mkadiriajimajenzi
JF-Expert Member
- Dec 31, 2015
- 549
- 608
Mapema leo katika chuo cha DUCE na Kigamboni, Vijana waliitwa kwenye Usahili. Wakazi wa jiji la Dar es Salaam wakifanya mtihani wa usaili kwa ajili ya nafasi za kazi katika Mamlaka ya Mapato nchini, TRA kwenye Ukumbi wa Chuo Kikuu Kishiriki cha Elimu (DUCE). Jumla ya watu 30,000 wameitwa kwenye usaili huo kati ya 56,000 walioomba ambapo watu 400 ndio wanaotakiwa.
=====
Hapa chini ni mtihanni walioulizwa Hawa Vijana katika Usahili wa leo.
=====
Hapa chini ni mtihanni walioulizwa Hawa Vijana katika Usahili wa leo.