Kilichojiri interview ya TRA - Dar katika picha, huu ndo mtihani wamepewa

Hellow wanajamvi,Habar za weekend,Natumain mnaendelea vizur,Ninaomba msaada wa ushaur na maono yenu kuhusiana na izo courses takes, nina mdogo wangu anaenifata amemaliza EGM na amepata division 2.10 Economics C Geography E and,Advance Mathematics B,Anaomba Kat ya izo course ipi n nzur ambayo ataweza kufanya ikamsaidia baadae hata kwa kujiajir
ukishafanya interview serikalini,jaribu kusahau kwanza


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hellow wanajamvi,Habar za weekend,Natumain mnaendelea vizur,Ninaomba msaada wa ushaur na maono yenu kuhusiana na izo courses takes, nina mdogo wangu anaenifata amemaliza EGM na amepata division 2.10 Economics C Geography E and,Advance Mathematics B,Anaomba Kat ya izo course ipi n nzur ambayo ataweza kufanya ikamsaidia baadae hata kwa kujiajir



Sent using Jamii Forums mobile app
Elimu ya chuo ya bongo haimuandai mtu kujiajiri....izo pesa za kumsomesha chuo miaka mitatu(sio chini ya 15 mil kwa ada pamoja na ghalama za maisha) zikusanye umpe kama mtaji.atakapofanikiwa katika biashara yake atajiendeleza kusoma mwenyewe kutegemeana na nini anajishughulisha nacho.Nadaiwa had saiz 15 mil na board ya mikopo kisa kutafuta bachelor ya procurement then nimeipata ila hakuna ajira wala sina hata mtaji wa kufugia kuku.kijana wa elimu ya form six ananafas kubwa sana ya kuwa mjasiliamali mzuri akipata mtaji.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Japokuwa mitihani ilikuwa ya kiwango...lakin usimamizi ulikuwa mbovu sanaa...wapo watu walitumia simu zao kutafuta majibu ya mitihan tena bila hata wasi wasi..hivyo inakuwa ngumu sana kupima uwezo wa mtu..na hasa kuwaacha wenye uwezo asilia..Utumishi hapa inabidi mpafanyie kazi ili wapatikane watu wenye weledi na uwezo binafsi
acha uoga uansema pepa ilikuwa rahisi kwa nn ulie tena unaogopa simu?
 
Nyomi hii nafasi unakuta ni chache yani probability hapo hai_tally..... Watu ni wengi wanaitwa nafasi ni moja
Bola kujiajili maskini ya mungu kampun y gapco ilitoa nafas zaid ajil tukaomb watu nyomi karibu 52 ivi tukafanyiw interviews mwish wa siku kumbe alikuw anatafutwa mtu 1 tu wa reception nikajikut nalia kujion mjinga doh
 
Elimu ya chuo ya bongo haimuandai mtu kujiajiri....izo pesa za kumsomesha chuo miaka mitatu(sio chini ya 15 mil kwa ada pamoja na ghalama za maisha) zikusanye umpe kama mtaji.atakapofanikiwa katika biashara yake atajiendeleza kusoma mwenyewe kutegemeana na nini anajishughulisha nacho.Nadaiwa had saiz 15 mil na board ya mikopo kisa kutafuta bachelor ya procurement then nimeipata ila hakuna ajira wala sina hata mtaji wa kufugia kuku.kijana wa elimu ya form six ananafas kubwa sana ya kuwa mjasiliamali mzuri akipata mtaji.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ukweli mtupu, agiza bia mbili Kwa mangi nakuja kulipa
 
Ivi karatasi 29,674 zitasahishwa kweli
Maana hata idad ya form six wanaomaliza hawafiki idad iyo na mitihan yao inasahishwa kwa miez miwili had miwili na nusu sasa iyo elfu 29 watasahisha kwa wiki mbili au tatu

usawa utakuepo?

Sent using Jamii Forums mobile app
Form six mmoja anakuwa na answersheet zaidi ya Tano,Hao wasailiwa amswersheet zimezidi sana 4,napo ni kwa wachache sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
mkuu picha yaweza kuwa kweli ila mtihani ni tango pori...niliona hii paper mwaka jana.
 
Back
Top Bottom