Kilichojiri Tanga hiki hapa

Kilichojiri Tanga hiki hapa

yaani CCM hawakutarajia kabisa kama edo atabadilisha upepo namna hii, akili zao zote walijua mpinzani wao babu silaha
 
ccm kila inakogusa kunateleza.....MTAWEWESEKA SANA MWAKA HUU
 
huwa namashaka na akili zenu wanaccm yaani huwa mnajua huu ni ukweli lakini mnapotosha,kwanini mnapenda kuishi kwa ulaghai??
 
Mbona mnahangaika sana habari za #UKAWA na Lowasa kuliko mgombea wenu Magufuli?
Uzima ni zawadi toka kwa Mungu.
Komba alikuwa na uwezo kuongea masaa 5 yuko wapi leo?
Celina Komba aliyesema bora Lowasa ameondoka ccm akafie chadema leo yuko wapi?
Katibu wa wilaya ya ilala aliyesema serikali haina bajeti ya wagonjwa yuko wapi leo?
Mchekeshaji wa orijino komedi ambaye alikuwa anaimuigiza Mrema kama mgonjwa wa kisukari yupo kitandani mwaka wa ngapi?
Sekunde moja inatosha kukubadilisha kuitwa marehemu au mgonjwa usiringie uzima wako .

Jamani tuchunge sana kauli zetu kuna maisha baada ya uchaguzi .
 
Mgombea wa UKAWA aliingia Tanga mjini kutokea Lushoto ambapo alihutubia kwa dakika zisizozidi tano na kushuka chini ya jukwaa kutokana na muendelezo wa kudorora kwa afya yake. Baada ya mkutano kuisha viongozi wa msafara walikubaliana kwamba kutokana na hali ya afya ya Lowassa kulikuwa hakuna namna anaweza kuendelea na mkutano Tanga. Hii ni mara ya tatu kadhia hii inawakumba, mikutano ya Geita na Tunduru ilihairishwa kutokana na hali kuwa mbaya, haswa matumizi ya mara kwa mara ya choo anayofanya.



Kutokana na gharama kubwa zilizotumika kusafirisha watu kutoka Arusha, Kilimanjaro na wilaya zote za Tanga hivyo iliwalazimu kutunga uongo ili kuficha madhaifu ya mgombea wao.Hata hivyo wananchi waliowengi walipohojiwa walisema Mgombea waliyeletwa kumsikiliza anaoneka amedhoofika na sauti yake haisikiki vizuri licha ya muda mdogo sana aliohutubia.


Red Cross walikuwepo na hawakuelemewa na shughuli hiyo, kulikuwa hakuna mkanganyiko wowote, watu wanaodaiwa kuzimia wote walipata huduma ya kwanza kama inavyotokea kwenye matukio makubwa kama mechi za Simba na Yanga. Huu ni muendelezo wa sinema, ambazo tumeshazizoea kuanzia wachungaji wa kukodi mpaka wazimiaji feki. Ukweli halisi ni sindano ya AMORPHINE anayotumia mgombea wao kumpa nguvu iliisha muda.

Tafakari Mtanzania usidanganyike. Tumuombee Afya Njema ila Ikulu hapana.



#KutokaTanga

Nikuambie kitu kadri mnavyozidi kumchafua ndivyo mnavyozidi kumpatia umaarufu kura yangu kwa Lowasa pushap kapigie chumbani.
 
Hakuna mzima hata mmoja aliwahi kua rais akatupa maisha kutokana na rasilimali zetu ila sisi ndo hua tunawapa maisha ,ss huyu mgonjwa ndo tunamtaka na tutampa kura kwa sababu anajua shida ya kuumwa ,atatusaidia bila shaka ,Mungu aendelee kumlinda inshallah
 
Kura kwa lowasa..

Hivi kuna nini huku dodoma mbona mmeanza kuleta watu kwa malori..kwa hiyo watalala viwanja vya barafu na baridi yote hii

Itakuwa kama Tabora baada ya mkutano malori yalikuwa yameondoka watu ilibidi walale uwanjani. Tuna safari ndefu kweli CCM maslahi bado wanataka ulaji.
 
