Mna mahaba na Lisu,hivi kuna uongo unao zidi huu 👇👇Habari wakuu
Kama kichwa Cha habari kinavyojieleza.
Hakuna ubishi kuwa hoja zote alizokuwa anaziwasirisha mh. Tundu Lissu kipindi cha kampeni zilikua Ni ukweli mtupu.
Ingekuwa anagombea nchi zenye watu wenye uwezo wa kupambanua mambo Basi angeibuka mshindi mapema Sana
Hakuna ubishi nchi yetu imejawa na wimbi kubwa la watu wajinga waliozoea unafiki , uongo , chuki , shortcut , na roho mbaya
Pole mh Tundu Lissu
Badili uraia ukagombee USA.
Manake huu ni zaidi ya UNAFIKI,zaidi ya UONGO mnamwita mtu fisadi kwa miaka mitano,mmezunguka Tanzania yote mkimwita fisadi tena kwa VINYWA VYAO AKINA LISU WALIDAI USHAHIDI WANAO,lkn ndani ya masaa 24 mnamsafisha na mpaka kuondoa ile list ya mafisadi ktk website ya chama na mnampa nafasi ya kuwania urais kwa tiketi ya Chama chenu.
Au njaa ndizo ziliwafanya akina Lisu wabadili msimamo?Manake kama hela ndogo tu ya Lowasa imebadili msimamo walichokuwa wanakisimamia nakukiamini zaidi ya miaka mitano,siku wakipewa nchi si watauza nchi.
Yaani kwa mtu wenye uwezo wa kupambanua vitu kama wenzetu ulaya,Lisu na viongozi wote wa CHADEMA hawafai hata kupewa nafasi ya kuongoza mtaa.