Kilichojiri interview ya TRA - Dar katika picha, huu ndo mtihani wamepewa

Kama ni true or false basi jibu ni true
Millennium goals imeisha 2015

Wakatuletea sustainable development goals

invest what you are willing to lose
 
Yan wengi wana mind set ya kuwa TRA ni mahali pakupata pesa za haraka haraka......na wengi wao wana ajira kabisa wamekuja tu kubania wengine...kuna mtu namfaham kabisa amekuja nae kupiga written..nikamuuliza kwa mshahara wako tu wa 4+ million per mounth..umefata nin huku? akanijibu nataka kupumzika...nimechokaa dah nilimshangaa sana
 
Niwapongeze sana utumishi kwa utungaji mzur sana wa mitihan kama ile....ni kipimo halisi sna cha kutambua uwezo wa mtu binafsi...mitihan ilikuwa fair kabisaa...haiwezekan unatuma naombi ya kazi TRA hujui hta legal procedures za kuoperate bussiness ktk nchi yako....hujui tax reforms za mwaka wa fedha husika....? mtu anashindwa kujua organizations zinazo kusanya mapato...kweli mtu huyo anataka kazi TRA..? mtu anataka nafasi ya customs officer....hafaham report yeyote ile ya mineral sands iwe ya Prof. Mruma..au Prof. Osoro..kama sio kwenda kuwa mzigo ktk mipaka na bandari zetu ni nini.?...unaulizwa faida ya makampuni ya sim kusajiliwa ktk DSE kiuchumi bado ni tatizo...ifike mahali tutambue tatizo sio ajira hamna...watu hawaajiriki kabisaa..
 
Japokuwa mitihani ilikuwa ya kiwango...lakin usimamizi ulikuwa mbovu sanaa...wapo watu walitumia simu zao kutafuta majibu ya mitihan tena bila hata wasi wasi..hivyo inakuwa ngumu sana kupima uwezo wa mtu..na hasa kuwaacha wenye uwezo asilia..Utumishi hapa inabidi mpafanyie kazi ili wapatikane watu wenye weledi na uwezo binafsi
 
Logically tu hayo maswali yana uhusiano gani wa Taaluma nzima ya ukusanyaji wa Kodi nchini Tanzania? Ndiyo maana kila siku huwa naunga mkono Kauli ya Wazungu kuwa Sisi Waafrika hi ' Manyani ' tuliotukuka na very ' hopeless ' creatures on earth.
Lengo la huo mtihani sio kupima uwezo wa watu kama wanajua issue za kukusanya kodi...lengo ni kuwachuja na kupata idad inayotakiwa......na nina uhakika kwa jinsi vijana wanavujua kukariri mambo ya darasani wangetolewa mambo ya kodi sijui customs wangefaulu sana mpaka kushindwa kuwachuja.
 
HAPO WENG WANA KAZI ZAO, WANGEKWENDA WASIO NA KAZ WASINGEJAA HVYO.

MTU ANAENDA NA NDINGA KABISA KWENYE USAILI SI ANAMBANA YULE AMBAYE HATA HELA YA KULA ANAIPATA KWA MBINDE.

ISHU NI KUFANYA KAZ TRA NA WENG WANAOMBA KWA TAMAA YA KUPGA MADILI NA UFISAD KAMA WALIVYOJAZANA USAILI WA UHAMIAJ PALE TAIFA MIAKA MITATU ILIYOPITA
peoples are searching for green pastures ....
 
Ila tuu Tume wawe makini hayo matokeo ya mtihani yasihujumiwe maana hizi siku zote 7 za kuyaandaa watu wajanja wajanja wanaweza kuweka watu wao.
 
Japokuwa mitihani ilikuwa ya kiwango...lakin usimamizi ulikuwa mbovu sanaa...wapo watu walitumia simu zao kutafuta majibu ya mitihan tena bila hata wasi wasi..hivyo inakuwa ngumu sana kupima uwezo wa mtu..na hasa kuwaacha wenye uwezo asilia..Utumishi hapa inabidi mpafanyie kazi ili wapatikane watu wenye weledi na uwezo binafsi
Labda ilikuwa open exam umesoma instructions lakini.
 
Sasa kama mtu atashindwa hilo la malengo ya maendeleo endelevu unafikiri ni mtu stahiki kwa hiyo kazi?
mkuu,ukiwa nje ya uwanja unaosoma sana mchezo kuliko aliyopo uwanjani...hilo swali ukilisoma vyema halijageneralize hizo SDGs bali limegusa specifically goals zilizojadiliwa kwenye hiyo UN summit in new york...hapo kama hujapata ki article kinachohusu hiyo discussion na hizo millenium goals za 2030 huchomoki hapo!mi nahisi hii pepa kuna watu flani walishapenyezewa mvujo before ili wajipange,coz ni pepa iliyokusudia kupiga msasa wa hali ya juu sana kutokana na idadi ya applicants. The real definition of aptitude test.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ivi karatasi 29,674 zitasahishwa kweli
Maana hata idad ya form six wanaomaliza hawafiki idad iyo na mitihan yao inasahishwa kwa miez miwili had miwili na nusu sasa iyo elfu 29 watasahisha kwa wiki mbili au tatu

usawa utakuepo?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom