontain ili aondolewe Azam!, hata akiondolewa, jee ...itangara?.
Pole Tido, tuko nyuma yako!.
Paskali
hii inaweza kuwa sababu..labda kwasababu Azam TV wamefanya mahojiano na TL.