Kichuguu
Platinum Member
- Oct 11, 2006
- 15,543
- 19,392
mkuu wangu Jaji. mimi najisikia aibu sababu huyo jaji anatokea Bkb. sijui kama ni mhaya kweli ama ni mgeni anayetumia jina la kihaya wakati hana asili kabisa ya huko.
Kinachotia aibu zaidi ni pale aliposhindwa kutafsiri sheria sawasawa; halafu eti tunasema tuna majaji wa kusimamia haki Tanzania. Kama mwanasheria mkuu wetu wa leo huyu Werema alikuwa jaji, basi ndipo ujue kuwa majaji wa Tanzania ni watu wa aina gani. Huyu jaji ndiyo aina ya akina jaji Werema; na huenda wapo wengi tu.