Akizungumza na vyombo vya habari leo desemba 14, 2025 Rais wa Jumuiya ya Wanafunzi wa Taasisi za Elimu ya Juu Tanzania (TAHLISO), Geofrey Kiliba amesema lazima umma kujulishwa wahusika na waanzilishi wa matukio ya Oktoba 29 na siku zilizofuata ambao ni wanaharakati
"lazima umma ujue tutakuwa ni wanafiki na waoga kwelikweli kama tutashindwa kuwataja waanzilishi wa mikkati hiyo ovu na batili ndani ya taifa letu ambao ni hao wanaojiita wamaharakati"- Amesema Kiliba
"lazima umma ujue tutakuwa ni wanafiki na waoga kwelikweli kama tutashindwa kuwataja waanzilishi wa mikkati hiyo ovu na batili ndani ya taifa letu ambao ni hao wanaojiita wamaharakati"- Amesema Kiliba