Kilichofanya Magufuli apendwe mwanzoni wa utawala wake ni kupambana na utendaji mbovu wa serikali, na kilichomdidimiza ni kupambana na vyama upinzani

Kilichofanya Magufuli apendwe mwanzoni wa utawala wake ni kupambana na utendaji mbovu wa serikali, na kilichomdidimiza ni kupambana na vyama upinzani

Mbuzi mee

JF-Expert Member
Joined
Dec 29, 2022
Posts
238
Reaction score
317
Watanzania wengi pale walipomuuona anapambana na utendaji mbovu wa sekta zote...walimuona kama malaika...

Hawakutaka kusikia tena vyama vya upinzani....Sijui ni nani alimuingiza kwenye Huu ujinga wa kuacha kile alichoanza nacho..Maana vyama pinzani vilikuwa vinaenda kujifia vyenyew bila nguvu kutumika..
Ila yeye alivyoshauriwa na wajinga wachache ndio akawaleta tena kwenye Vyombao vya habari...

Je Rais wa sasa atajifunza kwamba nani ni adui wake...Je wananchi wanataka nini kwa kiongozi wa nchi...
 
No reform No election ndio itaweza kusaidia nchi hakuna stroy nyengine za waziri majaliwa akisema yupo na anachapa kazi
 
No reform No election ndio itaweza kusaidia nchi hakuna stroy nyengine za waziri majaliwa akisema yupo na anachapa kazi
Pale rais atakapo jua wananchi hawapendi huduma mbovu ndio atakapo uua upinzani bila nguvu wala kelele
 
Back
Top Bottom