usser
JF-Expert Member
- Sep 25, 2015
- 13,901
- 13,870
dhaaaa huyu Musa c kahangaika sanaYeye alitangulia kutoka EFM kabla ya kitenge akaenda azam (ufm). Kitenge alivyoenda wasafi, na Mussa Kawambwa akaja akitokea ufm.
Kwa hiyo wakakutana watu waliowahi kufanya kazi sehemu moja.
Baada ya miezi miwili sijui mitatu, Mussa akapiga U TURN akarudi UFM.