Mtu na nusu
JF-Expert Member
- Jan 9, 2020
- 636
- 1,115
Habari wakuu
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza.
Hakuna ubishi kuwa hoja zote alizokuwa anaziwasirisha Mhe. Tundu Lissu kipindi cha kampeni zilikua Ni ukweli mtupu.
Ingekuwa anagombea nchi zenye watu wenye uwezo wa kupambanua mambo Basi angeibuka mshindi mapema Sana
Hakuna ubishi nchi yetu imejawa na wimbi kubwa la watu wajinga waliozoea unafiki , uongo , chuki , shortcut , na roho mbaya
Pole mh Tundu Lissu
Badili uraia ukagombee USA.
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza.
Hakuna ubishi kuwa hoja zote alizokuwa anaziwasirisha Mhe. Tundu Lissu kipindi cha kampeni zilikua Ni ukweli mtupu.
Ingekuwa anagombea nchi zenye watu wenye uwezo wa kupambanua mambo Basi angeibuka mshindi mapema Sana
Hakuna ubishi nchi yetu imejawa na wimbi kubwa la watu wajinga waliozoea unafiki , uongo , chuki , shortcut , na roho mbaya
Pole mh Tundu Lissu
Badili uraia ukagombee USA.