Kaka kama hujui kitu nyamaza ugonjwa ni kila mtu anaumbiwa.kwa hali ya jana tanga kama mkutano ungeendelea leo mngekuwa mnaandika magazeti huku vijwa vya habari vikiwa vyeusi.Nitoe shukrani kwa ukawa kwa kutumia fursha hiyo kumaliza mkutano mmejali sana watu.Mtoa mada kama jana uliona TV au taarifa za habari ungeelewa hebu soma hata hapa itakusaidia. TANGA RAHA BLOG
Uwaja wa Tangamano ni uwaja wa wazi,hauna ukuta wala milango,na unatumika kwa shughuli nyingi za mikutano ya kidini,siasa,sherehe mvalimbali,na pia ndio soko kuu la bdhaa mbalimbali,siku za sikukuu za Eid,kunakuwa na watu wengi kutoka wilaya zote za Tanga kuja kununua mahitaji yao,na hakujatokea watu kuzimia,labda awe huyo mtu ni
Mgonjwa au ana njaa ya mda mrefu kwa kuishiwa na maji au nguvu mwilini.
 
JF imekuwa ya hovyo sana....mleta mada anaandika uongo mchana kweupe stil thread inaachwa!
 
Mi nipo tanga ----- wewe nilikuwepo na niliona kila kitu
Acha siasa za kinafiki
 
Mgombea wa UKAWA aliingia Tanga mjini kutokea Lushoto ambapo alihutubia kwa dakika zisizozidi tano na kushuka chini ya jukwaa kutokana na muendelezo wa kudorora kwa afya yake. Baada ya mkutano kuisha viongozi wa msafara walikubaliana kwamba kutokana na hali ya afya ya Lowassa kulikuwa hakuna namna anaweza kuendelea na mkutano Tanga. Hii ni mara ya tatu kadhia hii inawakumba, mikutano ya Geita na Tunduru ilihairishwa kutokana na hali kuwa mbaya, haswa matumizi ya mara kwa mara ya choo anayofanya.



Kutokana na gharama kubwa zilizotumika kusafirisha watu kutoka Arusha, Kilimanjaro na wilaya zote za Tanga hivyo iliwalazimu kutunga uongo ili kuficha madhaifu ya mgombea wao.Hata hivyo wananchi waliowengi walipohojiwa walisema Mgombea waliyeletwa kumsikiliza anaoneka amedhoofika na sauti yake haisikiki vizuri licha ya muda mdogo sana aliohutubia.


Red Cross walikuwepo na hawakuelemewa na shughuli hiyo, kulikuwa hakuna mkanganyiko wowote, watu wanaodaiwa kuzimia wote walipata huduma ya kwanza kama inavyotokea kwenye matukio makubwa kama mechi za Simba na Yanga. Huu ni muendelezo wa sinema, ambazo tumeshazizoea kuanzia wachungaji wa kukodi mpaka wazimiaji feki. Ukweli halisi ni sindano ya AMORPHINE anayotumia mgombea wao kumpa nguvu iliisha muda.

Tafakari Mtanzania usidanganyike. Tumuombee Afya Njema ila Ikulu hapana.



#KutokaTanga

Hapa ndio naelewa tafiti ya TWAWEZA, wafuasi wa CCM wengi elimu ndogo au hawana elimu kabisa. pole sana.
 
Mgombea wa UKAWA aliingia Tanga mjini kutokea Lushoto ambapo alihutubia kwa dakika zisizozidi tano na kushuka chini ya jukwaa kutokana na muendelezo wa kudorora kwa afya yake. Baada ya mkutano kuisha viongozi wa msafara walikubaliana kwamba kutokana na hali ya afya ya Lowassa kulikuwa hakuna namna anaweza kuendelea na mkutano Tanga. Hii ni mara ya tatu kadhia hii inawakumba, mikutano ya Geita na Tunduru ilihairishwa kutokana na hali kuwa mbaya, haswa matumizi ya mara kwa mara ya choo anayofanya.




