Bigbon
JF-Expert Member
- May 21, 2016
- 600
- 729
Sawa mkuu...mambo ya kawaida tu kama waliyoomba wanajitambua maswali yanajibikaMapendekezo ya kamati
1.ufungwaji wa scanner na kuajili wataalam wa mionzi
2.kuweka utaratibu wa kushtukiza kukagua makontena..
3.Tmaa kuwajibishwa
4..tmaa kushiriki katika kuchambua madini mengine yapatikanayo katika makinikia
N.k mengine tafuteni ayo ndo ninayo kumbuka tuache uvivu vijana
4.stp za kufuata unapo taka anzisha biashara aiitaji elimu ya darasan na kukalili
1..pata kibali cha sehemu husika mfano municipal au city council ili uoperate katika eneo linalo husika
2.pata permit kutika katika legal authority kama BRELA..N.K..MFANO kama unadeal na madawa inaitajika upate kibali ya TFDA..
3..REGISTER BIASHARA TRA..ILI UPATE TIN # NA UWEZE KUPATA LESENI YA BIASHARA
Sent using Jamii Forums mobile app