pawaaaa............!Wakuu nipo imara kabisa maeneo ya clock tower Arusha nikijiandaa kwa hamu kwenda kwenye mkutano Wa wazalendo Wa ukweli Wa nchi (Chadema) ninawaahidi kuwa update Vitu vitakavyokuwa vinatokea na hata ku record some audio and video clips kwa makamanda wote ambao hampo Arusha - (Peoples .......)
tupe tupe tupe tupe.................!haya sasa,saa 7 ndo hiyo inakaribia,watu tuko mkao wa kula kupata updates.
msjali kbsa..naamini watu wa A-twn 2po wengi humu..