Kutokana na gharama kubwa zilizotumika kusafirisha watu kutoka Arusha, Kilimanjaro na wilaya zote za Tanga hivyo iliwalazimu kutunga uongo ili kuficha madhaifu ya mgombea wao.Hata hivyo wananchi waliowengi walipohojiwa walisema Mgombea waliyeletwa kumsikiliza anaoneka amedhoofika na sauti yake haisikiki vizuri licha ya muda mdogo sana aliohutubia.


Red Cross walikuwepo na hawakuelemewa na shughuli hiyo, kulikuwa hakuna mkanganyiko wowote, watu wanaodaiwa kuzimia wote walipata huduma ya kwanza kama inavyotokea kwenye matukio makubwa kama mechi za Simba na Yanga. Huu ni muendelezo wa sinema, ambazo tumeshazizoea kuanzia wachungaji wa kukodi mpaka wazimiaji feki. Ukweli halisi ni sindano ya AMORPHINE anayotumia mgombea wao kumpa nguvu iliisha muda.

Tafakari Mtanzania usidanganyike. Tumuombee Afya Njema ila Ikulu hapana.



#KutokaTanga
Marehemu waziri aliyekufa kwa ajali amefufuka lini?
Au ahera wanaona ugonjwa tuliohai tunaona uzima!
 
Maccm kweli mnahali mbaya... Kura kwa Lowasa
 
Sema humtaki wewe alone ukisema hatumtaki ni wewe na nani
 
Mimi bado nipo Tanga, hakuna basi wala lorry lililoleta watu. Umati ulikuwa mkubwa sana. Kila nilipopita mtaani nimewaona watu kwa miguu yao wakielekea uwanjani, na ilikuwa siku ya kazi, sijui ingekuwaje kama ingekuwa ni siku ya mapumziko! Hali ilitisha!
 
Hiyo single ya ugonjwa haijachuja tu? Mbona wana mabadiliko walishasema hata jiwe likigombea kwao poa tu!! Tafuteni wimbo mwingine labda watu watabadili mawazo.

Inaonekana ilani ya ccm imejaa matusi maana kila anayepanda jukwaani lazima asome la kwake. Badala ya kuongeza kibaba cha kura wanakipunguza.
 
Makuzi mabaya na elimu ndogo na duni vimekuathiri; wakulaumiwa ni wazazi wako!!!!!


Mgombea wa UKAWA aliingia Tanga mjini kutokea Lushoto ambapo alihutubia kwa dakika zisizozidi tano na kushuka chini ya jukwaa kutokana na muendelezo wa kudorora kwa afya yake. Baada ya mkutano kuisha viongozi wa msafara walikubaliana kwamba kutokana na hali ya afya ya Lowassa kulikuwa hakuna namna anaweza kuendelea na mkutano Tanga. Hii ni mara ya tatu kadhia hii inawakumba, mikutano ya Geita na Tunduru ilihairishwa kutokana na hali kuwa mbaya, haswa matumizi ya mara kwa mara ya choo anayofanya.


Kutokana na gharama kubwa zilizotumika kusafirisha watu kutoka Arusha, Kilimanjaro na wilaya zote za Tanga hivyo iliwalazimu kutunga uongo ili kuficha madhaifu ya mgombea wao.Hata hivyo wananchi waliowengi walipohojiwa walisema Mgombea waliyeletwa kumsikiliza anaoneka amedhoofika na sauti yake haisikiki vizuri licha ya muda mdogo sana aliohutubia.


Red Cross walikuwepo na hawakuelemewa na shughuli hiyo, kulikuwa hakuna mkanganyiko wowote, watu wanaodaiwa kuzimia wote walipata huduma ya kwanza kama inavyotokea kwenye matukio makubwa kama mechi za Simba na Yanga. Huu ni muendelezo wa sinema, ambazo tumeshazizoea kuanzia wachungaji wa kukodi mpaka wazimiaji feki. Ukweli halisi ni sindano ya AMORPHINE anayotumia mgombea wao kumpa nguvu iliisha muda.

Tafakari Mtanzania usidanganyike. Tumuombee Afya Njema ila Ikulu hapana.



#KutokaTanga
 
Back
Top Bottom