Lihakanga
JF-Expert Member
- Dec 17, 2016
- 4,812
- 6,441
Mbowe na Lissu siku zao zinahesabika. Hawatoenda mbali. Sikiliza siku chache zijazo. Kaburi halina mwenyeji.Waliosema wataifuta upinzani kufikia 2020 leo ndo wao waliofutika!! Hujifunzi tu
Mbowe na Lissu siku zao zinahesabika. Hawatoenda mbali. Sikiliza siku chache zijazo. Kaburi halina mwenyeji.Waliosema wataifuta upinzani kufikia 2020 leo ndo wao waliofutika!! Hujifunzi tu
Rudini kwa wananchi kwa hoja zenye mashikoHaya yataleta matokeo sahihi.
Rudini kwa wananchi kwa hoja zenye mashiko
Hoja mliyoidandia bado haina mashiko kabisa kwa wananchi walio wengi kwasababu bado Jamii yetu inakabiliwa na changamoto nyingi ktk maisha yetu kama Maji, vituo vya afya na vifaa tiba, elimu bora, miundombinu nk
Sasa wananchi walio wengi hawawezi kuconnect dot mahusiano ya katiba mpya na utatuzi wa hizo changamoto zinazotuzunguka
Ndio maana Lissu alipost kuwataka wananchi wa Mwanza waandamane waende vituo vya polisi kushinikiza kuachiliwa kwa waliokamatwa,, lakini WANANCHI WAMEPUUZIA hakuna aliyeenda
Lema kapost majuzi kuwataka wanaDar es Salaam waende nyumbani kwa Mbowe eti kuwazuia askari wasiingie ndani,, lakn hakuna wanaDaslam WAMEPUUZIA hakuna aliyeenda
Ila kinachoonekana mbele ya wananchi wa kawaida ni kuwa nyinyi Chadema mnachokochoko la vurugu na uvunjifu wa amani,
ikizingatiwa nyinyi ndio hasa mlishangilia kifo cha Magufuli ilhali wananchi wengi wa kawaida walimuona Jpm ni mkombozi wao wa kweli,, kitendo ambacho kiliwasononesha watu wengi sana
Na mbaya zaidi Mbowe majuzi kalikoroga kwa kusema chanjo inapaswa iwe lazima kwa wananchi,,, bila kujua ni namna gani wananchi wanayachukulia haya machanjo
Jpm hakupendwa na nyinyi chadema, ila kwa sisi wananchi wa kawaida tulio wengi tulimpenda na kumkubali sanaHoja zenye mashiko ni zipi? Mwaka 1977 kila kitu kilikuwa tayari ndio ikapatikana katiba ya sasa? Wananchi ndio wamezuia kupatikana kwa hiyo katiba mpya mpaka useme sio hoja yenye mashiko kwao? Tulitaka wananchi waikatae, na sio viongozi wa ccm kwa kuliagiza jeshi la polisi. Turudi kwa wananchi kupitia njia gani wakati hamtaki tuongee na wananchi? Una akili kweli?
Wananchi wengi ni waoga wa kuumia na sio kwamba wanakubaliana na huu uhuni, ndio maana tunataka kutumia mbinu ya kutoshirikiana ili watu wasiuliwe, kutekwa ama kubambikiziwa kesi.
Tulishangilia ile mbaya kifo cha yule mtu muovu, hadi polisi wakawa wanakamata wanaosherehekea, wangeacha ndio wangepima ni kwa kiasi gani dhalimu alikuwa hapendwi. Tunamshukuru Mungu kwa kutuondolea yule mtu muovu bila damu kumwagika.
Maoni ya Mbowe sio sheria, huo ni mtazamo wake maana hana mamlaka yoyote. Hao wananchi wako huru kutumia chochote kwa utashi wao wala sio kwa amri ama utashi wa Mbowe. Ni hivi, katiba mpya ni lazima wala sio ombi, na tutahamasisha wapinzani hakuna kushirikiana na watu wa ccm kwenye shughuli zozote za kijamii. Tumechoka huu uhuni wa kishenzi. Hutaki kunywa sumu.
Jpm hakupendwa na nyinyi chadema, ila kwa sisi wananchi wa kawaida tulio wengi tulimpenda na kumkubali sana
Tumeona matunda ya kazi zake
Akili ya Nyumbu, ww muite basi Baba yako, maadili mmenyimwa kabisa Nyumbu nyie,nijuavyo mm mwanamke yeyote aliye kuzidi Umri na anaye weza kukuzaa basi huyo ni mama,Kwangu mm Mama nijina lenye heshima kuliko Rais.Kwamba kufanya siasa nchi hii ni hisani ya CCM?
Rais sio mama yako, She is a President wacha kuita rais mama
Halafu eti watu Kama hao ndiyo wanaitaka ridhaa ya kutuongoza?aiseee!Mawazo ya hovyo kabisa
Nyie! Mjue kuwa Mungu Ni wa haki Sanaa.Huyo ashikishwe adabu tuu ,atolewe 2026 na hivi walisema hawashiriki uchaguzi itakaa sawa
Unaposema kikichommaliza kwani tayari wameshamuua maana ndiyo lengo kuu la CCMKILICHOMMALIZA MBOWE NI HIKI HAPA
Nasikia kule Mwanza mambo yameuamana, Mbowe na wenzake wako mikononi mwa polisi, taarifa hii haijanishangazasana kwani amevuna alichokipanda.
1. Mbowe alimuita Mkuu wa Wilaya ya Ilemela "mjinga mjinga" hii inamaanisha hajielewi, hana akili, zezeta, poyoyo nk maneno haya nilisema si ya staha kuambiwa kiongozi mkubwa wa wilaya aliyeaminiwa na Rais, pia huyu ndiye mwenyekiti wa vyombo vya Usalama, Polisi, Magereza, FFU, Jeshi, Mgambo wote wako chini yake hivo hata kama amekosea unapaswa kumkosoa kwa lugha ya staha. Mkanitukana sana leo mnalalamika nini sasa nyie tulieni tu m/kiti avune alichokipanda.
2. Mbowe aliuambia umma wa Watanzania kwamba ndugu yake kafa na Covid-19, akaenda mbali kwa kusema kwamba kwasababu ya hatari ya ugonjwa huu watu wachanjwe kwa lazima. Mimi nikawaonya sana kwamba suala la chanjo msiliongelee maana watu wengi bado hawajaliafiki hata wa chama chake, pia nikasema CCM wataitumia kama nyenzo ya kuwasulubu.
Leo wanazuia kongamano lenu kwa kutumia hoja hio hio ya kupunguza madhara ya Covid-19 Mwanza, kama ambavyo Mbowe alisema tuchanjwe kwa lazima, tupungize madhara kwahy ngoma drooo.
3. Nilitahadhalisha sana CHADEMA wasijikite kumshambulia Hayati Magufuli maana hayupo ameshakufa, hana madhara kwao ,bali waungane na Magufulists kupambana na Rais SSH wakagoma wakasema wanapambana kuifuta legacy ya JPM ,badala ya kuifuta wanafutika wao.
Yaani unataka kuiangusha CCM halafu unaishangilia na kuwapinga wanaoishambulia, ajabu sana.
WEKENI VIPAOMBELE VICHACHE kama mnataka kweli kuichukua nchi.
Nyie hao hao mpambane na timu SSH na tena timu JPM, mshika mawili moja humponyoka.
Na sasa nasema mama ameamua kuwaonyesha kwamba anaweza kuwatuliza msidhani mnaweza mkamchezea chezea kama mpira.
TULIENI KABISA SISI TIMU JPM TUPO TUNAANGALIA TU MCHEZO UNAVYOENDA.
Tuna upinzani wa hovyo sana nchiniAkili ya Nyumbu, ww muite basi Baba yako, maadili mmenyimwa kabisa Nyumbu nyie,nijuavyo mm mwanamke yeyote aliye kuzidi Umri na anaye weza kukuzaa basi huyo ni mama,Kwangu mm Mama nijina lenye heshima kuliko Rais.
Sasa mlivyo kosa adabu nyie mnamwambia mtamnyoa, wehu kweli nyie.
Nchi haiwezi kuongozwa na watu wa dizaini ya Chadema, ukiwasikiliza hawa vijana dizaini ya akina Mdude unajiuliza huyu havuti bange kweli huyuHalafu eti watu Kama hao ndiyo wanaitaka ridhaa ya kutuongoza?aiseee!
Unaweza kuwa timu kichaa kama nawe si kichaa?KILICHOMMALIZA MBOWE NI HIKI HAPA
Nasikia kule Mwanza mambo yameuamana, Mbowe na wenzake wako mikononi mwa polisi, taarifa hii haijanishangazasana kwani amevuna alichokipanda.
1. Mbowe alimuita Mkuu wa Wilaya ya Ilemela "mjinga mjinga" hii inamaanisha hajielewi, hana akili, zezeta, poyoyo nk maneno haya nilisema si ya staha kuambiwa kiongozi mkubwa wa wilaya aliyeaminiwa na Rais, pia huyu ndiye mwenyekiti wa vyombo vya Usalama, Polisi, Magereza, FFU, Jeshi, Mgambo wote wako chini yake hivo hata kama amekosea unapaswa kumkosoa kwa lugha ya staha. Mkanitukana sana leo mnalalamika nini sasa nyie tulieni tu m/kiti avune alichokipanda.
2. Mbowe aliuambia umma wa Watanzania kwamba ndugu yake kafa na Covid-19, akaenda mbali kwa kusema kwamba kwasababu ya hatari ya ugonjwa huu watu wachanjwe kwa lazima. Mimi nikawaonya sana kwamba suala la chanjo msiliongelee maana watu wengi bado hawajaliafiki hata wa chama chake, pia nikasema CCM wataitumia kama nyenzo ya kuwasulubu.
Leo wanazuia kongamano lenu kwa kutumia hoja hio hio ya kupunguza madhara ya Covid-19 Mwanza, kama ambavyo Mbowe alisema tuchanjwe kwa lazima, tupungize madhara kwahy ngoma drooo.
3. Nilitahadhalisha sana CHADEMA wasijikite kumshambulia Hayati Magufuli maana hayupo ameshakufa, hana madhara kwao ,bali waungane na Magufulists kupambana na Rais SSH wakagoma wakasema wanapambana kuifuta legacy ya JPM ,badala ya kuifuta wanafutika wao.
Yaani unataka kuiangusha CCM halafu unaishangilia na kuwapinga wanaoishambulia, ajabu sana.
WEKENI VIPAOMBELE VICHACHE kama mnataka kweli kuichukua nchi.
Nyie hao hao mpambane na timu SSH na tena timu JPM, mshika mawili moja humponyoka.
Na sasa nasema mama ameamua kuwaonyesha kwamba anaweza kuwatuliza msidhani mnaweza mkamchezea chezea kama mpira.
TULIENI KABISA SISI TIMU JPM TUPO TUNAANGALIA TU MCHEZO UNAVYOENDA.
Legacy gani ya ushirikina? Wakati jana tu covax na jonhson zimeingia tunasnza kuchanjaTIMU JPM TUKO IMARA TUNAWAANGALIA TU UPINZANI WANAVYOPUYANGA KUIFUTA LEGACY YA CHUMA 😅😅😅😅
Mjinga siyo tusi ni kivumishi cha sifaMkuu wa wilaya anasimamia wilaya, ukimtukana mkuu wa wilaya umeitukana wilaya, wilaya ni sehemu ya taifa hivyo umelitukana Taifa. Taifa linaongozwa na mkuu wa nchi, hivyo umemtukana mkuu wa nchi. Kwa mtiririko huo umewatukana Watanzania. Mbowe una la kujibu.
Vichaa wanasajili chamaAcha Uongo CCM na UOGA wa KATIBA MPYA pia hongereni Timu Magufuli mnasajili lini Chama chenu?View attachment 1863225
Sent from my SM-J600F using JamiiForums mobile app
Na haya ndiyo mazingira waliyoshindwa kuyasoma Chadema. Raia wanaona wanavurugu. Hata wasiyempenda Magu wanaona alikuwa sahihi kuwafanyia ule unyama.Rudini kwa wananchi kwa hoja zenye mashiko
Hoja mliyoidandia bado haina mashiko kabisa kwa wananchi walio wengi kwasababu bado Jamii yetu inakabiliwa na changamoto nyingi ktk maisha yetu kama Maji, vituo vya afya na vifaa tiba, elimu bora, miundombinu nk
Sasa wananchi walio wengi hawawezi kuconnect dot mahusiano ya katiba mpya na utatuzi wa hizo changamoto zinazotuzunguka
Ndio maana Lissu alipost kuwataka wananchi wa Mwanza waandamane waende vituo vya polisi kushinikiza kuachiliwa kwa waliokamatwa,, lakini WANANCHI WAMEPUUZIA hakuna aliyeenda
Lema kapost majuzi kuwataka wanaDar es Salaam waende nyumbani kwa Mbowe eti kuwazuia askari wasiingie ndani,, lakn hakuna wanaDaslam WAMEPUUZIA hakuna aliyeenda
Ila kinachoonekana mbele ya wananchi wa kawaida ni kuwa nyinyi Chadema mnachokochoko la vurugu na uvunjifu wa amani,
ikizingatiwa nyinyi ndio hasa mlishangilia kifo cha Magufuli ilhali wananchi wengi wa kawaida walimuona Jpm ni mkombozi wao wa kweli,, kitendo ambacho kiliwasononesha watu wengi sana
Na mbaya zaidi Mbowe majuzi kalikoroga kwa kusema chanjo inapaswa iwe lazima kwa wananchi,,, bila kujua ni namna gani wananchi wanayachukulia haya machanjo
Na safari hii hatuta kubali, mkisha mnyoa mama kwa wembe uleule mlio mnyolea baba mihakikishe mmegama hii nchi, itakuwa n msako wa nyumba kwa nyumba mpaka kieleweke,Unateseka ukiwa wap bobu,
Eti hata jibu chochote, na akiachiliwa nakutakiwa kiripoti police hata enda, aiseee,hiyo n kauli ya mtu anaye jiita mwanasheria,amesahau kutuhimiwa na kuhojiwa usipo jibu chochote kesi Wala haita somwa Mara mbili ni hukumu tu,Tuna upinzani wa hovyo sana nchini
Lowassa alishawapa funzo kuwa hawawezi kuchukua nchi kwa siasa za kiuanaharakati, sasa majitu hayaelewi bado yameshupaza shingo tu na siasa za kukimbizana na dola